Aunt Sadaka’s lessons: Recent Episodes

Aunt Sadaka

A Podcast about Parenting, Relationships, career and general life challenges. Hosted by a psychologist and concealing guru Sadaka Gandi. Sadaka is also a mother, a wife and educator who is ready to share her real life experiences to connect with her audiences.

View Details

Wapendwa kwenye kijiwe chetu leo tunaongelea jinsi ambavyo wazazi au walezi tunaweza kuchukua tahadhari kwa madhara ambayo yanatoka na ukatili ama unyanyasaji wa namna yoyote ile kwa watoto wetu.

Subscribe, Like na Comment.
YouTube: https://youtube.com/@auntsadakalessons

Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾
Spotify: https://open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q

Apple: https://podcasts.apple.com/tz/podcast/aunt-sadakas-lessons/id1655814944

Follow me:
Twitter: https://www.twitter.com/auntsadaka

Facebook: https://www.facebook.com/auntsadaka

TikTok: https://vm.tiktok.com/auntsadaka

Instagram: https://www.instagram.com/auntsadaka

auntsadaka #auntsadakalessons

parenting #career #relationships

mentalhealth #childabuseawareness

childabuse

View Details

Watu wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana kwenye kuweza kubalance, "WORK" & "LIFE".

kwenye episode hii tutazungumzia jinsi yakuweza kubalance maisha ya kazi na maisha ya familia.

Subscribe, Like na Comment.

YouTube: https://youtube.com/@auntsadakalessons

Subscribe na Sikiliza Podcast

Spotify: https://open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q

Apple: https://podcasts.apple.com/tz/podcast/aunt-sadakas-lessons/id1655814944

Follow me:

Twitter: https://www.twitter.com/auntsadaka

Facebook: https://www.facebook.com/auntsadaka

TikTok: https://vm.tiktok.com/auntsadaka

Instagram: https://www.instagram.com/auntsadaka

AuntSadakaLessons #AuntSadaka

lifelessons #parenting #relationships

lifechallenges #lifeopportunities

kijiwechetu #work #life #balance

worklifebalance

View Details

Wapendwa kwenye kijiwe chetu leo tunaongelea ni nini chakufanya ili maazimio au matarajio yetu yasiharibike ama yasivurugike.   

Subscribe, Like na Comment.

YouTube: https://youtube.com/@auntsadakalessons

Subscribe na Sikiliza Podcast 👇🏾

Spotify: https://open.spotify.com/show/6jvVCwig17XqppalJ6sdnc?si=7ZCDoWA4TPOaLsJCGpxM8Q

Apple: https://podcasts.apple.com/tz/podcast/aunt-sadakas-lessons/id1655814944

Follow me:

Twitter: https://www.twitter.com/auntsadaka

Facebook: https://www.facebook.com/auntsadaka

TikTok: https://vm.tiktok.com/auntsadaka

Instagram: https://www.instagram.com/auntsadaka

auntsadaka #auntsadakalessons #parenting #career #relationships #mentalhealth #newyear #newyeargoals #newresolutions

View Details

Kupitia masuala mbalimbali  unayopitia  iwe kwenye dini, mahusiano na  malezi nakadhalika. Leo tunagusia namna ya kuongeza thamani ndani ya maisha yako  ili uweze kujithamini na kuwa na maamuzi sahihi kwenye maisha unayoyapitia na kuweza kujikinga mapema na mambo yanayoweza kutokea hapo baadae.

View Details

Kwa namna ambavyo nimekua nikipata cases tofauti tofauti nimeona sio mbaya leo kwenye kijiwe chetu tuzungumze namna yakujijali, kujithamini na kuhakikishaa kama mtoto wakike unafanya maamuzi yaliyo sahihi kwenye maisha yanayokuzunguka.

Ili tuweze kuepushaa haya majanga ya mimba za utotoni na kutokomeza utelekezaji wa watoto wasio na hatia.

Watch and Subscribe ; https://www.youtube.com/@auntsadakalessons
Listen : https://linktr.ee/auntsadakalessons

Follow my Social Media accounts

https://twitter.com/auntsadaka
https://www.instagram.com/auntsadaka/
https://www.tiktok.com/
https://www.facebook.com/auntsadaka

View Details

Mara nyingi kama kijana unaweza kujikuta unapitia changamoto nyingi ambazo zinaweza kukutisha tamaa na ukakosa furaha kwenye maisha yako. Sasa kwenye Podcast yangu wiki Hii Episode mpya  nitashare na nyie uzoefu wangu kidogo nilichojifunza nikiwa kijana miaka hiyooo ehee hata mimi nilikuwa kijana, mambo gani haswa niliyapa kipaumbele na yapi niliepuka ili kuwa na furaha? Usikoseee Aunt Sadaka’s lessons Jumatano hii kwenye YouTube channel yangu na Podcasts platforms zote link kwenye Bio nifuate huko tuongee na kubadilishana uzoefu maisha ni kujifunza kila siku.

auntsadaka

auntsadakalessons

parenting

career

relationships

mentalhealth

View Details

Kwenye Episode hii nazungumza na wewe kuhusu mambo niliyojifunza kwenye malezi ya mtoto wangu na watoto wengine wengi waliobahatika kupita kwenye mikono yangu. Mimi kama mama kuna vitu nimekutana navyo ambavyo natamani ningevijua mapema ingeniokoa pakubwa kwenye safari hii ya malezi. Sikiliza Episode hii mpya nimekufafanulia kwa undani makosa ambayo hutakiwi kuyafanya kwenye malezi ya mtoto wako maana utamharibu na kumharibia maisha yake ya baadae.

Yaliyomo kwenye Episode hii:

00:02 Intro
02:00 Umakini kuhusu tunayoshirikisha watoto wetu.
03:38 Maisha ni kusaidiana (Baba sio mfalme).
04:00 Watoto wanajifunza wanachoona.
04:45 Kila kilichomo kwenye familia ni cha familia nzima.
06:58 Ukipanda mchicha utavuna mchicha.
07:15 Hisia unazowapa ndio wanazobeba.
09:45 Usipofanya haya shetani lazima atamdaka.
10:31 Usimnyanyase baba au mama yake.
11:31 Kwenye malezi hakuna the winner wala looser.
12:41 Mtoto hataki kudekezwa.

Watch and Subscribe ; https://www.youtube.com/@auntsadakalessons
Listen : https://linktr.ee/auntsadakalessons

Follow my Social Media accounts

https://twitter.com/auntsadaka
https://www.instagram.com/auntsadaka/
https://www.tiktok.com/
https://www.facebook.com/auntsadaka

View Details

Kwenye episode hii nataka kushare na wewe mambo sita makubwa niliyojifunza kuhusu malezi. Mimi kama mama ambaye nimelea mtoto wangu na watoto wengine wengi waliobahatika kupita kwenye mikono yangu haya ni mambo ambayo yalinifunza kwa kiasi kikubwa na kunifanya kubadilisha mtazamo wangu kuhusu malezi ya watoto. Kuna vitu tunafanya kwenye maisha yetu bila kujua kuwa kuna vurugu zilizopo ndani zinazotusukuma kufanya tunayoyafanya kama wazazi bila kujua tunajenga au kuharibu kiasi gani maisha ya baadae ya watoto wetu. Sikiliza halafu uniambie na wewe umejifunza nini kwenye comments hapo chini. Karibu.

Yaliyomo kwenye Episode hii.

00:03 Utambulisho

00:50 A silent screamer maana

01:23 Mama wa kambo si mama

04:14 Usipandikize chuki

04:53 Muonyeshe kwao ni wapi

06:53 Busu paji la uso

07:43 Vurugu zibaki kwa mke na mume

08:48 Thamini ubinadamu wake

09:28 Usimlinganishe mtoto wako unamvunja thamani

10:20 Tafuta chanzo

10:24 Jipendekeze kwa Mungu

11:50 Usipige nduru anapokosea/usimtangaze

12:46 Watoto wanaongea kwa hisia

14:26 Muonyeshe kwa vitendo

14:40 Mwisho

Watch and Subscribe ; https://www.youtube.com/@auntsadakalessons
Listen : https://linktr.ee/auntsadakalessons

Follow my Social Media accounts

https://twitter.com/auntsadaka
https://www.instagram.com/auntsadaka/
https://www.tiktok.com/
https://www.facebook.com/auntsadaka

View Details

On this first introduction episode, I will deep dive why I decided to start this podcast Aunt Sadaka's Lessons to talk about parenting, relationships, career and general life challenges. I will be sharing my personal experiences and your experiences by connecting with my people from all over the world. My Premier episode is on November 30' 2022 and you can come back every week on Wednesday for brand new episodes. You can watch Aunt Sadaka's Lessons on YouTube or just listen on all other podcasts @auntsadaka. We can also connect on social media accounts Instagram, Twitter, Facebook and Tiktok @auntsadaka. Feel free to share to leave your comments or on my YouTube channel or if you have a specific topic that you want me to cover.

Key takeaways

00:13 Introduction

00:52 Why I got into psychology

02:06 Why I decided to start this Podcast

03:24 Why you should be aware with your life

03:57 My target audience

04:37 My social media handles

05:00 Outro

Please leave your comments below;