Viko vyeo vingi ndani ya Kristo. Lakini vingi vimekuwa vikipiga magoti mbele ya shetani. Wakati Mungu ananipa ujumbe huu aliniambia maneno haya:

“…iko position rohoni inaitwa CHEO CHA KRISTO. Watu huingia na ku apply nafasi hiyo. Wengine hupata lakini wengi hawajafanikiwa kukipata. Watu pekee wanaoruhusiwa ku apply ni wale waliompokea YESU wakamkiri kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao. Na akazidi kuniambia:

All ranks below Christ admit DEFEAT in the face of your opponent - The devil. Any rank BELOW Christ; is subject and subordinate to the devil…”

This title of CHRIST is Nothing than the SON OF GOD. 

CALL/Whatsapp: +255754091738