Msiwe na hofu. Msiogope. Msikubali kurudi nyuma katika imani. Unayoyaona na kupitia sasa yatapita. Wewe ni mshindi zaidi ya washindi. Nitakuwezesha kushinda yote na kustahimili. Tia bidii. Usife moyo mbali Endelea. Hallelujah. Glory be to God.