Radio Maria Tanzania: Recent Episodes

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

View Details

Kipindi: Walinde watoto
Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto

Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo

Mtangazaji: Elizabeth Masanja

L'articolo Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto proviene da Radio Maria.

View Details

Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku

Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani?

Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi

L'articolo Uraibu unajengwa kwa muda gani? proviene da Radio Maria.

View Details

KIPINDI ELIMU JAMII

MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD

MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER

L'articolo BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU proviene da Radio Maria.

View Details

Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU

Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???”

Mtangazaji: Festo Chahali

L'articolo “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” proviene da Radio Maria.

View Details

Kipindi-: Ijue Sheria

Mada-: Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa.

Mtangazaji: Peter Alaphaxad

Mwendesha Mada-: ni Mheshimiwa EDWARD USORO HAKIMU MKAZI MWANDAMIZI WILAYA YA MUFINDI ALIKUWEPO PIA INSPECTOR AHMED MAGENDA

L'articolo Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa proviene da Radio Maria.

View Details

Damu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu.

Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani ya Kikristo.

Mtangazaji: Festo Chahali

L'articolo Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Je, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi.

Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya Kanisa Katoliki. Utajifunza nafasi ya Yosefu katika mpango wa Mungu na jinsi ubikira wa daima wa Bikira Maria unavyoeleweka katika imani ya Kanisa.

L'articolo Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu? proviene da Radio Maria.

View Details

Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku.

Karibu utazame

L'articolo Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo.

Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya kiroho kutoka Radio Maria Tanzania.

L'articolo Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza proviene da Radio Maria.

View Details

KIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI

Mada: Maisha ya Stephano

Mtangazaji: Martin Joseph

Siku: Ijumaa Julai 17, 2026

L'articolo Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi proviene da Radio Maria.

View Details

Kipindi Hewani: Ijue Sheria

Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma

wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi

Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani

Studio Elizabeth Masanja

L'articolo Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma proviene da Radio Maria.

View Details

KIPINDI – PRO LIFE

Mada ndogo Usafi wa Moyo

Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania

Studio: Pendo Stephano

L'articolo Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo proviene da Radio Maria.

View Details

KARIBU USIKILIZE KIPINDI CHA WALINDE WATOTO

Mada: Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa.

Mtangazaji: Martin Joseph

Mtoa mada: Daktari Padre Peter Siamoo kutoka Moshi.

Jumapili, tarehe 5 Julai 2026.

L'articolo Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani proviene da Radio Maria.

View Details

KIPINDI: IJUE SHERIA

Kila Jumatatu saa 8:00 mchana

Kipindi hiki kilirushwa Jumatatu, tarehe 6 Julai 2026.

Mada: Taratibu za wadaawa kuwakilishwa na mawakili wa kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo.

Mwezeshaji: Mheshimiwa Hekima Nyalusi, Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Mwanzo Bomani, Mkoa wa Iringa.

L'articolo Taratibu za Wadaawa kuwakilishwa na Mawakili wa Kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto

Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi

Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono

Mtangazaji Elizabeth Masanja

Tarehe 19 Aprili 2026

L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto

Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi

Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto

Mtangazaji Peter Alphaxad.

Tarehe 29 Machi 2026

L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu.

Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima?

Tarehe 15 Machi 2026

L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto

Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu

Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto

Mtangazaji Elizabeth Masanja

Tarehe 01 Machi 2026

L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia.

Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza.

Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu

Tarehe 02 Machi 2026

L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es SalaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 12 Machi 2026

L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 17 Aprili 2026

L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 10 Aprili 2026

L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es SalaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 20 Machi 2026

L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es SalaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 27 Februari 2026

L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei

Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es SalaamMada ni Kanzi ya Uongozi

Tarehe 20 Februari 2026

L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bw. Godfrey Mkaikuta, Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo

Mada ni Hatua za ukuaji wa mtoto

Tarehe 21 Aprili 2026

L'articolo Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo

Mada ni Malezi ya Mtoto baada ya kuzaliwa

Tarehe 14 Aprili 2026

L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo

Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu

Tarehe 31 Machi 2026

L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo

Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu

Tarehe 24 Machi 2026

L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo

Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai

Tarehe 10 Machi 2026

L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai

Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim

Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai

Tarehe 03 Machi 2026

L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu?

Tarehe 31 Machi 2026

L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu

Tarehe 30 Machi 2026

L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu.

Tarehe 29 Machi 2026

L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma?

Tarehe 27 Machi 2026

L'articolo Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu?

Tarehe 26 Machi 2026

L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam

Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau?

Tarehe 24 Machi 2026

L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa.

Tarehe 22 Machi 2026

L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi?

Tarehe 20 Machi 2026

L'articolo Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha?

Tarehe 19 Machi 2026

L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Je shetani aliumbwa na Mungu? na Je maovu yanatoka wapi kama Mungu aliumba vitu vyote vikiwa vizuri?

Tarehe 18 Machi 2026

L'articolo Je shetani aliumbwa na Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo?

Tarehe 17 Machi 2026

L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu?

Tarehe 16 Machi 2026

L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili?

Tarehe 15 Machi 2026

L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili?

Tarehe 13 Machi 2026

L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi?

Tarehe 11 Machi 2026

L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu

Tarehe 10 Machi 2026

L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine?

Tarehe 09 Machi 2026

L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani .

Mwezeshaji ni Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba?

Tarehe 08 Machi 2026

L'articolo Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani .

Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali ni Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini?

Tarehe 06 Machi 2026

L'articolo Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Mada ni Nini maana ya Tabernakulo?

Tarehe 05 Machi 2026

L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani .

Mwezeshaji ni Shemasi Emilian Samson Mahinya, kutoka Seminari kuu Mtakatifu Augustino Peramiho. Jimbo Kuu la Songea

Swali ni Katika njia ya msalaba kituo cha tano Simoni wa Kirene alimpokea Yesu msalaba, je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba

Tarehe 03 Machi 2026

L'articolo Je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa

Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima”

Tarehe 03 Machi 2026

L'articolo Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa

Mada ni Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani?

Tarehe 02 Machi 2026

L'articolo Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa

Mada ni Nini maana ya kwaresima?

Tarehe 01 Machi 2026

L'articolo Nini maana ya kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Shemasi Emmanuel mganga kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Mada ni Ni nani anaemchagua Papa?

Tarehe 27 Februari 2026

L'articolo Kwa mfano mtu akikukosea na hataki kukuomba msamaha hapo inapaswa kumfanyeje? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU?

Tarehe 26 Februari 2026

L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Magai Mussa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Mada ni Ni nani anaemchagua Papa?

Tarehe 25 Februari 2026

L'articolo Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani.

Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Mada ni Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume?

Tarehe 24 Februari 2026

L'articolo Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera,

Mada ni Fumbo La Pasaka

Mtangazaji ni Peter Alphaxad.

Tarehe 15 April 2026

L'articolo Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera,

Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria

Mtangazaji ni Peter Alphaxad.

Tarehe 05 March 2026

L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, ambaye amefafanua kuhusu

Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria

Mtangazaji ni Martin Joseph

Tarehe 04 March 2026

L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania. ambaye amefafanua kuhusu “Njia ya msalaba kituo cha 14 ikiwa niwakatika wa ukimya” na leo tutamuangalia Nickodem na Dhamiri yake juu ya Kristu.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

Tarehe 01 April 2026

L'articolo Kituo cha Kumi na nne, Fahamu dhamiri ya Nickodem juu ya Kristu . proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu.

Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria

Mtangazaji ni Joyce Jonatus

Tarehe 03 Machi 2026

L'articolo Wafahamu ndugu saba waliotokewa na Mama Bikira Maria na kuanzisha shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu.

Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria

Mtangazaji ni Joyce Jonatus

L'articolo Wafahamu washirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Mhasham Lazarus Vitalis Msimbe SDS, Askofu wa Jimbo la Morogoro. Mada ni “Mfungo wa kwaresima.”

Mtangazaji ni Happiness Mlewa

L'articolo Mfungo wa kwaresima proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Clement Kihiyo , Katibu Mtendaji idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania. Mada ni “Mwaliko wa kufanya toba”

Mtangazaji ni Happiness Mlewa

L'articolo Mwaliko wa kufanya toba proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, ambaye amefafanua kuhusu “Juma la Miito Mitakatifu na wito wa Baba Mtakatifu Leo XIV katika kuombea miito.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo LIFAHAMU JUMA LA MIITO MITAKATIFU KATIKA KANISA proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Maadhimisho ya miaka 40 ya Hospitali ya Kardinali Rugambwa ya Mkoani Dar es salaam”.

Mwezeshaji wa Kipindi hiki ni Mkurugenzi na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Kardinali Rugambwa akiwa sambamba na watumishi wa hospitali hiyo.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo UNDANI WA MIAKA 40 HOSPITALI YA KARDINALI RUGAMBWA proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Kampeni ya Fursa Sana” inayoratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili uizfahamu fursa zinazopatikana kwenye mitandao ya kijamii.

Wawezeshaji wa Kipindi hiki ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi kutoka TCRA Bi. Herieth Shija pamoja na Mhandisi Mohamed Bokko pia kutoka TCRA.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “umuhimu wa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia”

Mwezeshaji wa kipindi hiki ni Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Kituo cha Tiba na Utengamao cha Anthonia Verna Kawe Mkoani Dar es salaam Bw. Asadi Mwengwa.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji Je nadhiri maana yake ni nini?

L'articolo Je nadhiri maana yake ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?

L'articolo Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji tofauti iliyopo kati ya majini mapepo na shetani hususani katika Agano jipya?

L'articolo Tofauti iliypo kati ya majini mapepo, majini na shetani hususani katika Agano jipya? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa?

L'articolo Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Desderius Mwangaluka kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji nini maana ya baraza la maaskofu?

L'articolo Fahamu maana ya baraza la Maaskofu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Franco Abel kutoka Jimbo Katoliki Mafinga akijibu swali la msikilizaji juu ya Tofauti kati ya Mapepo na Mashetani?

L'articolo Unafahamu tofauti kati ya mapepo na masheta? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya ndoto?

L'articolo Je Wakatiliki wanasemaje kuhusu ndoto ? proviene da Radio Maria.

View Details

Pendo Stephano, katika kipindi cha Tumsifu Maria, Muwezeshaji ni Padre Fabiani Ngeleja kutoka Parokia ya Mtakatifu Josephine Bhakita Nyamanoro Jimbo Kuu la Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria.

L'articolo Kwanini Mama Bikira Maria anaitwa Mnara wa pembe? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Tumsifu Maria, MMuwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria.

L'articolo Mfahamu Bikiria Maria Mama wa huruma. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Pendo Stephano, katika kipindi cha Tumsifu Maria, Muwezeshaji ni Padre Fabiani Ngeleja kutoka Parokia ya Mtakatifu Josephine Bhakita Nyamanoro Jimbo Kuu la Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria.

L'articolo Yafahamu Majina mengine ya Mama Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo.

kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano.

L'articolo Jukumu la Roho Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi na stahiki katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo.

kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano.

L'articolo Jukumu la Roho Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Malezi mazuri kufaraha ya mzazi katika ukuaji wa mtoto, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo na Bi Janeth Akaro na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Masanja.

L'articolo Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano. proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo na Bi Janeth Akaro na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Hatua zakukua mtoto.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Masanja.

L'articolo Fahamu kipindi ambacho mtoto hupenda zaidi mama yake proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Witness Joachim na Bwana , Bi Janeth Akaro na Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Hatua zakukua mtoto.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Masanja.

L'articolo Zifahamu hatua za kuaji wa mtoto tokea tumbo kwa mama proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Witness Joachim na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Hatua zakukua mtoto.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Masanja.

L'articolo Je hatua za ukuaji wa mtoto zinamfanya mama amasahau mtoto wake? proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Tumbo la mwanamke na utenzi wa uhai.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Catherine Kaberege.

L'articolo Je Mama anaweza kumsahau mtoto wake anyonyae hata asimuhurumie mwana wa tumbo lake proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia mada juu ya Tumbo la mwanamke na utenzi wa uhai.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Henry Masanja.

L'articolo Umuhimu wa tumbo la Mama kama makazi ya muda ya mtoto mchanga kama safari ya kuzaliwa proviene da Radio Maria.

View Details

karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo.

kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano.

L'articolo Fahamu Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, pamoja nasi tunao wageni kutoka shirika la Wazee na Wastaafu Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa.

L'articolo Shirika la Wazee na Wastaafu Wakatoliki Tanzania kuelekea Misa ya Shukrani na Hija ya kitaifa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, pamoja nasi tunao wageni kutoka shirika la Wazee na Wastaafu Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa.

L'articolo Hija ya Wazee na Wastaafu na Kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Catherine Kaberege katika kipindi cha Utume wa Walei, Ndugu Gordon Rwenyagira, Mratibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa.

L'articolo Utayari kama kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya Uongozi.

L'articolo Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Ndugu Gordon Rwenyagira, Mratibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Ratiba ya uchaguzi Utume wa Walei Tanzania.

L'articolo Ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wa Halmashauri ya Walei kwanzia ngazi ya Parokia. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji ni Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania.

L'articolo Fahamu sheria ya ndoa na ulinzi wa mtoto. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Joyce Jonatus katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania.

L'articolo Fahamu utaratibu uliowekwa juu ya ulizi wa mtoto proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania.

L'articolo Fahamu sheria zinazo mlinda mtoto juu ya matuzi ya mtandao. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martn Jseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu ndani ya malezi ya watoto.

L'articolo Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu kama Baba na Mama katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji Wakili Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania.

L'articolo Ifahamu sheria ya kanuni za adhabu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya kula nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama wakati imekatazwa kwenye Biblia?

L'articolo Wakatoliki wanasemaje juu ya kula Nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi?

L'articolo Tufanye nini tunapokutana na watu wanaobishana kuhusu ukatoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi?

L'articolo Ijue sababu ya ubishe kwa wale wanaohasi ukatoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo?

L'articolo Siyo kila Padre au Mlei anaruhusiwa kutoa mapepo bali wale wenye kibali maalum proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo?

L'articolo Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini.

L'articolo Fahamu namna ya kupeleka upendo kwa Masikini proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini.

L'articolo Tambua kua umasikini si tukukosa chakula. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini.

L'articolo Fahamu upendo wa Mungu ulipo. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya Neno la Mungu

L'articolo Tambua nafasi ya neno la Mungu katika utume wa Kanisa na maisha ya kila mmoja proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu.

L'articolo Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu.

L'articolo Mtu ambae hajui vizuri neno la Mungu basi hamjui Kristo. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu.

L'articolo Ijue Dominika ya neno la Mungu proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa.

L'articolo Mwaka wa kanisa na uwepo wa Mungu proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Peter Alphaxad katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa.

L'articolo Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya Epifania.

L'articolo Je wafahamu Noeli huisha baada ya muda gani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akiendelea na mafundisho juu ya Epifania.

L'articolo Je wajua kwanini nyumba za wakatoliki zinakua na namba juu ya mlango proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha Tafakari juu ya Epifania.

L'articolo Fahamu mafundisho juu ya Epifania na chanzo chake proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Peter Alphaxid katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Abel Umbamba kutoka Seminari ya Maandalizi Tosamanganga Jimbo Katoliki Iringa akijibu swali la msikilizaji juu ya Elimu inayohusu Malaika

L'articolo Fahamu elimu ya Malaika? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Thimothy Msigwa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akifafanua ni kitu gani Wayahudi walikuwa wamebeba katika Sanduku la Agano.

L'articolo Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Malezi na makuzi, Studio niko na Sister Theresia Karubaga kutoka Shirika la Bikira Maria Mama wa Masaada wa daima Jimbo Katoliki Bukoba, Ambaye anafanya utume wake Kwasasa Jimbo Katoliki Zanzibar, Leo atatupa elimu juu ya ukatili dhidi ya Watoto

L'articolo Je, unafahamu athari za ukatili dhidi ya Watoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami mtangazaji wako Happiness Mlelwa katika kipindi chetu pendwa cha Elimu Jamii, hapa studio tupo na Bi Irene Guela kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano huduma kwa wateja kutoka TANESCO na Bi Catherine Mugoha Muhandisi nishati safi kutoka TANESCO, Wakitupa elimu kuhusu nishati na mita janja kupelekea maendeleo endelevu

L'articolo Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi chetu pendwa cha chakula na lishe ambapo leo studio nipo na Bi. Nusura Salum, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akiendelea kutoa ufafanuzi zaidi juu yamatokeo hasi na chanya ya Chumvi na Sukari katika Lishe.

L'articolo Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini.

L'articolo Fahamu Waraka wa Baba Mtakatifu Leo XIV juu ya upendo kwa maskini proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi?

L'articolo Je, ni kweli mtu akitoka katika Kanisa Katoliki na kwenda katika Madhehebu mengine anakuwa mbishi na mkaidi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama Barabarani, Wawezeshaji ni Staff Sajenti Aurelian Chuwa na Sajenti Abdala Isamail kutoka Traffic Makao Makuu wakizungumzia mada juu ya viakisi mwanga.

L'articolo Je, unafahamu maana na umuhimu wa viakisi mwanga barabarani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro – Life, Utetezi wa Uhai ambapo studio nipo na Bwana Godfrey Mkaikuta, Antony Lihepa, Witness Joachim na Janeth Akaro, Wakufunzi kutoka Pro – Life Tanzania wakitufundisha mada juu ya Mwanamke na tumbo la uzazi.

L'articolo Fahamu kutungwa mimba kwa mwanadamu mpaka kuzaliwa kwake proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema Kanisa au kiongozi wa Kanisa kujihusisha na harakati za kisiasa au chama cha kisiasa inaruhusiwa?

L'articolo Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?

L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine

L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao.

L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tunaungana na Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hembahemba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akitufundisha juu ya Bikra Maria Malkia wa Imani.

L'articolo Je, unafahamu sifa ya Mama Bikra Maria Malkia wa Imani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi,Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula {C.PP.S}, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya maisha ya Mtakatifu mpya Mtakatifu Bartolongo.

L'articolo Je, unafahamu maisha ya Mtakatifu Bartolongo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena nami Bwana, ikiwa ni mafundisho kutoka kwa Mababa wa Kiroho kwa namna ya kipekee wanaonene nasi siku hii ya leo ni Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Iringa, Askofu Christopher Ndizeye wa Jimbo Katoliki Kahama na Shemasi Deodat Zawadi kutoka Jimbo Katoliki Lindi.

L'articolo Nena nami Bwana Dominika ya 29 ya mwaka C wa Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku ya Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kawaida cha mwaka {sehemu ya tisini na nane} proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya ya Bwana, hakika ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka {sehemu ya tisini na saba} proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya ya Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka {sehemu ya tisini na sita} proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Peter katika kipindi cha Fahamu wito wako, mwezeshaji Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akitufundisha juu ya Heri za utakatifu furahini na kushangilia.

L'articolo Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, Wawezeshaji ni Katekisita Castory Matimla, Benedict Kessy, Monica Kessy na Paschal Maziku kutoka Familia ni Nyumba Aminifu, wakitufundisha juu ya mlango wa nyumba aminifu na changamoto zake.

L'articolo Je, Unazifahamu changamoto za mlango wa nyumba aminifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Ijue Afya yako, mwezeshaji wa kipindi ni Daktari Catherine Mlale kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi Ifakara, Jimbo Katoliki Ifakara, akitufundisha juu ya ugonjwa wa mtoto wa Jicho.

L'articolo Unafahamu sababu zinazosababisha kupata ugongwa wa mtoto wa Jicho? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitueleza juu ya ujumbe wa Amani wa Papa Benedict wa 15

L'articolo Je, unaufahamu ujumbe wa Amani wa Papa Benedict wa 15? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matamgazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya ujumbe wa Mama Bikira Maria kuhusu Amani.

L'articolo Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}, Mwezeshaji Padre Alfred Kwene, akitufundisha juu ya Dominika ya Kimisionari 2025 na wajibu wetu sisi Waamini.

L'articolo Ifahamu Dominika ya Kimisionari na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shikishi, Mwezeshaji Padre Deodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Watakatifu na Mapapa wanazungumza nini kuhusu Rozari Takatifu.

L'articolo Je, unaufahamu ujumbe wa Mapapa na Watakatifu kuhusu Rozari Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Paschal Patrick, katika kipindi cha Tafakari ya Mama Bikira Maria, Mwezeshaji Askofu Method Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba akitufundisha juu ya Kutukuka kwa Msalaba

L'articolo Je, unafahamu maana ya sherehe ya kutukuka kwa msalaba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, leo tutakuwa na mwezeshaji Bi. Eneless Mwinami Afsa Program kutoka Mwanza, akitufundisha juu ya Uthubutu wa mwanamke Kiuchumi.

L'articolo Ewe mwanamke je, unaufahamu uthubutu wako katika Uchumi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai, katika kipindi cha Tumsifu Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Nyamanolo Jimbo Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Uzuri wa Mama Maria.

L'articolo Je, unaufahamu uzuri wa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji wa Kindi ni Bi. Nusula Salum Afsa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Lishe na Chakula Tanzania, akitufundisha juu ya Lishe wakati wa Uzee.

L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa Lishe wakati wa Uzee? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Paschal Patrick, katika kipindi cha Historia ya Kanisa, mwezeshaji ni Mhashamu Askofu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Msitaafu Jimbo la Bukoba, akitufundisha Historia juu ya Mapinduzi ya Ufaransa na Kanisa.

L'articolo Mkatoliki je, unaifahamu historia ya Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili.

L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Rozari Takatifu nguvu ya Familia ya Mungu.

L'articolo Mkatoliki Unafahamu nguvu ya Rozari Takatifu ndani ya Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Jacob Mkandawile kutoka Parokia ya Bikira Maria wa Bwawa la Mtela Migoli Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Wakristo Wakatoliki hawazingatii sana Sala ya Hija.

L'articolo Kwanini Wakristo wengi hawazingatii Sala ya Hija? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea Msalaba je? ni kushoto mbele kifuani au kulia.

L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu Cha Kikatoliki Ruaha Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Mavazi madogo wanayovaa Mapadre kama Mshipi, kitambaa Mgongoni na Kifuani vinavyovaliwa kabla ya Kanzu ya Padre.

L'articolo Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena Nami Bwana, Wawezezaji wa kipindi ni Wahashamu Maaskofu na Mapadre kutoka Majimbo mbalimbali,Wakitufundisha juu ya Sikukuu ya Kutukuka Kwa Msalaba Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristo.

L'articolo Nena nami Bwana Dominika ya Sikukuu ya Kutukuka kwa Msalaba proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katikisimu Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera akitufundisha juu ya Utakatifu katika Ulimwengu wa Kidijitali.

L'articolo Je, unafahamu utakatifu juu ya ulimwengu wa kidijitali? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba, akitufundisha juu ya Mwangaza wa Kanisa Kitaifa.

L'articolo Je,unafahamu mapinduzi ya fikra katika kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, Mwezeshaji wetu ni Daktari Katanta Razalusi, Mwandamizi wa Masuala ya Uzazi na Familia na Mwenyekiti wa Watoa Huduma za Afya Wakatoliki Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, akitufundisha juu ya changamoto ya Afya ya Akili kwa Vijana.

L'articolo Je, unafahamu changamoto ya Afya ya akili kwa kijana? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili.

L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania.

L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini , Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, ambapo ameendelea kujibu maswali mbalimbali yaliyoilizwa na msikilizaji.

Mtangazaji ni Patrick Pascal Tibanga – Radio Mbiu

L'articolo Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linahoji hivi; Kanisa linahimiza kuwasaidia watu masikini, sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati mimi mwenyewe ni masikini? Na je Matajiri hawahitaji kusaidiwa?

Swali limejibiwa na Frateri Peter Peter kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma.

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini? proviene da Radio Maria.

View Details

Kipindi Cha Mbiu ya Heri MADA ni Matumaini katika Mateso kadiri ya maandiko Matakatifu katika Maisha ya Mkristo.

Mafundisho haya yanatolewa na frateri Fransic Kulamiwa, Kutoka Seminari ya familia Takatifu Mwendakulima, yeye anatoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza.

L'articolo Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha? proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frater Justine Galus Mwanaka, Kutoka Jimbo Katoliki Iringa, Mseminari katika Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama ambapo anatufundisha juu ya fadhila ya msamaha, ni kupitia kipindi cha Mbiu ya Heri.

Karibu sana.

L'articolo Ifahamu fadhila ya msamaha katika Maandiko Matakatifu proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Uraibu, ambacho huandaliwa na kuletwa kwetu na Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, katika kipindi hiki Padre Matanda amezungumzia juu ya “Uchunguzi na tathimini katika utegemezi wa matumizi ya dawa za kulevya”.

Karibu kwa Elimu zaidi.

L'articolo Zifahamu chunguzi na tathimini katika utegemezi wa matumizi ya dawa za kulevya proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu msikilizaji mpendwa usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagladness Mrumah, katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia kwa undani juu ya mada hiyo.

Mimi ni Happiness Mlewa ninakualika kwa niaba yake

L'articolo Zifahamu Sifa za wazazi wawajibikaji katika kutoa malezi kwa watoto proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anafundisha juu ya heshima kwa Kanisa Kuu la Bikira Maria Mkuu.

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu. proviene da Radio Maria.

View Details

karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, kinaandaliwa na kuletwa kwako na Padre Ladislaus Mgaya, Mtaalamu na Mwanasheria wa sheria za kanisa Kutoka Jimbo Katoliki Njombe anaendelea kufundisha kuhusu taratibu za kufunga ndoa (Sheria namba 1112 -1118)

Mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu utaratibu wa kufunga ndoa ndani ya kanisa Katoliki (Sheria namba 1112 -1118) proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, swali linahoji hivi;

Sala ya Baba yetu ilifundishwa na Bwana wetu Yesu Kristo, Je, ishara ya njia ya msalaba katika Kanisa ilifundishwa na nani?

Swali limeulizwa na Laurent Michael kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga

Na limejibiwa na Frateri Daudi Fungameza kutoka Parokia ya ya Songwe Jimbo Kuu Katoliki Mbeya

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je, unafahamu Ishara ya njia ya msalaba ilifundishwa na nani? proviene da Radio Maria.

View Details

karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine.

kukualika kwa niaba yake mimi ni Joyce Jonatus.

L'articolo fahamu nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Bwana Richard katika kipindi cha maisha ni safari akielezea akielezea safari ya maisha yake hii ni sehemu ya 2.
Mtangazaji wako ni mimi Martin Joseph.

L'articolo Maisha ni Safari (Richard sehemu ya 2) proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Bwana Richard katika kipindi cha Maisha ni Safari akielezea safari ya maisha yake.
Mimi ni Mtangazaji wako Martin Joseph.

L'articolo Maisha ni Safari (Richard Sehemu ya 1) proviene da Radio Maria.

View Details


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, maswali yatakayojibiwa yameulizwa na Judith kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam akihoji hivi;

  1. Kwanini kwa Wakristo mtu akifariki wanawekewa Msalaba kwenye kaburi?
  2. Naomba kuelewa, maana ya nadhiri, na pia inaweza kuondolewa na mtu au na Mungu?

Yanajibiwa na Frateri Barnabasi Myushi, kutoka Parokia Bikira Maria Mpalizwa mbinguni – Ujewa Jimbo Katoliki la Mafinga

Mtangazaji wak ni Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja anapoendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu.

L'articolo Je, unafahamu Msalaba ni nguvu ya wokovu wetu? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na saba) proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, ambapo Sista Angela Jeremiah, Mkurugenzi Kituo cha Utengemao (Mazoezi tiba)cha Antonia Verna – Kawe jijini Dar es Salaam anatoa elimu juu ya Familia kama chanzo cha ulemavu.

L'articolo Je, ni kwa namna gani Familia inakua chanzo cha ulemavu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wokovu.

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Mhshamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba leo anatuongoza kuangazia maisha ya Mtakatifu Martha.

Mtangazji wako ni Beatrice Audax

L'articolo Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linalojibiwa Leo linauliza hivi;

Bwana wetu Yesu Kristo alisema, atakayenikiri na kubatizwa kwa jina langu, ndiye atakayeokoka. Je kwa madhehebu au dini nyingine mathalani ndugu zetu waislamu ambao huwa hawabatizwi hawawezi kuokoka?

Majibu yanatolewa na Frateri Renatus Kazimoto anayefanya utume Parokia ya Bikira Maria msaada wa Wakristo – Mnero Jimbo Katoliki Lindi

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je, madhehebu mengine ambao hawabatizwi hawawezi kuokoka? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Joseph Kasongwa Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ambapo leo tunaangazia juu ya Thamani ya kura wakati wa uchaguzi Mkuu.

Studio Kuu Mikocheni mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu nikishirikiana na Geofrey Rweyunga kutpka studio ndogo Jijini Dodoma.

L'articolo Je, unafahamu thamani ya ya kura yako katika kipindi cha uchaguzi Mkuu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam

Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani.

L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tuungane na Frateri Benendict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (RUCU) Jimbo Katoliki Iringa anajibu swali kutoka kwa msikilizaji ameuliza hivi.

Je, Yohane mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au mi Yohane mwingine?

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je, Yohane Mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au ni mwingine? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anafundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya mada ya “Damu Azizi ya Yesu nguvu ya utakaso.”

L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema.

L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Parokia ya Bikira Maria Imakulatha Pande Msakuzi, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akizungumzia juu ya kujenga urafiki na Yesu.

L'articolo Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Jimbo kuu Katoliki Mwanza anatuelimisha juu ya Vizuizi vya Ndoa Takatifu ya Kanisa Katoliki.

L'articolo Je, unafahamu vizuizi vya ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji Karibu uungane na Frateri Fredrick Alfred Kabonge, kutoka Parokia ya Bikira Maria Consolata Kibao, Kituo cha Hija ya Huruma ya Mungu, Jimbo Katoliki Mafinga ambaye anajibu swali hili
“Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, shahidi wa kwanza wa Ufufuko wake, “usiniguse?”

Mimi ni Mtangazaji wako Elizabeth Masanja.

L'articolo Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, Usiniguse? proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frateri Theodosia Ng’etwa wa Jimbo Katoliki Iringa, ambaye ni Mseminari wa Seminari Kuu ya Kitaifa ya familia Takatifu iliyopo Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, katika kipindi Cha Mbiu ya Heri, ambapo Leo anazungumzia juu ya Nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji.

Karibu sana.

L'articolo Je wafahamu nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katolikia Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya “Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano dhidi ya yule mwangamizi.

Karibu

L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu akiangazia ni kwa namna gani Damu Azizi lugha ya mawasiliano.

Mimi ni Mtangazaji wako Esther Magai Hangu

L'articolo Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania anazungumza juu ya thamani ya ukombozi wetu.

Mimi ni Mtangazaji wako Joyce Jonatus.

L'articolo Je, unaifahamu thamani ya ukombozi wetu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha maswali yahusuyo imani, kipindi kinaandaliwa na waseminari kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea

Frateri Yakobo Malemu Chagu kutoka Parokia ya Bukundi, Jimbo Katoliki Shinyanga anajibu swali linalohoji hivi;

Kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? limeulizwa na Calvin Jeremiah Mponzi kutoka Jimbo Katoliki Shinyanga .

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je, kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anafundisha kuhusu Utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki ambayo ni sheria namba 1108 – 1123.

Mtanagazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je unafahamu utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa.

L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.

View Details

Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi. Grace Shayo na Bi. Janeth Akaro, wakizungumzia mada juu ya Familia na Malezi ya watoto.

Karibu usikilize na kujifunza kuhusu kipindi hiki, kwa niaba ya wanaprolife utetezi wa uhai Tanzania mimi ni mtangazaji wako Elizabeth Henry Masanja.

L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa malezi ya watoto katika familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025.

Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake.

Mtangazaji ni Esther Magai Hangu

L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.

View Details

“Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina.

L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio.

L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa.

Karibu sana Mzazi mwenzangu.

L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025.

Karibu

L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini.

L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi, leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria.

L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi, Studio nipo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Matumaini katika Kutoa.

L'articolo Je, unafahamu matumaini katika utoaji? proviene da Radio Maria.

View Details

karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tutakuwa na mwezeshaji wetu, Gordon Rwenyagira, Mjumbe wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha namna ya kupata kiongozi wa Kanisa.

L'articolo Je, unafahamu njia bora ya kuchagua viongozi wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai?

Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Mafrateri hao.

L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu.

Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto.

Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini

Msimamizi wa matangazo ni Esther Magai Hangu – studio za Radio Maria Tanzani

L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu.

Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic.

L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na MkurugenzI wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu,

Kukualika kwa niaba yake, mimi ni Esther Magai Hangu

L'articolo Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza kipindi cha Usalama Barabarani, studio nipo na Sajenti Abdalah Ismail pamoja na Sajenti Rehema wote kutoka Trafik Makao Makuu, ambao wanatoa elimu kwa Maafisa Usafirishaji (bodaboda) kuzingatia sheria za Usalama Barabarani. karibu.

L'articolo Madereva wa Bodaboda zingatieni Sheria za Usalama Barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji karibu uungane na Shemasi Benedict Paschal Ndinde, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustini Peramiho Jimbo Kuu Songea, kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo anajibu swali la msikilizaji wetu kutoka Parokia ya Peramiho Jimbo Kuu la Songea , aliyeuliza “Kwa nini wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wala kuchovya wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu?”

L'articolo Je, ni kwa nini Wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wakati wa Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Leo katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Padre Domini Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anatupatia mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu. Karibu ujichotee mafundisho ya kina kupitia kipindi hiki nami ni mtangazaji wa Happiness Mlewa.

L'articolo Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU

L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria.

L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa.

L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi.

Mtangazaji ni Esther Magai Hangu.

L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya mataji ya Mama Bikira Maria, akijikita katika taji la usafi wa moyo.

L'articolo Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu

L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

View Details

Ni siku nyingine, karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza mafundisho kupitia kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anaendelea na mafundisho kupitia mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, na leo tukilitazama taji la tisa (9) ambalo ni Fadhila ya Huruma. Karibu upokee mafundisho haya.

L'articolo Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe.

Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”.

L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu.

L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

Leo Juni 16 kanisa linamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre, karibu uungane nami Happiness Mlewa, ili kusikiliza masimulizi ya Maisha ya Mtakatifu huyu.

L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane nami Happiness Mlewa, katika masimulizi ya maisha ya Mtakatifu wa leo, ambapo leo tarehe 13 juni Kanisa nilinamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Antoni wa Padua, Padre na Mwalimu wa Kanisa.

L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya mataji kumi ya Bikira Maria, anaangazia taji la saba fadhila ya ufukara. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic, mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu.

L'articolo Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, nami ni Mtangazaji wako Happiness Mlewa, nipo na mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akiendelea na mafundisho juu ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, tukiangazia taji la nane (8), la Fadhila ya Subira (Unyenyekevu). Karibu sana.

L'articolo Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugrnzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, ambapo anazungumzia juu ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, akijikita zaidi katika mafundisho kupitia taji la Tano (5) la Fadhila ya Moyo wa Ibada.

L'articolo Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, anaangazia taji la sita fadhila ya utii.

L'articolo Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki, ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo, Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki.

L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu maswali haya, Nini maana ya ubatizo? kwanini ubatizo usiwe wa kujirudia, ninaomba kujua uhalali wa ubatizo wa watoto wachanga? na Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anaenda wapi?

L'articolo Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi? proviene da Radio Maria.

View Details

karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, ambapo leo Frateri Valence Leons Sangu kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar essalaam, anatufundisha juu ya madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia.

L'articolo Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, leo tuko naye Frateri Joseph Enosi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam, anazungumzia juu ya mawasiliano katika Familia je, nani anahusika?

L'articolo Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu sehemu ya tatu leo tuko naye Frateri Revocatus Shukuru kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambapo anatuongoza kuangazia mada isemayo nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo.

Mtangazaji & Mtayarishaji wako ni mimi Judith Francis.

L'articolo Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo? proviene da Radio Maria.

View Details

Mpenzi Msikilizaji karibu ufuatilie Makala maalumu iliyoangazia athari za matumizi ya dawa za kulevya pamoja na pombe kupita kiasi.

Ndani ya makala haya utasikia shuhuda za vijana waliopona uraibu huo, wanachosema wazazi lakini pia ushauri wa kitaalamu uliotolewa.

Ninaamini kupitia makala haya, utakuwa balozi mzuri wa kuhakikisha unamnusuru kijana mwenzako dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya na pombe kupita kiasi.

Mtayarishaji na msimulizi ni Agatha Kisimba.

Karibu.

L'articolo Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.

L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.

L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu.

L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?

L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Moshi, akitoa ufafanuzi wa madhara ya Uraibu wa wazazi kwa watoto.

L'articolo Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, leo Studio nipo na Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha mambo yanazosababisha watu wasiwe na tabia njema.

L'articolo Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume

L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini.

L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili.

L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Huruma ya Mungu kwa Ulimwengu, Mwezeshaji ni Padre Wojceich Adam, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu, akizungumzia Dominika ya Huruma ya Mungu.

L'articolo Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha.

L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Mbiu ya heri, Mwezeshaji ni Frateri Yohane Makaya kutoka Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, akitufundisha juu ya maana na asili ya Biblia.

L'articolo Fahamu maana na asili ya neno Biblia. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph

L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Frateri Dismas Mwombeki kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya nafasi ya Mungu katika Familia.

L'articolo Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake.

L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume.

L'articolo Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini.

L'articolo Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume.

L'articolo Je, wafahamu sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe, nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?

L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini.

L'articolo Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta, Janeth Akaro na Witness Joachim kutoka Pro life Tanzania, wakitufundisha juu ya Familia na malezi ya watoto.

L'articolo Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku

L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki, kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.PS Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania akieendelea kutufundisha Mama wa Matumaini.

L'articolo Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo katika kipindi chetu tutakuwa na Padre Dominic Mavule Mkurugezi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akijibu swali letu kuhusu mafundisho ya Imani Katoliki

L'articolo Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ?

L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, akituongoza kujifunza ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Peter Peter Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa kwa namna gani mbona dhambi bado ipo duniani?

L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D’ wa Kanisa?

L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C’ wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya aina za watu na tabia zao.

L'articolo Fahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea historia ya Baba Mtakatifu Francisko.

L'articolo Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kuzungumzia juu kwanini upo hivyo ulivyo akijikita sana katika aina za watu na tabia zao.

L'articolo Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya.

L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya kwanini upo hivyo ulivyo akijikita katika aina za watu?

L'articolo Zifahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno.

L'articolo Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?

L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno.

L'articolo Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu.

L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili kwanini tunabatiza watoto wadogo?

L'articolo Je, kwanini tunabatiza watoto wadogo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, tukiungana na Padre Gideon Kitamboya kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, anatufundisha juu ya mateso ya Mama Bikira Maria.

L'articolo Je, unafahamu mateso ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15.

L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno.

L'articolo Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji kwanini sisi Wakristo Wakatoliki tunaenda kuungama kwa Padre wakati Padre naye ni Binadamu kama sisi?

L'articolo Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Bi. Maria Ngilisho, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC), akituelimisha juu ya namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi ya chakula.

L'articolo Je, unafahamu namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi cha chakula? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Jinsia na maendele0, leo tunazungumzia mada juu ya kwanini vitendo vya ukatili wa kijinsia bado vinaendelea katika Jamii licha ya elimu inayoendela kutolewa?

L'articolo Je, kwanini vitendo vya ukatili wa kijinsia vinaendela kushamiri katika Jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akizungumzia juu ya njia ya kuishi na kutambua hazina ya neno.

L'articolo Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Antony Lihepa, Grace Shayo na Janeth Akkaro kutoka Pro-life Tanzania, wakiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima na utetezi wa uhai.

L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Francis katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja kutoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akizungumzia juu ya maadhimisho ya miaka 20 ya Radio Maria Jimboni humo.

L'articolo Je, unafahamu historia ya Radio Maria katika Jimbo Kuu Katoliki Mwanza? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa za akina mama akijikita zaidi katika sifa namba 13, 14 na 15.

L'articolo Je, unafahamu sifa za akina mama katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Tafakari Nasi, Studio nipo na Padre Innocent Nzaro wa Jimbo Katoliki Kigoma akitutafakarisha juu ya Misa Takatifu na nguvu ya msamaha.

L'articolo Fahamu nguvu ya msamaha katika Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Tanzania, akijibu swali hili kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka?

L'articolo Je, unafahamu kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akizungumzia mada juu ya Bikira Maria Mama wa Huruma.

L'articolo Ifahamu kwa undani sifa ya Bikira Maria Mama wa Huruma. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa 15 za akina mama akielezea sifa namba 13, 14 na 15.

L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno.

L'articolo Je, unafahamu Kwaresima ni njia ya kutambua neno la Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu

L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akituongoza kujifunza Umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima.

L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga.

L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehemu ya themanini na sita) proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa Msikilizaji wetu akihoji, kwanini Kanisa Katoliki halishabikii sana Injili ya mafanikio na uponyaji?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa Katoliki halishabikii Injili ya mafanikio na uponyaji? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu.

L'articolo Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu.

L'articolo Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama barabarani, kutoka Kituo cha Polisi Mabawa Tanga kitengo cha Usalama Barabarani, Mada ni Mfumo wa utoaji wa Leseni za Udereva pamoja na ukaguzi wa Magari kwa njia ya Mtandao.Wawezeshaji Sajenti Cleopa Msuya na Sajenti Hamisi Mbikikila.

L'articolo Fahamu Utaratibu wa Utoaji wa Leseni za Udereva. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya kumi na tano zaWanawake.

L'articolo Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya Mwananke.

L'articolo Ifahamu sifa ya Mwanamke. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre John Bosco Paroko Msaidizi Parokia ya Pande Msakuzi kutoka Jimbo kuu la Dar es salaam, mada juu ya Mateso ya Mwanadamu yasio epukika.

L'articolo Je,wafahamu kupitia mateso ndipo nuru kukujia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Muundelezo wa Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 sura ya tatu ?

L'articolo Huo ndio uhusiano kati Imani na Jubilee kuu mwaka 2025. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu?

L'articolo Ufahamu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 kutoka TEC proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre Frank Munami kutoka Jimbo Katoliki Njombe, ujumbe wa leo unatoka Luka 17:5-10. Utumishi usio kuwa na faida.

L'articolo Fahamu umuhimu wa kujitoa Sadaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia mada ya Utamaduni wa Uhai, Malezi bora katika Familia .

L'articolo Fahamu wajibu wa Wanafamilia katika Malezi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa , katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Herode.

L'articolo Mfahamu mfalme Herode enzi za Utawala wake kabla ya kuja Kristo. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali linalo hoji kwanini Wakatoliki hawakasikiliki pale wanapo tukanwa na kuwaongelee vibaya viongozi wao?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Wakatoliki hawachukui hatua pale wanapo tukanwa na Watu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominick Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania akiendelea na mada Huruma yake ni ya Milele.

L'articolo Ifahamu nguvu ya Huruma ya Mungu kadili ya Maandiko Matakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu ya Jamii Wawezeshaji Mapinduzi Boniface Mdesa Mkuu wa Kitengo cha Utalii Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro na Daniel Mweta kutoka Kitengo cha Maendeleo na Biashara (TANAPA) mada ni juu Twenzetu kileleni katika Mlima wa Kilimanjaro .

L'articolo Watanzani wahimizwa kusherekea miaka 63 ya Uhuru wa Taifa kwa kupanda Mlima Kilimanjaro. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha maswali ya husuyo Imani ambapo Frateri Hipolith Olomi anajibu swali lililouliza “Kanisa linahimiza kuwasaidia watu Maskini sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati na mimi mwenyewe ni Maskini.”?

L'articolo Nitawezaje kuwasaidia Maskini wakati na mimi ni Maskini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Tafakari Nasi, Leo nipo na Padre Gidioni Kitamboya Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akifundisha juu ya ukuu wa mama Bikira Maria katika vita kuu ya ushindi.

L'articolo Ukuu wa Mama Bikira Maria katika vita kuu ya ushindi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika kipindi cha Tafakari nasi, Leo nipo na Padre James Singo kutoka Jimbo Katoliki Same, akifundisha juu ya ukuu wa sadaka ya Misa Takatifu.

L'articolo Je wafahamu ukuu wa sadaka ya Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Ahabu na mke wake Malkia Yezebe.

L'articolo Mfahamu Mfalme Ahabu na mkewe Malkia Yezebe. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominick Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

L'articolo Kwanini huruma yake ni ya milele? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Frateri Ayubu Polycarp Mwashubili nikijibu swali linalohoji “kuna ulazima wa kuwaombea marehemu”?

L'articolo Je kuna ulazima wa kuwaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph, Katika Kipindi cha Usalama Barabarani Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania leo tupo na Afande Michael Deleli, Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, ikiwa mada ni endesha salama ufike salama.

L'articolo Je, wafahamu njia salama ya kuendesha Gari Barabarani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Ayubu Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Malimbuko au Sadaka ya Malimbuko.

L'articolo Nini Maana ya Sadaka ya Malimbuko? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya Mlango wa Familia Aminifu.

L'articolo Je, Familia ina nafasi gani katika Sakramenti Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Ni, vigezo vipi vinatumika kuwateua Watakatifu?

L'articolo Ni, vigezo vipi vinatumika kuwateua Watakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Cassian Lebba Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Fumbo la Umwilisho?

L'articolo Nini maana ya fumbo la Umwilisho? proviene da Radio Maria.

View Details

Uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kutufundisha juu ya msaada wa Binadamu kwa ndugu zetu Marehemu.

L'articolo Ni, kwa namna gani tunawaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Judith Francis Katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Padre Respicious Sigoma kutoka Jimbo Katoliki Singida, anatufundisha juu ya medali ya miujiza.

L'articolo Je unaifahamu medali ya miujiza? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kutufundisha juu ya msaada wa Binadamu kwa ndugu zetu Marehemu.

L'articolo Fahamu msaada wa Binadamu kwa ndugu zetu Marehemu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili sherehe ya Watakatifu wote ilianzishwa lini na nani?

L'articolo Fahamu kuanzishwa kwa sherehe ya Watakatifu wote. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, leo anatufundisha juu ya madhara ya tabia mbaya katika jamii.

L'articolo Zifahamu tabia mbaya na madhara yake katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Ahabu na mke wake Malkia Yezebe.

L'articolo Mfahamu Mfalme Ahabu na mkewe Malkia Yezebe. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre Yohanes Kalua, kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia Ihalula Jimbo Katoliki Njombe akitufundisha juu ya wajibu wa kuwafua mavazi yetu katika Damu ya Mwanakondoo.

L'articolo Ufahamu wajibu wa Mkristo kuwafua Mavazi yetu katika Damu ya Mwanakondoo. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo wanaendelea na mada juu ya Utamaduni wa Uhai, kipengele cha kumlea Mtoto vizuri katika Makuzi ya kiroho na kimwili.

L'articolo Fahamu sababu zinazosababisha kutowalea watoto katika Makuzi mema. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Frateri Cassian Leba kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali linalohoji Je, kuna uhusiano gani katika sadaka za kale za kiyahudi na Bwana Yesu Kristo?.

L'articolo Je, wafahamu uhusiano Sadaka za kale na za Bwana wetu Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti Faraja Kagera – Jimbo Katoliki Bukoba akituongoza kujifunza mada ya juu ya Msaada wetu kwa Marehemu.

L'articolo Ufahamu msaada wa Wakristo kwa Watu walio tangulia mbele ya haki. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre Gidioni Kitamboya OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Dodoma akitufundisha juu ya tokeo la Fatima ni kwaajili yako.

L'articolo Fahamu juu ya tokeo la Fatima. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Emeliana Masondole katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, anatafakari juu ya mwezi wa kumi na moja yaani mwezi Marehemu.

L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa liliweka mwezi 11 wa kuwaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania ambapo leo nipo na Wadau wa Masuala ya Kijinsia Bi. Tabu Ally, Bi.Anna Sangai na Bwana Deogratius Temba mchambuzi, mwezeshaji na mtafiti wa masuala ya Kijinsia akielezea Ukweli kuhusu Wanawake na Uongozi.

L'articolo Fahamu kwanini Wanawake Washiriki katika Uongozi. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania leo tupo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, akiendelea kuelezea Maisha ya Mfalme Suleimani.L'articolo Wakristo waaswa kuyaiga yale mema aliyoyaishi Mfalme Suleimani. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akielezea juu ya Huruma yake ni ya Milele.

L'articolo Huruma ya Mungu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea kutufundisha juu ya Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha.

L'articolo Wito wa Msamaha ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu leo tupo na Wakufunzi kutoka Famila bora katika Nyumba aminifu, wakielezea Dirisha la Nyumba Aminifu.

L'articolo Ni, kwanini Sakramenti Takatifu ni muhimu katika maisha ya Mwanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa Kutoka Studio za Radio Maria Tanzia leo tupo Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Katoliki Kutoka Jimbo Katoliki Njombe, ambapo leo anatuongoza kujifunza sheria ya Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre.

L'articolo Je, wafahamu Sheria ya Sakramenti ya Daraja Takatifu ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Franco Ubamba, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema, Nini maana ya Samehe Mara Sabini?

L'articolo Nini maana ya Samehe mara Sabini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Suleiman.

L'articolo Je, wafahamu Utajiri wa Mfalme Suleiman? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Desderius Mwambaluka, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu la Songea, nikijubu swali Msikilizaji linalosema Je, Mwamini Mlei anaweza kuwa Mtakatifu?

L'articolo Je, Mwamini Mlei anaweza kuwa Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Valentino Hipolith Olomi, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuna utofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa?

L'articolo Ni, utofauti gani uliopo kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue Afya yako, Kutoka Studio za Radiomaria Tanzania leo tupo na Daktari Abdul Hussein Mogella, Kutoka Hosptali ya Rufaa ya Mtakatifu Francisco wa Asizi Ifakara, akituongoza kujifunza Magonjwa ya Damu kwa ujumla.

L'articolo Je, dalili za Ugonjwa wa Damu ni zipi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta, Janeth Akaro na Witness Joachim kutoka Pro life Tanzania, wakitufundisha juu ya utamaduni wa uhai.

L'articolo Kwanini uhai ni muhimu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Mwezeshaji ni Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya mada ya Sala ni Mpambano.

L'articolo Je, unafahamu kuwa Sala ni mpambano? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Jinsia na maendeleo katika kipindi hiki tutasikiliza shuhuda za wananchi juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia pamoja na madhara ya kutumia nishati chafu.

L'articolo Sikiliza shuhuda za matumizi ya Nishati safi ya kupikia. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ufuatilie kipindi cha Jukwaa la Vijana ambapo katika kipindi hiki tunajadili mada kuhusu “utengenezaji wa Nishati mbadala.

L'articolo Je unafahamu jinsi ya kutengeneza nishati mbadala ya kupikia? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Fahamu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, ambapo Padre Gideon Kityamboya kutoka Jimbo Kuu la Dodoma, anatufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Maria.

L'articolo Ifahamu Ibada ya Moyo safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akitufundisha juu ya historia ya Mfalme Suleimani.

L'articolo Fahamu uhusiano wa Mfalme Suleimani na Sakramenti ya Upadre. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania leo anatufundisha juu ya dondoo za kusali Rozari Takatifu.

L'articolo Fahamu nguvu ya kusali Rozari Takatifu katika Familia ya Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ambapo Frateri Constantine Kennedy kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, anajibu Swali lililoulizwa na Msilikizaji wetu likihoji, Je, kwanini ubani na chetezo hutumika katika vipindi vya sikukuu na Dominika pekee?

L'articolo Je, kwanini ubani na chetezo hutumika katika vipindi vya sikukuu na Dominika? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela kilichopo Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akiendelea na mada ya Utakatifu kwa njia ya toba na msamaha.

L'articolo Je, ni kwa namna gani toba na msamaha hutuletea Utakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya umisionari.

L'articolo Fahamu mwaliko wa Baba Mtakatifu Fransisko “Enendeni na alikeni kila mtu kwenye karamu”. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre James Singo kutoka Jimbo Katoliki Same katika kipindi cha Tafakari nasi, leo anatutafakarisha juu ya nguvu ya neno la Mungu katika maisha ya Mkristu.

L'articolo Hii ndiyo nguvu ya neno la Mungu katika maisha ya Mkristu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ambapo Frateri Kamfupili anajibu swali lililoulizwa hivi:

  • Je, Mwinjili Yohane aliyeandika Injili ni yule alieyekabidhiwa na Yesu Kristo pale Msalabani kwa Mama Bikira Maria?

L'articolo Mfahamu Mwinjili Yohane na alivyofanya utume wake. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.C, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Bikira Maria Mfariji.

L'articolo Fahamu sifa ya Bikira Maria Mfariji. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, leo tupo na Mhashamu Josaphat Louis Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akituongoza kujifunza madhara ya kumkufuru Roho Mtakatifu.

L'articolo Nini maana ya kumkufuru Roho Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, ambapo Frateri Noah Joshua Mwamfupe anajibu swali lililoulizwa hivi, Kwanini Makadinali wa Afrika hawachaguliwi kuwa Mapapa?

L'articolo Je, ni kweli Makadinali wa Afrika hawachaguliwi kuwa Mapapa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre Fredrick Mwabena,OSB Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Benedicto Peramiho, kutoka Jimbo Kuu Katoliki Songea, akiendelea kutufundisha juu Mama Maria kikao cha hekima na ukweli.

L'articolo Fahamu tafakaria ya Mama Bikira Maria kikao cha hekima na ukweli. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo anatafakari juu na kuelezea kituo cha Hija cha Nyakijoga kilichopo Jimbo Katoliki Bukoba.

L'articolo Fahamu Tafakari juu Kituo cha Hija cha Nyakijoga kilichopo Jimbo Katoliki Bukoba. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sista Theresia Karubaga kutoka Jimbo Katoliki Zanzibar, akiendelea kutufundisha juu ya afya ya akili kwa Mtoto.

L'articolo Je, Watoto wanaweza kuwa na ugonjwa wa afya ya akili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Chakula na Lishe Mwezeshaji Bi. Nyamizi Julias, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNS) mada ni juu Ulaji wa Mbogamboga na Matunda .

L'articolo Fahamu umuhimu wa ulaji wa Mbogamboga na Matunda. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi Ijue Afya Yako, Mwezeshaji Daktari Florence Peter Boke Kutoka Hospitali ya Good Samaritan Ifakara, akizungumzia juu ya Ugonjwa wa Saratani.

L'articolo Fahamu kwa kina juu ya Ugonjwa wa Saratani, Aina za Saratani&Dalili zake proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu katika kipindi cha ijue sheria, Mwezeshaji ni Bi. Rehema Mayagilo ambaye ni Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Wiaya Iringa Mjini, akituongoza kujifunza Haki na Wajibu wa Mtoto.

L'articolo Zifahamu Haki na Wajibu wa Mtoto. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Bi. Maria Ngilisho, Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo anatuelimisha juu makosa yanayofanywa kwenye Ulaji, uhifadhi na uzalishaji wa vyakula na madhara yake kiafya.

L'articolo Je, wafahamu makosa yatokanayo na ulaji wa vyakula na madhara yake kiafya? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema utofauti kati ya Mafarisayo na Masadukayo.

L'articolo Je, wafahamu utofauti kati ya Mafarisayo na Masadukayo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Bikira Maria Mfariji.

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikiria Maria ni Mfariji ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Samson Tibianus, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana na asili ya sadaka iitwayo malimbuko katika Kanisa Katoliki?

L'articolo Je, wafahamu Sadaka ya Malimbuko? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Suleiman.L'articolo Ni, kwanini Mfalme Suleiman aliomba Hekima? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Familia bora na nyumba aminifu, leo Wanafamilia bora wanaendelea kutufundisha juu ya mlango wa Familia na nyumba aminifu.

L'articolo Je, unafahamu mlango wa nyumba aminifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo majibu yanatolewa na Frateri Baltazary Boa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Songea katika swali hili Binadamu tunapata Sakramenti ya Ubatizo kwa maondeleo ya dhambi ya asili, Je, kwanini Yesu alibatizwa na ni nasfi ya pili ya Mungu na tunafahamu hakuwa na dhambi?

L'articolo Je, kwanini Yesu alibatizwa na tunafahamu hakuwa na dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Anthony Lihepa, Janeth Akaro na Witness Joachim, kutoka Pro Life Tanzania, wakiendelea kutueleza juu ya mtazamo wa Wanawake katika utetezi wa uhai.

L'articolo Fahamu mtazamo wa Wanawake juu ya utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili nasadiki kuwa siku ya Pentekoste Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume na Watu wengine na wakaanza kunena kwa lugha, sasa kwanini sisi Wakatoliki hatuneni kwa lugha kama hawa Waprotestanti?

L'articolo Kwanini Wakatoliki hawaneni kwa lugha kama madhehebu mengine? proviene da Radio Maria.

View Details

  • ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Bikira Maria Mfariji.

L'articolo Ifahamu sifa ya Bikira Maria Mfariji. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akitufundisha juu ya Utakatifu na msamaha.

L'articolo Je, unafahamu Utakatifu kwa njia ya toba na msamaha? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Hugo Kabogo, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu?

L'articolo Ekaristi Takatifu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo leo tupo na Ndugu Anectus Asingizibwe, Mwenyekiti wa Kampeni kupinga ukatili shujaa wa maendeleo na ustawi wa jamii (SMAUJATA) Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani akituongoza kujifunza mchango wa Mifumo ya Familia katika kuimarisha usawa wa Kijinsia.

L'articolo Ni, kwa namna gani Familia husaidia kuimarisha Usawa wa Kijinsia katika jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiw nami Frateri Principius Gabriel Katabazi, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Injili ni vitabu vilivyotokana na nukuu za maneno ya Yesu mwenyewe, mbona tuna Injili nne tu katika biblia?
  • Je, mitume wengine hawakuweza kuandika nukuu ya Injili ?

L'articolo Ni, kwanini Injili ziko nne tu katika Biblia Takatifu ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungne nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa Studio tupo na Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akielezea Sheria Namba 1016-1023 ya Sakramenti ya Daraja Takatifu.

L'articolo Ifahamu Sheria ya Kanisa namba 1016-1023 ya Sakramenti ya Daraja Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Utume wa walei Wawezeshaji ni Waratibu wa hija ya Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania akituelezea juu ya ujumbe wa hija wa Shirika la Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania.

L'articolo Fahamu namna kushiriki Hija ya Wazee na Wastaafu Wakatoliki 2024. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Tafakari Nasi leo tupo na Padre Frank Mwinami kutoka Jimbo Katoliki Njombe akituongoza kujifunza Shukrani kwa Mungu .

L'articolo Ni, kwanini tunapaswa kumshukuru Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jacob Mkandawile kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Je, kutokulipa Zaka ni dhambi?L'articolo Je, kutokulipa Zaka ni dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Ijue Afya yako Mwezeshaji wetu ni Doctor Ashura Ramadhani na Zabron Nicholaus kutoka Hospital ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Ifakara wakielezea juu ya Ugonjwa wa Usonji.

L'articolo Je, Usonji ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Suleiman.L'articolo Mfalme Suleimani ni nani katika Bibilia Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea juu ya Umuhimu wa Dominika ya Misioni.

L'articolo Dominika ya Misioni ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya sabini na tano] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Elimu Jamii leo tupo na Bwana Sostenesi Kibwengu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa kwa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, TAKUKURU akituelezea juu ya vitendo vya Rushwa kuelekea Uchaguzi wa Serilikali za mitaa Tanzania.

L'articolo Je, Wafahamu athari ya kujihusisha na vitendo vya Rushwa?. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja , katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre Wilbold Matembo kutoka Jimbo katoliki Musoma, akituongoza kutafakari kuishi vyema imani na kuishi namna ya kutumikia Mungu.

L'articolo Fahamu namna ya kuishi vyema Imani na kumtumikia Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Franciss katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanaendelea na mada juu ya mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai matokeo ya kushuka kiwango cha uzazi kwa mwanamke .

L'articolo Fahamu kwanini kuna hali ya kushuka kwa kiwango cha Uzazi kwa Wanawake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Waitrifu Erenest Mwambosi , kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali linalosema Kwanini Yesu aliteua Mitume kumi na wawili na awakuzidi?L'articolo Je, wajua kwanini Yesu alichagua Mitume hawa kuzidi kumi na mbili?. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Dominika ya Misioni.

L'articolo Fahamu kwanini Kanisa linaadhimisha Dominika ya Misioni. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Utume wa walei Wawezeshaji ni Waratibu wa hija ya Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania akituelezea juu ya ujumbe wa hija wa Shirika la Wazee Wastaafu Wakatoliki Tanzania.

L'articolo Hija ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari -Malya, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, swali linajibiwa na Frateri Paulo Kassanda John linasema Nadhiri za kitawa ni nini?L'articolo Nadhiri za kitawa ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu leo tupo na Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya Mlango wa Familia aminifu.

L'articolo Mlango wa Familia aminifu ni upi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema zipi ni athari za makundi ya umasikini na utajiri tukizingatia Ufalme wa mbinguni?

L'articolo Zipi ni athari za makundi ya umasikini na utajiri ? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akitufundisha juu ya historia ya Mapapa na Mtaguso Mkuu wa Trento.

L'articolo Fahamu Mtaguso Mkuu wa Trento na kuimarika kwa Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya Jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, akiendelea kutuelimisha juu ya afya ya akili kwa Watoto.

L'articolo Je, ni sifa gani za mtoto mwenye afya ya akili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Chakula na Lishe, leo tupo na Bi.Doris Katana Afisa lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo akituongoza katika kujifunza malezi na lishe bora kwa mtoto ndani ya siku 1000 za mwanzo za maisha yake.

  • Mtangazaji wako ni mimi Martin Joseph jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Lishe ipi ni bora kwa Mtoto ndani ya siku 1000 za mwanzo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la msikilizaji linalosema “Padre anapo adhimisha Misa, anaposema “usizitazame dhambi zetu ila imani ya Kanisa lako” je hiyo imani ya Kanisa ni ipi?

L'articolo Je, imani ya Kanisa Katoliki ni ipi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Ijue Liturujia tukiwa pamoja Padre Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania akielezea juu ya Mwaka wa Liturujia..L'articolo Je, wafahamu vipindi vya mwaka katika Liturujia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Elimu Jamii leo tupo naye ni Bi. Mariam Juma Mashauri na Bi. Sylvia Sostenes, mnasihi wa maswala ya Jinsia akielezea juu ya Siku ya mtoto wa kike duniani.L'articolo Mtoto wa Kike ni nani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akitueleza juu ya historia ya Mtakatifu Petro Kanisio.

L'articolo Ifahamu historia ya Mtakatifu Petro Kanisio na mchango wake katika kuliimarisha Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa walei, Mwezeshaji na Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akizungumzia juu ya kwanini Sala ni mapambano?

L'articolo Je, unafahamu kwanini Sala ni mapambano? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Desderius Mwambaluka kuoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu Swali hili nini maana ya Parokia?

L'articolo Je, unafahamu maana ya Parokia? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akitueleza namna Kanisa Katoliki lilivyojiimarisha upya baada ya utengano.

L'articolo Fahamu ni kwa namna gani Kanisa Katoliki lilijiimarisha upya baada ya utengano. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Utakatifu na Rozari.

L'articolo Je, wafahamu uhusiano wa Rozari Takatifu na Utakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea na historia ya Kanisa la Kianglikana.

L'articolo Hivi ndivyo Kanisa la Kianglikana lilivyoenea. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti Faraja Kagera – Jimbo Katoliki Bukoba akituongoza kujifunza mada ya Bikira Maria Mama yetu wa Rozari Takatifu.

L'articolo Fahamu umuhimu wa kusali Rozari Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria leo studio tupo naye Padre Peter Choga, akituongoza kutafakari uwepo wa Yesu Kristo katika maumbo ya Mkate na Divai.

L'articolo Tafakari uwepo wa Yesu Kristo katika maumbo ya Mkate na Divai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea akijibu swali la Msikilizaji linalosema, kwanini namba kumi na mbili imeongelewa sana katika Bibilia Takatifu ?

L'articolo Je, unaifahamu siri ya namba kumi na mbili katika Bibilia Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanaendelea na mada juu ya mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai.

L'articolo Zifahamu faida ya umuhimu wa utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti Faraja Karega na Paroko wa Parokia Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba akituongoza kujiunza Bikira Maria Mama yetu wa Rozari Takatifu?

L'articolo Ni, kwanini Tunasali Rozari Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tupo naye Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili-Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akituongoza kujifunza Moyo Safi wa Mama Maria, wokovu wa roho.

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Moyo safi na wakovu wa roho? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema, Naomba kueleweshwa juu ya watoto waliouwawa na Herode huko Bethrehemu badala ya Yesu Je, Kanisa linawatambuaje watoto hao?

L'articolo Je, Kanisa linawatambuaje watoto waliouwawa na Herode huko Bethlehem? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea kutufundisha juu ya Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha.

L'articolo Ni, kwa namna gani Toba na Msamaha hutupatia Utakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Daud Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea akijibu swali la Msikilizaji linalosema, kwanini tusifundishwe Utakatifu wa aina moja kuliko kuwa na wengi?

L'articolo Fahamu kwanini Kanisa linahimizwa kuwatumia katika sala Watakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Daud Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea akijibu swali la Msikilizaji linalosema, Kanisa linahimiza kuwasadia watu Masikini wakati nami masikini kwaninikwani wasadie matajiri ?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa linahimiza kusadia watu wenye uhitaji ikiwemo Masikini?. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Samson Pater, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea akijibu swali la Msikilizaji linalosema, kwanini Sakramenti ya Daraja inahitwa ya huduma?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Sakramenti ya Daraja inaitwa ni ya huduma?. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji Padre Ladsladius Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa, Jimbo Katoliki la Njombe, Sheria za Sakramenti Takatifu la Daraja Takatifu.

L'articolo Zifahamu Sheria za Sakramenti la Daraja Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali lina hoji Je, nawezaje kuthibitisha sifa za Mama Bikira Maria kuwa alipalizwa Mbinguni.

L'articolo Je, wafahamu namna alivyopalizwa palizwa Mbinguni Mama Bikira Maria?. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaa, anayefanya utume wake katika Jimbo Katoliki Zanzibar akitufundisha juu ya Afya ya Akili kwa Watoto.

L'articolo Fahamu namna ya kuishi na mtu mwenye afya ya akili. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, mada ni Mama Bikira Maria katika ndani ya Mazingira yetu.

L'articolo Mfahamu Mama Bikira Maria katika Mazingira yetu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue Afya yako, Mwezeshaji ni Jimson Sanga Mwanateknolojia Madawa kutoka Hospital ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Ifakara Afisa , leo anatuelimisha juu Afya ya Moyo wa Binadamu na matumizi sahihi ya Shindikizo la Damu.

L'articolo Fahamu matumizi sahihi za kutibu shindikizo la Damu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Agness Shayo katika kipindi cha Elimu Jamii, leo tutazungumzia juu ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa, Mwezeshaji ni Kamishina Msaidizi wa Hifadhi ya Taifa Mlima Udzugwa Bi. Theodora Batiho.

L'articolo Je, Unafahamu vivutio vilivyopo katika Hifadhi ya Milima ya Udzungwa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daud.

L'articolo Fahamu mafundisho ya mfalme Daudi kipindi cha Utawalawake. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, mada ni Mama Bikira Maria katika Maisha yangu.

L'articolo Fahamu kwa kina mafundisho ya Mama Bikira katika Maisha. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali lina hoji anaomba kufahamu nafasi ya Ibada ya Rozari Takatifu moja ya ibada katika Kanisa Katoliki.

L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa Ibada ya Rozari Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane Sister katika Kipindi cha Walinde Watoto na leo studio yupo Mtoto Prosper Chalatila Mwanafunzi wa Shule ya Kondo Kinondoni Dar es salaam.

L'articolo Ifahamu Historia ya Prosper Chalatila. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Samson Peter kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea akijibu swali hili nini mamobi kule kanisani yanaelekezwa kwa Watakatifu?

L'articolo Fahamu kwanini maombi Kanisani yanaelekezwa kwa Watakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanaendelea mada mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai

L'articolo Fahamu mtazamo namna gani Wanawake wanafikia hatua ya kutoa Mimba. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali lina hoji Watu wenye Maisha ya Wafu, nini Maana ya Maisha ya Wafu.

L'articolo Je, wafahamu maisha ya Wafu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, mada inayuzungumziwa ni Wanajamii wanao wabeza kazi wanazo zifanya Watu wenye ulemavu .

L'articolo Fahamu mitazamo wa Watu wenye Ulemavu katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya Jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, akiendelea kutuelimisha juu ya afya ya akili kwa Watoto.

L'articolo Je, ni sifa gani za mtoto mwenye afya ya akili? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali ya Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali hili nini maana ya dhambi ya mauti, nitawezaje kutambua dhambi niliyotenda kama ni ya mauti au laa?

L'articolo Je, nini maana ya dhambi ya mauti? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya maneno haya Mungu wangu mbona umeniacha akijikita zaidi katika kipengele cha matumaini katika upweke.

L'articolo Fahamu maana ya maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea ambapo Frateri Revocatus Fredinandi, anajibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu likihoji, nini maana ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo kuu la Mwanza, akiendelea kutuelimisha juu ya uhusiano wa Mfalme Daudi na Sakramenti ya Daraja Takatifu la Upadre.

L'articolo Fahamu uhusiano kati ya Mfalme Daudi na Sakramenti ya Upadre. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Ester Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania akiendelea kutufundisha juu ya maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha, akijikita zaidi katika kipengele cha Umisionari au huduma kwa wote.

L'articolo Je, unafahamu maana ya maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya, akijibu swali hili Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi zenye kuweza kuleta mapatano kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la vita ulimwenguni, lakini pia katika Familia na Jamii zetu kumekuwa na maugomvi, mafarakano na uhamasa usiokwisha?

L'articolo Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi za kuleta mapatano ulimwenguni? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndanda Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali la Msikilizaji linalosema, Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi za upatanishi kwani kumekuwa na magomvi, uhasama, Magovi katika ulimwengu na ndani ya Familia.

L'articolo Je, wafahamu ujumbe wa Kanisa juu ya magomvi yanayo tokea katika jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daudi.

L'articolo Fahamu namna ya kukataa Propaganda za kijinsia. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai .

L'articolo Je, wafahamu mtazamo wa Wanawake katika Utetezi wa Uhai? proviene da Radio Maria.

View Details

ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo anazungumzia maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha katika kipengele kutupwa nje ya Mlango.

L'articolo Fahamu tafakari ya kina juu kutupwa nje ya mlango. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Elimu Jamii, leo nipo na naye Bwana Afredy Antony Katunzi, Kutoka Kituo cha Mazoezi Kawe, anazungumzia juu ya shughuli za kila siku kwa watu wenye changamoto mbalimbali.

L'articolo Fahamu namna ya kukabiliana shughuli mbambali za kila siku kwa watu wenye uhitaji maalumu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kutufundisha juu ya historia ya Mfalme Niliko VIII na Kanisa lake.

L'articolo Ifahamu historia ya Mfalme Niliko VIII na Kanisa lake. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kutueleza juu ya historia ya Kanisa la Kianglikana.

L'articolo Fahamu historia ya Kanisa la Kianglikana. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akitueleza juu ya historia ya Mfalme Daudi.

L'articolo Fahamu historia ya Mfalme Daudi. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali ya Imani, tukiungana na Frateri Franco Abel Ubamba kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Mapanda, Jimbo Katoliki Mafinga, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji likihoji Je, kufunga ndoa ya Kikristu na Mtu asiye Mkristu inaruhusiwa?

L'articolo Je, kufunga ndoa ya Kikristu na Mtu asiye Mkristu inaruhusiwa? proviene da Radio Maria.

View Details

ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo anazungumzia maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha.

L'articolo Je, unafahamu maana ya maneno haya, Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha nena nami Bwana, ambapo anayenena nasi kwa siku hii ya leo ni Mhashamu Isaac Amani, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha.

L'articolo Nena nami Bwana na Mhashamu Isaac Amani, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea kutufundisha juu ya Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha.

L'articolo Fahamu Wito wa Utakatifu kwa njia ya Toba na Msamaha. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo kutoka Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga Kalinzi, Jimbo Katoliki Kigoma nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israeli wasimlilie yeye bali wajililie wao wenyewe na Watoto wao?

L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israeli wasimlilie yeye? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo leo tunaangazia hatua na maeneo ya kwenda kuripoti vitendo ya ukatili wa Kijinsia.

L'articolo Je, wafahamu aina za Ukatili wa Kijinsia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo swali litajibiwa na Frateri Jackob Mkandawile kutoka Parokia ya Yesu Kristo Mfalme Mlolo, Jimbo Katoliki Iringa linasema Je, ni dhambi kwa Mkristo kutumia dawa za mitishamba?

L'articolo Je, ni dhambi Kwa Mkristo kutumia dawa za mitishamba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Utume wa walei studio tupo na Bi. Rose Gerald Katibu kamati ya utume Uinjilishaji Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam, akituongoza kujifunza Mlei nifanye nini ninapokuwa na Majaribu?

L'articolo Nifanye nini ninapokuwa na Majaribu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Parokia ya Mtakatifu Martha Ludete Jimbo Katoliki Geita, akijibu swali la Msikizaji linalosema kwanini katika Misa ubani unatumika? Je, unaashiria nini hasa?

L'articolo Ni, kwanini katika Misa Ubani unatumika? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika Kipindi cha Sheria za Kanisa Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akielezea juu ya Sakramenti ya Mpako Mtakatifu wa Wagonjwa.

L'articolo Je, Sakramenti ya upako wa wagonjwa inamaanisha nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Doris Katana, Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo anatuelimisha juu ya changamoto anazoweza kukabiliana nazo Mama anayenyonyesha.

L'articolo Je, changamoto anazokabiliana nazo Mama anayenyonyesha ni zipi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya sabini na nne] proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ambapo majibu yanatolewa na Frateri Altho Hermes wa Parokia ya Mtakatifu Paulo Mtume Ilangamoto, Jimbo Katoliki Njombe, Swali linalojibiwa ni nini maana ya Sala na kwanini kila ninaposali matatizo huzidi?

L'articolo Fahamu maana ya Sala? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami John Samky katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Yohana Machibya, Msaidizi wa Sheria Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini, Jimbo Katoliki Zanzibar akitufundisha juu ya wajibu wa Watoto kwa Jamii.

L'articolo Je, wafahamu wajibu wa Watoto kwa Jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, siku ya leo tupo na Bwana Aloyce Kamando Balozi wa Mazingira chini Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira akituongoza kujifunza Nishati Safi ya Kupikia.

L'articolo Je, wafahamu Nishati Safi ya Kupikia? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo nipo na Padre Benno Kikudo Mkurugenzi wa Walei kutoka Balaza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, akifundisha sehemu ya mafundisho ya Kongamano la 5 la Ekaristi Takatifu lililofanyika Jimbo kuu la Dar es salaam ?”

L'articolo Fahamu mafundisho yaliojili katika Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai .

L'articolo Fahamu wajibu wa Wanawake katika Utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Tafakari Nasi, na leo tupo na Padre Yohanesi Kutoka Jimbo katoliki Njombe, leo atatafakaria wosia wa Neno la Mungu kupitia Mtume Paulo.

L'articolo Je, wafahamu wosia wa Mungu alio utoa kupitia Mtume Paulo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo hii anaendelea anafundisha juu ya maneno haya “Mungu wangu mbona umeniacha?”

L'articolo Fahamu vyema maneno yalisemwa na Yesu Kristo Msalabani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akielezea maisha ya Mfalme Daudi.

L'articolo Wakristo waaswa kuyaiga yale mema alio yaishi Mfalme Daudi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei leo nipo na Bi. Rosemary Gerald Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam amabapo leo atazungumzia mada ya Walei na Kongamano la Ekaristi Takatifu.

L'articolo Fahamu mahusiano ya Walei na Kongamano la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Alto Albert Mlelwa, kutoka Parokia ya Mtume Paulo Kilangamoto Jimbo Katoliki Njombe, akijibu swali la Msikilizaji linalo hoji, Je, Mkristo yeyote anaweza kuwa Katekista pasipo kuwa na Elimu ya Ukatekista?

L'articolo Fahamu sifa ya kuwa Katekista. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akielezea maisha ya Mfalme Daudi.

L'articolo Je, Mfalme Daudi alikuwa nani katika maandiko Matakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Daudi Fungameza, kutoka Parokia ya Kambikatoto Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu Alisulibiwa Msalabani, Akafa na kuzikwa, Sasa Mbona tunaendelea kumuweka tena Msalabani Wakati Alisha fufuka na ni mzima, Sanamu ya Nini tena pale Msalabani?

L'articolo Ni, kwanini tunaendelea kumuweka Yesu Kristo Msalabani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Familia bora na Nyumba aminifu, leo nipo na Bwana Paschal Maziku, Bi. Monica Kessy, Bi. Federika Bayaga, Katekista Gabriel Mwasenkwa, Bi. Sophia Nyanda na Bwana George Mapunda, Wakufunzi kutoka Famila bora katika Nyumba aminifu, wakielezea Changamoto za ndoa zinazosababishwa na watu wengine nje ya wanandoa.

L'articolo Ni, changamoto gani zinazosababishwa na watu wengine nje ya wanandoa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Samson Peter Tibianus, kutoka Parokia ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi Lwamgasa, Jimbo Katoliki Geita nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nini tofauti kati ya Dhambi ya Mauti na Dhambi isiyo ya Mauti kadri ya mafundisho ya Kanisa Katoliki?

L'articolo Je, wafahamu utofauti kati ya Dhambi ya Mauti na Dhambi isiyo ya Mauti? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza kutoka Parokia ya Mtakatifu Fransisko Xavery Kambikatoto, Jimbo Kuu la Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Padre anapo adhimisha Misa, anaposema “usizitazame dhambi zetu ila imani ya Kanisa lako”Padre anapo adhimisha Misa, anaposema “usizitazame dhambi zetu ila imani ya Kanisa lako” je hiyo imani ya Kanisa ni ipi?

L'articolo Je, Imani ya Kanisa ni ipi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre Festus Mwinami kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kutafakari kuwatendea wenzetu yale tunayo taka nasisi tutendewe na tuwe wepesi wa kusmehe.

L'articolo Fahamu namna ya kutendeana mema katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, kutoka Makao Makuu ya Studio za Radio Maria Tanzani, Mwezeshaji Bi Mercy Macha Afisa Msimamizi kodi Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, mada juu ya Uhamasishaji ulipajikodi awamu ya Tatu.

L'articolo Fahamu umuhimu wa kulipa kodi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Pawaga, Jimbo Katoliki Iringa, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema ni kwanini wakatoliki tunaweka Sanamu Kanisani?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Wakatoliki wanaweka Sanamu Kanisani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya Sabini na tatu] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anaendelea kumzungumzia mfalme Daudi.

L'articolo Mfahamu mfalme Daudi Utendaji wake kipindi cha utawala wake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Paulo Kasanda John, kutoka Kituo cha Kichungaji cha Mtakatifu Dominiko Nyakahoja, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika anapenda kufahamu juu ya Kanisa Mahalia maana yake kwa kina ?

L'articolo Je, wafahamu juu ya Kanisa Mahalia? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo hii anaendelea anafundisha juu ya maneno haya “Mungu wangu mbona umeniacha katika kipengele cha Sanaa ya kupenda?”

L'articolo Fahamu juu Sanaa ya kupenda. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo leo tupo naye Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ikiwa leo tunajikita zaidi, Historia ya kina juu ya madhehebu ya Angilikana .

L'articolo Je, wafahamu Historia ya kina juu ya madhehebu ya Angilikana? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya Sitini na moja] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmanuel Elias Mganga, kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ilemela Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika maandiko Bibilia imegawajika katika sehemu mbili Agano la Kale na Jipya, anaomba kufahamu uhusiano wake katika mgawanyiko huo?

L'articolo Ufahamu Uhusiano wa Agano jipya na kale katika mganwanyiko wake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daudi.

L'articolo Mfahamu Mfalme Daudi mema alioyafanya katika Utawala wake. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo hii anaendelea anafundisha juu ya maneno haya “Mungu wangu mbona umeniacha?”

L'articolo Je, wafahamu tafakari ya maneno alio ya toa Yesu Msalabani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria leo studio tupo naye Padre Peter Choga, akituongoza kutafakari Litania ya Bikira Maria.

L'articolo Fahamu juu ya Ukombozi wa Msalaba Mtakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha maadili yetu, leo tupo na Frateri Paschal Kasuna kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume Busundo, Jimbo Kuu Katoliki Tabora, wanatufundisha juu ya haki na wajibu katika mahusiano.

L'articolo Fahamu umuhimu wa mahusiano katika jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tupo naye Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili-Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akituongoza kujifunza Umuhimu wa kumpenda Mama Bikira Maria.

L'articolo Ni, kwanini tumpende Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana.

L'articolo Je, wafahamu hatua za Kusamehe? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, leo hii anafundisha juu ya maneno haya “Mungu wangu mbona umeniacha?”

L'articolo Je, wafahamu maana ya Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmanuel Elias Mganga, kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ilemela Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika maandiko matakatifu tunajua kwamba Yesu alibatizwa na Yohane Mbatizaji, Je, Yohane Mbatizaji alibatizwa na nani ili kuondoa dhambi ya asili?

L'articolo Je, Yohane Mbatizaji alibatizwa na nani ili kuondoa dhambi ya asili? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea na mada isemayo Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha.

L'articolo Wito wa msamaha ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Maurus Zacharia Msigwa, kutoka Parokia ya Familia Takatifu Tunduma Jimbo Katoliki Sumbawanga nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Baba na Mama wa Bikira Maria ni nani?

L'articolo Je, wafahamu Wazazi wa Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami John Samky, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kujifunza Sakramenti ya Kitubio(Mwenye kutubu na Rehema)

L'articolo Je, wafahamu Sheria namba 987-997 ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jackob Mkandawile, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Mkwawa Jimbo katoliki la Iringa nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Wakati wa Misa Padre huwa ananawa mikono wakati mikono yake ni misafi Je, kwa tendo hilo anatuonesha ishara Gani?

L'articolo Ni, kwanini Padre kipindi cha mageuzo pale Altareni hunawa mikono ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Tumsifu Maria leo tupo na Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Josephine Bakhita Nyamanoro, akituongoza kujifunza siri ishirini za Bikira Maria.

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Kanisa proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana.

L'articolo Je, nisamehe mara ngapi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Padre Cyprian Mvanda IMC, Mkuu wa Shirika la Mapadre Wamissionari Wakonsolata Tanzania na Sista Paskalia Mkolomi, Mmisionari wa Shirika la Masista Wakonsolata, wakizungumzia juu ya mchakato wa kutangazwa kuwa Mtakatifu, Mwenyeheri Yosefu Allamano.

L'articolo Ni, kwa namna gani Mwenyeheri Yosefu Allamano ni Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Faxon Polycarp Mpili, kutoka Parokia ya Bikira Maria Mama wa Neema – Nanyamba Jimbo Katoliki Mtwara, anajibu swali Msikilizaji linalosema Nini maana ya Skapulari?

L'articolo Nini maana ya Skapulari? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Elimu Jamii Mwezeshaji wetu ni Daktari Simoni Kichiba ambaye ni Daktari Bingwa wa upasuaji na magonjwa ya masikio, koo na Pua kutoka Hospitali ya Rufaa Bugando kituo cha Nera, Kanda ya Ziwa akieleza juu ya Ugonjwa wa koo.

L'articolo Je, wafahamu Ugonjwa wa Koo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na sita] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki Mwezeshaji wetu ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania akituongoza kujifunza shuhuda za Watakatifu juu ya Ekaristi Takatifu?

L'articolo Ni, kwa namna gani Watakatifu walishuhudia Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Michael Paul Mangazini nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Padre anapoadhimisha Sadaka ya Misa Takatifu katika Sala ya Ekaristi husali akisema,” uipokee Sadaka hii safi na Takatifu isiyo na doa aliyokutolea Melkisedeki kuhani wako Mkuu” naomba kujua ni Sadaka gani hiyo aliyotoa huyo Melkisedeki Mkuu?

.
.
www.radiomaria.co.tzEditAll reactions:3232

1Most relevantCommentsTeresa KemuntoTumsifu Yesu Kristu Pamoja Kwa class 16h * Like * Reply * Send message * Hide Comment as Radio Maria Tanzania * * * * L'articolo Je, wafahamu Sadaka gani aliyotoa Melkisedeki Mkuu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na tano] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Agatha Kasimba katika Kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, na Wakufunzi kutoka Pro- Life Tanzania, akiwemo Bi Grace Shayo wanaendelea na mada ndogo kuhusu “nafasi ya wanawake katika utetezi wa Uhai, je wanawake ni watetezi wa Uhai.L'articolo Ifahamu nafasi ya Wanawake katika Utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Mpalanzi , katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Franco Abel Ubamba, kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizi Mbinguni, Jimbo Katoliki la Mafinga, akijibu swali linalohoji mara nyingi tuna sali Bikira Maria Mkingia dhambi ya Asili, Kanisa fundisho wamelitoa wapi

L'articolo Je, wajua fundisho la Bikira Maria kukingiwa dhami ya asili. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akitufundisha juu ya Uponyaji kupitia Msamaha.

L'articolo Fahamu faida ya kusamehe. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria leo studio tupo naye Padre Peter Choga, akituongoza kutafakari upendo wa Mama Bikira Maria kwa Wadamu.

L'articolo Ufahamu Upendo wa Mama Bikira Maria kwa Wanadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana.

L'articolo Fahamu faida zinazo patikana ndani ya kusamehe walio kukosea. proviene da Radio Maria.

View Details

Mimi Esther Magai ninakualika katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi nikiwa na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Paroko wa Parokia ya Kaazi & Mkurugenzi wa Radio Mbiu Jimbo Katoliki Bukoba ambapo tunaitazama mada Mama ya Huusiano wa Malaika katika Adhimisho la Ekaristi Takatifu.

L'articolo Je, wahamu husiano wa Malaika katika Adhimisho la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Peter Mjwauzi Peter kutoka Parokia ya Mwenyeheri Vicenza Maria Poloni – Ntyuka , Jimbo kuu Dodoma nikijibu swali la msikilizaji linalosema ni kwanini Kanisa linakuwa na mitihani Kwa Wakatukumeni au Wanafunzi wa Ubatizo na wakishindwa mitihani hawapewi Ubatizo, lakini haohao katika hatari ya kufa anapewa Sakramenti hiyohiyo ya Ubatizo.

L'articolo Ni, kwanini Kanisa Katoliki linakuwa na mitihani kwa Wakatukumeni? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha nena nami Bwana, leo tupo Padre Stephano Kaombe Paroko wa Parokia ya Roho Mtakatifu Kitunda, Jimbo kuu la Dar es salaam wakati akitoa semina elekezi kuelekea Kongamano la Ekaristi Takatifu kitaifa.

L'articolo Je, wafahamu Ekaristi Takatifu ni kilele cha Imani ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Tumsifu Maria leo tupo na Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Josephine Bakhita Nyamanoro, akituongoza kujifunza siri ishirini za Bikira Maria.

L'articolo Je, wafahamu siri namba moja ya Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Peter Mjwauzi Peter kutoka Parokia Mwenyeheri Vincenza Maria Poloni -Ntyuka Jimbo kuu la Dodoma, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema ni kwanini Kanisa katoliki limeweka mwezi wa kumi kuwa mwezi wa Bikira Maria kwa kusali Rozari na sio mwezi mwingine?

L'articolo Ni, kwanini Kanisa katoliki limeweka mwezi wa kumi kuwa mwezi wa Bikira Maria kwa kusali Rozari na sio mwezi mwingine? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha nena nami Bwana, leo tupo na Mhashamu Damian Denis Dallu, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea, wakati akitoa homilia katika Adhimisho la Misa Takatifu ya kusimikwa kwa Abate mpya wa Abasia ya Peramiho, Jimbo Kuu la Songea.

L'articolo Nena nami Bwana na Mhashamu Damian Denis Dallu, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Francis katika kipindi cha Elimu Jamii, kutoka Makao Makuu ya Shirika la Mapadre Wamissionari Wakonsolata, Jimbo katoliki Iringa Iringa, wakiendelea kutujuza juu ya mchakato wa kutangazwa Mtakatifu, Mwenyeheri Yosefu Allamano.

L'articolo Fahamu mchakato kuelekea kutangazwa Mtakatifu, Mwenyeheri Yosefu Allamano. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akitufundisha juu ya uponyaji wa majeraha ya nafsi kupitia msamaha.

L'articolo Je, wafahamu majeraha ya nafsi zetu huponjwa kupitia msamaha? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na nne] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Uyole Jimbo Kuu Katoliki Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kufahamu miongozo inayotolewa na Mama Kanisa kama sehemu ya kusaidia malezi ya watoto wetu, ili kuwaepusha na upotovu wa Ulimwengu wa leo .

L'articolo Je, wafahamu miongozo ya Kanisa juu ya Malezi ya Watoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kutoka Jimbo katoliki Bukoba, akiendelea kutufundisha juu ya namna Watakatifu wanavyotufundisha kuiendea Ekaristi Takatifu.

L'articolo Ni, kwa jinsi gani Watakatifu wanaiendea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mtume Uyole iliyopo Jimbo kuu Katoliki Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosemakuna uhusiano gani kati ya Kanisa letu Katoliki na ndugu zetu wasio Wakatoliki?

L'articolo Je, wafahamu uhusiano kati ya Kanisa Katoliki na wasio Wakatoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha ijue sheria, leo tupo na Mheshimiwa Mercy Katabi Hakimu kutoka Mahakama ya Mwanzo-Iringa Mjini akituongoza kujifunza juu ya Ulinzi kwa Mtoto.

L'articolo Je, wafahamu nini juu ya Ulinzi kwa Mtoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life -Utetezi wa uhai, ambapo leo tupo na Wakufunzi kutoka Pro Life Tanzania wanaendelea na mada ndogo kuhusu “mafundisho ya Kanisa juu ya vidhibiti mimba.”L'articolo Je, wafahamu madhara ya vidhibiti mimba? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha utume wa walei, Studio nipo na Bwana Verane Mushi na Eleutery Kobelo, Wajumbe wa kamati ya uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam, wakihitimisha mada ya Jumuiya ndogondogo za Kikristu katika kipengele cha Zaka.

L'articolo Bibilia inasema nini kuhusu kutoa Zaka? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kutoka Jimbo katoliki Bukoba, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu na kama maandalizi ya Kongamano la Kitaifa Hija ya Ekarisiti Takaifu .

L'articolo Je, wafahamu njia ya Msalaba kwa Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kutoka Jimbo katoliki Bukoba, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu na kama maandalizi ya Kongamano la Kitaifa Hija ya Ekarisiti Takaifu .

L'articolo Ifahamu Hija ya Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungana nami Stanslaus Mhema katika Kipindi cha Elimu Jamii, mada Afya kwa ujumla kutoka Hospital ya Rufaa ya Kanda ya Bugando Jimbo kuu la Mwanza.Wawezeshaji ni Dakta Samson Kichiba, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Koo, Masikio na Pua.L'articolo Fahamu umuhimu wa kulinda Afya yako. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Mpalanzi , katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mtume Uyole, Jimbo kuu la Mbeya a, akijibu swali linalohoji kwanini Yesu hakupewa Sakramenti ya kipaimara je, Kanisa fundisho wamelitoa wapi?

L'articolo Ifahamu Sakramenti Takatifu ya Kipaimara asili yake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Marin Joseph, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Maiko Paulo Mangazine , kutoka Parokia ya Mtakatifu Joseph, Jimbo kuu la Mbeya a, akijibu swali linalohoji Je, kuna ulazima gani wa kwenda kuungama dhambi kwa Padre ?

L'articolo Fahamu kwanini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padre. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Maadili yetu Mwezeshaji ni Frateri Mwizarubi kutoka Kituo cha Mtakatifu Dominic Pastoral Center-Nyakahoja, Jimbo Katoliki Mwanza akituongoza kujifunza juu ya haki na wajibu kati ya mwanadamu na mwanadamu.L'articolo Je, wafahamu haki ya Mwanadamu kwa Mwanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Familia bora na Nyumba aminifu, leo nipo na Bwana Paschal Maziku, Bi. Monica Kessy, Bi. Federika Bayaga, Katekista Gabriel Mwasenkwa, Bi. Sophia Nyanda na Bwana George Mapunda, Wakufunzi kutoka Famila bora katika Nyumba aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya umuhimu wa kutunza uhai katika maisha ya Ndoa.

L'articolo Je, wafahamu Tunu za Ndoa Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Caspary Nyihwili kutoka Parokia ya Mtakatifu Maurus Jimbo Katoliki la Mbinga anajibu swali la Msikilizaji linalosema ni kwa jinsi gani Bikira Maria anashiriki kazi ya ukombozi wa mwanadamu, ikiwa tunajua aliyekufa msalabani ni Yesu?

L'articolo Ni, kwa jinsi gani Bikira Maria anashiriki kazi ya ukombozi wa mwanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Caspary Nyihwili kutoka Parokia ya Mtakatifu Maurus Jimbo Katoliki la Mbinga anajibu swali la Msikilizaji linalosema ni kwanini vitabu vya Biblia vya agano la kale ndani yake kunavitabu saba vinavyoitwa Deuterokanoni, na kwa nini madhehebu mengine hawavitumii wakati vinanena neno la Mungu?

L'articolo Deuterokanoni ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika Kipindi cha Sheria za Kanisa leo tupo Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akiendelea kutufundisha juu ya Muhudumu wa Sakramenti ya Kitubio Sheria Namba 976-986.L'articolo Je, wafahamu Sheria za muhudumu wa Sakramenti ya Kitubio? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Judith Francis katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, leo tupo na Yohana Machipya Msaidizi wa Sheria Wilaya ya Magaribi, akiangazia juu ya Wajibu Wazazi na Malezi katika Makuzi ya Watoto.

L'articolo Wajibu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Tumsifu Maria leo tupo na Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Josephine Bakhita Nyamanoro, akituongoza kujifunza siri ishirini za Bikira Maria.

L'articolo Je, wafahamu Siri za Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Michael Mangazini kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Mungu haangalii Dhambi zetu tunazotenda?

L'articolo Je, Mungu haangalii Dhambi zetu tunazotenda? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, ambapo Studio nipo na Veran Mushi, Eliutery Kobelo Wanakamati ya Uinjilishaji kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wakiendelea na mada ya Jumuiya ndogondogo za Kikristu wakijita zaidi katika kulitegemeza Kanisa.

L'articolo Je, Wafahamu mchango wa Jumuiya ndogondogo katika kulitegemeza Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza akiwa anazungumzia Maisha ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji na wito wa toba kwa Wadhambi.

L'articolo Je, ujumbe wa toba kwa Wadhambi ni upi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Padre Cyprian Mvanda IMC, Mkuu wa Shirika la Mapadre Wamissionari Wakonsolata Tanzania na Sista Paskalia Mkolomi, Mmisionari wa Shirika la Masista Wakonsolata, wakizungumzia juu ya mchakato wa kutangazwa kuwa Mtakatifu, Mwenyeheri Yosefu Allamano.

L'articolo Fahamu Maisha ya Mwenyeheri Yosefu Allamano. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Maurus Msigwa kutoka Parokia ya Familia Takatifu Tunduma, Jimbo Katoliki Sumbawanga, anajibu Swali lililiuluzwa na Msikilizaji likihoji kwanini makusanyiko ya kusali yetu sisi Wakatoliki huitwa Misa na Madhehebu mengine huitwa Ibada, Je, nini tofauti ya Ibada na Misa?

L'articolo Je, unafahamu utofauti kati ya Ibada na Misa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akiendelea na mada ya kukoseana na kusameheana akijikita katika kipengele cha Mwanadamu kujikosea mwenyewe.

L'articolo Je, ni kwa namna gani Mwanadamu hujikosea mwenyewe? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Ester Magai Hangu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo leo Padre Leonard Maliva, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kutuelimisha juu ya kongamano la Ekaristi Takatifu ambalo litafanyika Kitaifa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

L'articolo Fahamu Kongamano la Ekaristi Takatifu litakalofanyika Kitaifa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Elikana Nyakabona kutoka Parokia ya Mtalatifu Paulo Mtume Mwatulole Jimbo katoliki Geita, akijibu swali la Msikilizaji linalo hoji kwanini Sakramenti la Daraja Takatifu inaitwa Sakramenti ya Uhuduma.

L'articolo Je, Wafahamu kwanini Sakramenti ya Daraja Takatifu inaitwa Sakramenti ya Uhuduma? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Agatha Kasimba katika Kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, na Wakufunzi kutoka Pro Life Tanzania, akiwemo Antony Lihepa wanaendelea na mada ndogo kuhusu “Utoaji wa Mimba na Sheria za Tanzania.”mada kuu ni Maisha ya Vijana katika dunia ya leo.L'articolo Zifahamu athari za utoaji mimba na ya Sheria za Tanzania. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu na kama maandalizi ya kuingia katika kongamano la Kitaifa la Ekaristi Takatifu na Historia yake.

L'articolo Ifahamu Historia ya Ekaristi Takatifu na Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu na kama maandalizi ya kuingia katika kongamano la Kitaifa la Ekaristi Takatifu .

L'articolo Fahamu mafundisho kuelekea Kongamano la Kitaifa la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha nena nami Bwana, ambapo leo anaenena nasi ni Padri Kelvin Mkama katika Parokia ya Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu – Nyamuhongo, Jimbo Kuu Katoloko Mwanza.

L'articolo Nena nami Bwana na Padri Kelvin Mkama Jimbo Kuu Katoloko Mwanza. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kutuelezea juu ya historia ya Kanisa la Kiluteri katika mgawanyo wa protestant.

L'articolo Je, wafahamu mgawanyio wa Protestant? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Altho Hermes Mlelwa, wa parokia ya Makete Jimbo la Njombe nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kanisa Katoliki lina Mfumo Dume kama sikweli kwanini Viongozi wenye Daraja Takatifu ni Wanaume?

L'articolo Fahamu kwanini Daraja Takatifu wanapewa Wanaume tu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kutuelezea juu ya historia ya Kanisa la Kiluteri.

L'articolo Fahamu historia ya Kanisa la Kiluteri. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC), Mwezeshaji ni Padre Florence Rutahiwa, Mkurugenzi wa Uchungaji kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, akizungumzia juu ya Kongamano la Ekaristi Takatifu Kitaifa, ambalo litafanyika Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

L'articolo Fahamu Kongamano la Ekaristi Takatifu Kitaifa litakalofanyika Jimbo Kuu la Dar es Salaam. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Familia bora na Nyumba aminifu, leo nipo na Bwana Paschal Maziku, Bi. Monica Kessy, Bi. Federika Bayaga, Katekista Gabriel Mwasenkwa, Bi. Sophia Nyanda na Bwana George Mapunda, Wakufunzi kutoka Famila bora katika Nyumba aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya thamani ya kazi katika Maisha ya Familia.

L'articolo Je, wafahamu thamani ya kazi na Maisha ya Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Altho Hermes Mlelwa, wa parokia ya Makete Jimbo la Njombe nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nasadiki ya kuwa vitu vyote vilivyomo ulimwenguni vimeumbwa na Mungu Je, ndege, mbuzi, ng’ombe na samaki waliomo baharini nao humuabudu Mungu.

L'articolo Je, ndege, mbuzi, ng’ombe na samaki waliomo baharini nao humuabudu Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Patrick Peter Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa Mwezeshaji ni Askofu Method Kilaini akiendelea kutufindisha juu ya kuenea kwa Kanisa la Kilutheri.

L'articolo Je, wafahamu kuenea kwa Kanisa la Kilutheri? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi Usalama Barabarani Wawezeshaji wetu ni Afande Dumu Mwalugenge, Mkaguzi kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani pamoja naye Copro Abdallah Ismail wakielezea juu wiki ya nenda kwa usalama na ukaguzi wa vyombo vya moto.

L'articolo Ifahamu wiki ya nenda kwa Usalama Bararbarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Felix Ulindula Kilasile, kutoka Parokia ya Mtakatifu Padre Pio Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema ni Kwanini Wakatoliki tunaweka na kuziheshimu sanamu Makanisani wakati Kitabu Cha Kutoka 20:4 kinakataza?

L'articolo Je, ni kweli Wakatoliki wanaheshimu Sanamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Patrick Peter Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa Mwezeshaji ni Askofu Method Kilaini akituongoza kujifunza juu ya Kanisa la kilutheri .

L'articolo Je, wafahamu Kanisa la kilutheri? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Waweshaji ni Padre Cyprian Mvanda IMC, Mkuu wa Shirika la Mapadre Wamissionari Wakonsolata Tanazania na Sista Paskalia Mkolomi, Mmisionari wa Shirika la Masista Wakonsolata, wakizungumzia juu ya kutangazwa kuwa Mtakatifu, Mwenyeheri Yosefu Allamano.

L'articolo Fahamu maisha ya Mwenyeheri Yosefu Allamano. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo Frateri Elikana Nyagabona kutoka Parokia ya Mtakatifu Paulo Mtume Mwatolole, Jimbo Katoliki Geita, anajibu swali lilioulizwa na Msikilizaji wetu likohoji ni mpango wa Mungu mwenyewe Kristo atukomboe kwa mateso, Je, dhambi ya Yuda na Wayahudi waliomtesa Yesu iko wapi?

L'articolo Je, dhambi ya Yuda Iskariote na Wayahudi waliomtesa Yesu iko wapi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ijue Sheria, Mwezeshaji ni Mheshimiwa Hassan Mlanga, Hakimu Mwandamizi kutoka Mahakama ya mwanzo Bomani Iringa Mjini, akituelimisha juu ya haki ya uwakilishi kisheria katika Mahakama ya Mwanzo.

L'articolo Ifahamu haki ya uwakilishi kisheria katika Mahakama ya mwanzo. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Mwezeshaji ni Bwana Damian Ndimbo, Mjumbe Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia mada juu ya kulitegemeza Kanisa akijikita zaidi katika utoaji wa zaka.

L'articolo Je, wafahamu ni wajibu wa Mkristu kulitegemeza Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea na mafundisho juu ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji na Sakramenti ya Upadre.

L'articolo Je, unatambua uhusiano kati ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji na Sakramenti ya Upadre? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akitufundisha juu ya Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha.

L'articolo Fahamu Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Benedict Lazaro Luvanga, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Pawaga, Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali linalohoji nini maana ya Liturujia na majukumu yake?

L'articolo Fahamu maana Liturujia na kazi ya kamati yake katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Uraibu, mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akituelimisha juu ya tabia ambazo tumeziweka kama za kawaida yaani ulevi wa Pombe.

L'articolo Fahamu michango ya makundi katika kuchochea ulevi wa kupindukia. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akiendelea na kumtazama nabii wa Agano jipya Yohane Mbatizaji katika kipengele cha toba.

L'articolo Je, wafahamu maana ya mwito wa toba. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Benedict Lazaro Luvanga, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Pawaga, Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali linalohoji kwanini Mapapa wana badili wadhifa wao pale wanapo teuliwa?

L'articolo Kwanini mababa watakatifu katika Kanisa hubadili majina yao baada ya kuteuliwa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Usalama Barabarani, leo nipo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge pamoja naye Koplo Abdallah Ismail, kutoka Makao makuu ya kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania wakifanunua juu ya Udereva bora.

L'articolo Je, wafahamu sifa ya Dereva bora. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Agatha Kisimba, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akiendelea kutufundisha juu ya Mahusiano kati ya Ekaristi Takatifu na Kanisa Katoliki.

L'articolo Fahamu Mahusiano kati ya Ekaristi Takatifu na Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Kalibu ungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, ambapo anafundisha juu ya Umuhimu wa Ekarist Takatifu ndani ya kanisa Katoliki

L'articolo Fahamu umuhimu wa Ekaristi Takatifu ndani ya Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Kalibu ungane nami Judith Francis katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia na Padre Titus Amigu, kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kufundisha namna gani Mwanadamu anajikosea mwenyewe.

L'articolo Kwa namna gani Mwanadamu huwa anajikosea mwenyewe? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Familia bora Nyumba aminifu leo tupo na Bwana Paschal Maziku, Bi. Federika Bayaga, Bi.Ester Kinyonga, Katekista Vicent Nathanael na Katekista Gabriel Mgala wakituongoza kujifunza tunu za kazi.

L'articolo Je, wafahamu Tunu za kazi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Ayubu Polykap Mwashibili kutoka Jimbo Kuu la Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema, nini maana ya Adhimisho la Ndoa kwa Siri? na yapi ni matokeo ya Ndoa katika Sheria za Kanisa?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Adhimisho la Ndoa kwa Siri? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Peter Mjwauzi Peter kutoka Parokia ya Mwenyeheri Vincenza Maria Poloni Ntyuka, Jimbo Kuu la Dodoma nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, nini maana ya Baba Mtakatifu na cheo hicho kiliwekwa na nani?L'articolo Je, nini maana ya Baba Mtakatifu na cheo hicho kiliwekwa na nani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo Mwezeshaji ni Bi. Anectus Asingibwe , Mwenyekiti Kampeni ya Kupinga Ukatili ( Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania- SMAUJATA) Wilaya ya Kisarawe. akizungumzia Nafasi ya Jamii katika kukuza Usawa Kijinsia Inachangiaje Maendeleo ya Taifa?

L'articolo Ni, kwa namna gani Jamii inachangia Maendeleo ya Taifa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akielezea juu ya nguvu ya Sala katika Maisha ya Wanadamu.

L'articolo Kwanini Tunasali? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha utume wa walei, Studio nipo na Bwana Verane Mushi na Eleutery Kobelo, Wajumbe wa kamati ya uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam, wakiendelea na mada ya Jumuiya ndogondogo za Kikristu katika kipengele cha Zaka.

L'articolo Zaka ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na tatu] proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Studio tupo naye Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akielezea juu ya nguvu ya Sala katika Maisha ya Wanadamu.

L'articolo Sala ina Nguvu gani katika maisha ya Mwanadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Ayubu Mwashibili Kutoka Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema thamani ya Bibilia takatifu ni ipi katika karne hii, maana ni kitabu kilichopitwa na wakati Je, kuna haja yakuendelea kutumia Bibilia takatifu?

L'articolo Je, thamani ya Bibilia Takatifu ni ipi katika Karne hii? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Judith Franciss katika kipindi cha maadili yetu, leo Frateri Emmanuel Gabliery Kashinje kutoka Parokia ya Erakarisiti Takatifu Mpanga, Jimbo Katoliki Ifakara, anatufundisha juu ya wajibu wa Mtu kwa Jilani.

L'articolo Je, wafahamu wajibu wa Mtu kwa Jilani. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha nena nami Bwana, ambapo leo anaenena nasi ni Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es salaam.

L'articolo Nena nami Bwana na Mhashamu Herny Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es salaam. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akiendelea kumuelezea Nabii Yohane Mbatizaji.

L'articolo Mfahamu Nabii kwa kina Yohana Mbatizaji. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, akiendelea kutuelimisha juu ya udhalilishaji na ukatili kwa Watoto.

L'articolo Je, wafahamu madhara ya udhalilishaji wa Watoto katika Jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Judith Francis katika kipindi cha ijue sheria, Mwezeshaji ni Mheshimiwa Martha Nnko, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Iringa Mjini, akizungumzia ukatili juu ya Watoto na jukumu la Jamii kulinda Watoto.

L'articolo Je, wajua jukumu la Jamii dhidi ya ukatili kwa Watoto? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya nguvu ya Sala katika Maisha ya Wanadamu.

L'articolo Ifahamu nguvu ya Sala katika Miasha ya Wanadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba kutoka Parokia ya Mtakatifu Kalori Lwanga Kantalamba, Jimbo katoliki Sumbawanga nikijibu swali la Msikilizaji linalosema tunao ushahidi gani kuwa Bikira Maria ni Bikira Daima?

L'articolo Je, wafahamu Bikira Maria ni Bikira Daima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo ambapo leo tuko na Bwana Willfred Kulwa, kutoka Dawati la Uchambuzi na Utafiti kutoka Mtandao Jinsia Tanzania TGP akizungumzia na kuelezea juu ya

Mchakato wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.L'articolo Fahamu juu ya Mchakato wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba kutoka Parokia ya Mtakatifu Kalori Lwanga Kantalamba, Jimbo katoliki Sumbawanga nikijibu swali la Msikilizaji linalosema tunao ushahidi gani kwamba Bikira Maria alikingiwa Dhambi ya Asili?

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria alikingiwa Dhambi ya Asili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba kutoka Parokia ya Mtakatifu Kalori Lwanga Kantalamba Jimbo katoliki Sumbawanga nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Eliya na Musa walimtokea Yesu mlimani?

L'articolo Ni, kwanini Eliya na Musa walimtokea Yesu mlimani ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Raymond Karega, katika Kipindi cha Sheria za Kanisa Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akielezea juu ya Sakramenti ya Kitubio Sheria Namba 965-975.

L'articolo Je, wafahamu Sheria za Sakramenti ya Kitubio? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, leo nipo na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya ishara za Ibada kwa Damu Azizi ya Bwana wetu Yesu Kristo.

L'articolo Yafahamu maagano mbalimbali wanayo weka Wakristo katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, leo nipo na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya ishara za Ibada kwa Damu Azizi ya Bwana wetu Yesu Kristo.

L'articolo Umuhimu wa maagano wanayoweka katika Sakramenti katika Ukristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Elimu Jamii leo tupo naye Bi. Miriam Luka Afisa Ustawi wa Jamii Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wanawake na Makundi maalum akijikita katika mada isemayo Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto.L'articolo Fahamu Maendeleo ya awali ya Mtoto. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Peter Mjwauzi Peter kutoka Parokia ya Mwenyeheri Vincenza Maria poloni Ntyuka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Katika Amri za Mungu, amri ya Kwanza inasema usiabudu Miungu wengine Je, hawa Miungu wengine ni kina nani?

L'articolo Je, wafahamu Miungu wengine ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Franco Abel Ubamba kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Mafinga, Jimbo Katoliki Mafinga nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Malaika na Malkia?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Malaika na Malkia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Agatha Kisimba, leo nipo na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya ishara za Ibada kwa Damu Azizi ya Bwana wetu Yesu Kristo.

L'articolo Je, wafahamu nguvu ya ishara ya Msalaba katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Raymond Karega, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Alto Albert Mlelwa, kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizi wa Mbinguni Makete, Jimbo Katoliki Njombe, akijibu swali linalohoji maana ya Mavazi yanayo valiwa na Mapadre na Mashemasi?

L'articolo Je, Wafahamu mavazi yanayo valiwa na Mapadre na Mashemasi maana yake? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Martin Joseph, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, leo Malezi na Makuzi, Uzalilishaji na Ukatili wa Watoto .

L'articolo Fahamu athari za Uzalilishaji na Ukatili kwa Watoto. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Bruno Bomola katika kipindi cha Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Studio niko na Padre Clement Kihiyo kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akielezea maana ya liturujia katika Ishara na alama zinzo tumika katika Liturujia.

L'articolo Zifahamu Ishara na alama zinazo tumika katika Litrujia ya Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Familia bora katika Nyumba aminifu, Wawezeshaji ni Bwana Paschal Maziku, Bi. Federika Bayaga, Bi. Ester Kinyonga, Katekista Vicent Nathanael na Katekista Gabriel Mgala, Wakufunzi wa Familia bora na Nyumba aminifu, wanaendelea kutufundisha juu ya Chanagamoto wapatazo Wazazi na Walezi katika Makuzi ya Watoto.

L'articolo Fahamu mbinu za kuwalea Watoto katika Makuzi mema katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akiendelea kufundisha kukoseana na kusamehana.

L'articolo Fahamu juu ya Watu wanavyokoseana? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Agatha Kisimba, leo nipo na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya ishara za Ibada kwa Damu Azizi ya Bwana wetu Yesu Kristo.

L'articolo Je, wafahamu Ishara za Ibada ya Damu Takatifu ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Benedict Lazaro Luvanga Kongo, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Pawaga, Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali linalohoji kwanini Yesu alichagua Mitume Wakiume na sio Wakike ?

L'articolo Je, Wafahamu kwanini Yesu alichagua Mitume wa Kiume na sio Wakike? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Mtangazaji wako Agatha Kisimba katika kipindi cha Utume wa Walei, ambapo leo tupo na Mjumbe wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam Mwalimu Veran Mushi na anazungumzia mada kuhusu Jumuiya ndogondogo za Kikristo, akijikita zaidi katika kipengele cha kutegemeza Kanisa..L'articolo Je, wafahamu namna ya kutegemeza Kanisa kupitia Zaka? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo ambapo leo tuko na Bi. Claudia Morand, Mkurugenzi wa Kampuni ya Acla Honey Enterprises akiongelea na kuelezea juu ya

Wanawake na fursa ya ufugaji nyuki katika kujikwamua kiuchumi.L'articolo Ni, kwanamna gani ufugaji nyuki husaidia Wanawake kujikwamua kiuchumi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Jacob Venusto Mkandawile kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Mkwawa, Jimbo Katoliki Iringa nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Wakati wa Misa Padre huwa ananawa mikono wakati mikono yake ni misafi Je, kwa tendo hilo anatuonesha ishara gani?L'articolo Ni, kwanini Padre kipindi cha mageuzo pale Altareni hunawa mikono ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Fahamu Wito wako na Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap kutoka Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akituongoza kujifunza Wito kwa njia ya Toba na Msamaha.

L'articolo Je, wafahamu Wito wa Msamaha ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Raymond Karega, katika Kipindi cha Sheria za Kanisa Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akituongoza kujifunza Sakramenti ya Ubatizo Sheria Namba 959-964.

L'articolo Je, wafahamu Sheria Namba 959-964 ya Sakramenti ya Ubatizo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Alto Hermes kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Makete, Jimbo Katoliki Njombe nikijibu swali la Msikilizaji linalosemaJe, Yesu alibatizwa akiwa na miaka mingapi? Je, alifanya kazi ya ukombozi kwa miaka mingapi? Kama Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima kwanini sisi Wakatoliki tunabatiza hata Watoto wachanga?”L'articolo Je, Yesu alibatizwa akiwa na miaka mingapi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kufundisha juu ya mada Ekaristi Takatifu nguvu Ibadilishayo

L'articolo Je, wafahamu Ekaristi Takatifu ni chakula cha Roho? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile kutoka Parokia ya Bikira Maria mpalizwa Mbinguni Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, heshima kwa Bikira Maria ina misingi gani kibiblia?”

L'articolo Je, heshima kwa Bikira Maria ina misingi gani kibiblia? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kufundisha juu ya mada Ekaristi Takatifu nguvu Ibadilishayo.

L'articolo Je, wafahamu Nguvu itokayo katika Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, le0 tupo na Bi Blandina Sekela pamoja naye Bi Elizabeth Kutoka Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, Wanawake na Makundi maalumu na Idara ya Ustawi wa jamii haki za watoto kisheria ikiwa mada ni watoto wanaoishi na kufanya kazi Mtaani.L'articolo Ni, kwanini Watoto wadogo hujishugulisha na kazi za Mtaani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea na akitufundisha juu ya nguvu ya Ekaristi Takataifu nguvu ibadilishayo.

L'articolo Ifahamu nguvu ya Ekaristi Takataifu kwa Watu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Ayuto Kongo, kutoka Seminari Ndogo ya Mtakatifu Yoseph Terambogo, Jimbo Katoliki Kigoma, akijibu swali linalohoji nani alianzisha Utaratibu wa huduma ya Sakramenti Takatifu ya mpako wa Wagonjwa?

L'articolo Je, unaifahamu Sakramenti Takatifu ya mpako wa Wagonjwa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha ujumbe wa Biblia, ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea na historia ya Nabii Yeremia.

L'articolo Je, unafahamu uhusiano wa Nabii Yeremia na Daraja Tajatifu ya Upadre? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Ekaristi Takataifu nguvu ibadilishayo.

L'articolo Je, wafahamu nguvu ya Ekaristi ibadilishayo Watu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Pro life Tanzania, wakituelimisha juu ya madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba.

L'articolo Fahamu madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki kupitia Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akizungumzia Damu Azizi ya Yesu Kristo.

L'articolo Je, wafahamu Thamani ya Damu Takatifu ya Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Patrick Paschal Tibanga ninakualika kwa mara nyingine katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukijumuika na Askofu Method Kilaini katika mwendelezo wa majibu kutokana na maswali ya Msikilizaji wetu.

L'articolo Je, Mto Jordani aliobatizwa Yesu & Mlima Kalvari na Watu huenda kuhiji? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Askofu Method Kilaini katika kipindi cha Historia ya Kanisa – Maswali na majibu moja ya maswali linalojibiwa ni pamoja na Je, kuna tofauti gani ya Rozari na Tasbihi?

L'articolo Je, kuna tofauti gani ya Rozari na Tasbihi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani?

L'articolo Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki?

L'articolo Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari ndogo ya Mtakatifu Yosefu Iterambogo Jimbo Katoliki Kigoma, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya neno agano?L'articolo Nini maana ya Agano? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Familia bora na Nyumba aminifu leo tupo na Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba aminifu, wakiendelea na mada isemayo changamoto wapatazo wazazi na walezi katika malezi bora ya watoto.

L'articolo Je, wafahamu changamoto wapatazo Wazazi na Walezi katika Malezi bora ya Watoto? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, ambapo leo tupo na wajumbe kutoka Kamati ya uinjilishaji walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wanazungumzia mada kuhusu Jumuiya ndogondogo za Kikristo, wakijikita zaidi katika kipengele cha kutegemeza Kanisa.

L'articolo Je, wafahamu namna ya kutegemeza Kanisa Katoliki kupitia Jumuiya ndogondogo za Kikristo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa , katika kipindi cha Uraibu na Padri Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akizungumzia vyanzo vya Uraibu.

L'articolo Je, wafahamu madhara ya Pombe. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, ukiwa nami Averino Chaula Afisa ustawi wa jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi maalum nikizungumzia juu ya kuimarisha Ndoa.L'articolo Je, wafahamu mbinu zinazotumika kuimarisha Ndoa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Mtangazaji Elizabeth Masanja katika Kipindi cha Ijue Sheria, Mwezeshaji ni Mheshimiwa Jackosn, Malobi Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa Mjini, Mada tunayojifunza siku ya leo ni Usafirishaji Haramu wa Binadamu.

L'articolo Fahamu madhara ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, anaendelea na mada juu mada ya Nabii wa kweli kufanya kazi bila kulialia.

L'articolo Fahamu namna ya Nabii anavyo takiwa kufanya kazi katika majukumu yake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji Fratel Altho Hermes Mlelwa kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa wa Mbinguni Makete, Jimbo Katoliki Njombe, akijibu swali linalohoji kwanini Kanisa Katoliki linawaombea Marehemu ?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa Katoliki linawaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Pro Life -Utetezi wa uhai, leo tupo na Wakufunzi kutoka Pro Life Tanzania wakiendelea na mada ndogo kuhusu mafundisho ya Kanisa juu ya vidhibiti mimba.L'articolo Je, wafahamu mafundisho ya Kanisa juu ya vidhibiti mimba? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Mtakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia leo akitufundisha juu ya Nabii Yeremia.

L'articolo Fahamu uhusiano wa Nabii Yeremia na Daraja Takatifu ya Upadre. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Fahamu Wito wako na Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap kutoka Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akituongoza kujifunza Utakatifu kupitia toba msamaha na huruma.

L'articolo Ni, kwa namna gani Utakatifu husaidia kutupatia Toba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, anaendelea na mada juu ya kuwatazama Watu walio kuwa wanafanya kazi ya Unabii.

L'articolo Fahamu juu ya Madabii wa Uongo na waukweli. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha maadili yetu, leo Frateri Deus Karege na Frateri Boniface Kabosha kutoka Parokia ya Mtakatifu Maria Imaculata Kanisa Kuu, Jimbo Katoliki Mpanda, wanatufundisha juu ya wajibu wa Mwanadamu kwa Mungu.

L'articolo Fahamu wajibu wa Mwanadamu kwa Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, mada ni juu ya nini kifanyike ili kuepuka unyanyasaji na ukatili Mtandaoni.

L'articolo Zifahamu athari zinazojitokeza dhidi ya unyanyasaji na ukatili Mitandaoni. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Familia bora katika Nyumba aminifu, Wawezeshaji ni Bwana Paschal Maziku, Bi. Federika Bayaga, Bi. Ester Kinyonga, Katekista Vicent Nathanael na Katekista Gabriel Mgala, Wakufunzi wa Familia bora na Nyumba aminifu, wanaendelea kutufundisha juu ya thamani ya Watoto katika maisha ya Familia.

L'articolo Je, wafahamu kuwa Mtoto ni tunu katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji Fratel Altho Hermes Mlelwa kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizi wa Mbinguni Makete, Jimbo Katoliki Njombe, akijibu swali linalo hoji nini maana ya vitu vinavyo tumika katika Misa Takatifu Kanisani.

L'articolo Je, wafahamu maana ya vitu vinavyo tumika katika Misa Kanisani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami John Samky katika, Kipindi cha Sheria za Kanisa Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akituongoza kujifunza uhifadhi na kuheshimu Ekaristi Takatifu.

L'articolo Kuweka Wakfu Ekaristi ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Elikana Nyagabona kutoka Parokia ya Mtakatifu Paulo Mtume Mwatulole, Jimbo Katoliki Geita nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Imani ya Kanisa ni ipi? maana huwa nasikia usizitazame dhambi zetu ila tu Imani ya Kanisa lako.L'articolo Je, Imani ya Kanisa Katoliki ni ipi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo na Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akituongoza kujifunza lishe ya kiroho ya tunda la Roho Mtakatifu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Matunda ya Roho Mtakatifu hujidhirisha Nafsi mwetu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa studio tupo naye Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akituongoza kujifunza lishe ya kiroho ya tunda la Roho Mtakatifu.

L'articolo Je, wafahamu lishe ya Kiroho katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph, katika kipindi cha Usalama Barabarani, leo nipo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge pamoja naye Koplo Abdallah Ismail, kutoka Makao makuu ya kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania wakifanunua Ukaguzi wa vyombo vya moto.

L'articolo Ni, kwanini Vyombo vya Moto vinakaguliwa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Peter Mjwauzi Kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Bosko Miyuji Mbwanga, iliyopo Jimbo Kuu Dodoma akijibu swali linalosema kama mtu ameishi miaka mingi katika dhambi na amejitenga na Mungu pia na kanisa, je? afanye nini asamehewe ili arudi katika imani yake?

L'articolo Je, unahitaji imani ili kusamehewa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria leo studio tupo naye Padre Peter Choga, akituongoza kutafakari Litania ya Bikira Maria.

L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Studio nipo na Bi. Stella Shayo, Afisa ustawi wa Jamii kutoka dawati la marekebisho ya Watoto na haki ya Watoto kisheria, akitufundisha juu ya malezi ya kambo na kuasili.

L'articolo Je, unafahamu maana ya malezi ya kambo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[ Sehemu ya hasini na Tisa] proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[ Sehemu ya hamsini na nane] proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino, Jimbo Kuu Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia amabapo leo anaangazia mada Sakramenti Takatifu ya Upadre na watu alio pewa jukumu hilo.

L'articolo Ifahamu Sakramenti Takatifu ya Upadre. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu sadaka kwajili ya wengi na Maneno ya Yesu Kristo.

L'articolo Fahamu maneno Yesu Kristo aliyotoa kupitia Sadaka ya Ekaristi takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane nami Mtangazaji Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Maswali Yahusuyu Imani, mwezeshaji Frateri Benedict Lazaro Luvanga kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji-Pawaga, Jimbo Katoliki Iringa, anajibu swali linalo hoji, Je ni dhambi kunywa Pombe na kula Nyamana ya Nguruwe.

L'articolo Je, ni dhambi kunywa Pombe na kula Nyama ya Nguruwe? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja katika kipindi cha ijue sheria, Mwezeshaji ni Mheshimiwa Azim Fabian Mmanywa, Hakimu mkazi wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa na Msaidizi wa sheria wa Jaji, akituongoza katika mada juu ya ndoa na talaka.

L'articolo Fahamu sheria za ndoa katika jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha utume wa walei, Studio nipo na Bwana Verane Mushi na Eleutery Kobelo, Wajumbe wa kamati ya uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam, wakiendelea na mada ya Jumuiya ndogondogo za Kikristu katika kipengele cha kufarijiana.

L'articolo Fahamu umuhimu wa Jumuiya ndogondogo katika kufarijiana. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa studio tupo naye Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akituongoza kujifunza lishe ya kiroho ya tunda la Roho Mtakatifu.

L'articolo Je, wafahamu lishe ya Kiroho katika kanisa katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Mtangazji Raymond Kalega katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani Mwezeshaji ni Frateri Mausi Zakaria Msigwa kutoka Parokia ya Karolilwanga Kantalamba, Jimbo katoliki Sumbawanga, mada ni juu ya kwanini Yesu Kristo alichagua mitume kumi 12 to na hakuongeza mwingine.

L'articolo Ifahamu umuhimu namba kumi na mbili katika Bibilia Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtanagzaji Raymond Kalega katika Kipindi cha Ujumbe wa Bibilia mwezeshaji Padre Titus Aamigu wa Jimbo kuu la Mwanza, anaendelea mada ya kukoseana na kusamehana ukiwa anza na binadamu mwenyewe.

L'articolo fahamu namna ya kujitazama mwenyewe pale mnapokoseana na mtu ? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani pamoja na Frateri Franco Abeli Lubamba kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizi wa Mbinguni Mafinga, Jimbo katoliki Mafinga, mada ya leo ni Watoto walio tolewa mimba na Wazazi wao siku ya mwisho watafufuliwa.

L'articolo Mfahamu mtoto alie tolewa mimba siku ya mwisho atafufuliwa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane Mtangazaji Elizabetha Masanja katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, pamoja nae Bi. Joyce Kitesho Mkuu wa Dawati la Jinsia katika Mkoa Lindi amabapo leo wanaangazia mada Hali ya ukatili wa kijinsia hapa nchini.

L'articolo Je, wafahamu viashiria vya ukatili wa kijinsia proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Happiness Mlewa , Mwezashaji ni Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu sadaka kwajili ya wengi.

L'articolo Ifahamu Ekaristi Takatifu inavyo leta Sadaka kwa Watu proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki kupitia Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kagera, akihitimisha juu ya mada Ekaristi Takatifu nguvu ya uponyaji.

L'articolo Nini maana ya kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Pro-life utetezi wa uhai, kutoka viwanja vya Mtakatifu Dominico Msimbazi center, leo kipindi hiki ni maalumu kwa ajili ya kuzungumzia maadhimisho ya miaka 30 ya Pro life Tanzania.

L'articolo Maadhimisho ya mika 30 ya Pro life Tanzania. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu sadaka kwa walio wengi.

L'articolo Ifahamu sadaka ya Ekaristi Takatifu kwa watu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Fahamu Wito wako na Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap kutoka Jimbo Kuu Katoliki Arusha akiendelea kutuelezea namna gani utandawazi unashabiana na uinjilishaji?L'articolo Ni, kwa namna gani utandawazi husaidia uinjilishaji katika kanisa katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Familia bora na Nyumba aminifu, leo Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba aminifu, wanaendelea na mada ya tunu za maisha ya Familia wakijikita zaidi katika thamani ya Watoto katika Familia.

L'articolo Kwanini Watoto ni tunu katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, na Frateri Benedict Lazaro Luvanga kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je ni sahihi kuwaombea marehemu wenye majina yasiyobatizwa? L'articolo Je, ni sahihi kuwaombea Marehemu wenye Majina yasiyobatizwa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Ester Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, mwezeshaji ni Bwana Joseph Mwaiselo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma kutoka Takukuru Makao Makuu Jijini Dodoma, akitufundisha juu ya udhibiti wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu.

L'articolo Je, ni kwa namna gani tunaweza kudhibiti vitendo vya rushwa katika jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Franco Abel Ubamba, kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Mafinga, Jimbo Katoliki Mafinga, anajibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu likisema Nini maana ya Ekaristi Takatifu na miujiza mbalimbali iliyowai kutokea juu yake?

L'articolo Ifahamu miujiza iliyowai kutokea juu ya Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, Mwezashaji ni Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu nguvu ya uponyaji kwa Watu.

L'articolo Je, wafahamu nguvu wa uponyaji itokanayo na Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mtume Uyole, Jimbo Kuu la Mbeya anajibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu likisema Kanisa limetoa wapi ishara ya Msalaba kwani hakuna mahali ilipofundishwa wala kuandikwa katika maandiko Matakatifu?

L'articolo Je, unafahamu Kanisa limetoa wapi ishara ya Msalaba? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazji Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekismu Katoliki Shirikishi pamoja na mwezeshaji Padre Deodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja kutoka Jimbo katoliki la Bukoba Mkoani Kagera, muendelezo mwa mada ya Ekarisri Takatifu nguvu ya uponyaj.

L'articolo Ifahamu zawadi ya Mungu kwa wanadamu kupitia Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Familia bora katika Nyumba aminifu, leo Wakufunzi wetu wanaendelea na mada ya Tunu za maisha ya Familia na ndoa, wakijikita zaidi katika changamoto endelevu juu ya mwenza wa ndoa.

L'articolo Fahamu changamoto endelevu za mwenza wa ndoa katika maisha ya Familia. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani,leo tupo na Frateri Cassian Lebba kutoka Seminari ndogo ya Mtakatifu Yosefu Kaengesa, Jimbo Katoliki Sumbawanga akijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Yesu alisema mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mpeni Mungu yaliyo yake Mungu, Je alikuwa anamaanisha nini?L'articolo Kwanini Yesu alisema mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mpeni Mungu yaliyo yake Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Happiness Mlewa pamoja nami Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ni ambapo leo mada juu Ekarisri Takatifu nguvu ya uponyaji kwa Watu.

L'articolo Fahamu nguvu ya Ekaristi Takatifu inavyoleta uponyaji kwa Watu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Mtangazji Elizabeth Masanja katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, mwezeshaji Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mtume Mkuu Uyole, Jimbo kuu Katoliki Mbeya, anajibu swali linalo hoji kuwa kuna wakati wa kusali sala Bwana kuna ulazima gani wa kusema Baba etu?

L'articolo Je, wafahamu kwanini tunapo sali sala ya Bwana tuna taja Baba etu, badala ya Mama etu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Usalama Barabarani, leo nipo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge pamoja naye Koplo Abdallah Ismail, kutoka Makao makuu ya kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania wakielezea maana ya Ajali za Barabarani.

L'articolo Nini maana ya Ajali? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane na Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, akijibu swali la Msiklizaji likihoji, nini maana ya maneno haya ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.
  • studio Raymond Karega.

L'articolo Je, wafahamu Njia za kuingia Ufalme wa Mbingu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Ester Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, Studio nipo na Bi. Agnes Mfanyakazi, Mwanasaikolojia kutoka Kituo cha mazoezi cha Antonio verna rehabilitation center, akitufundisha athari zitokanazo na magonjwa ya afya ya akili.

L'articolo Je , unazifahamu athari zitokanazo na magonjwa ya afya ya akili? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Martin Joseph, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, leo anazungumzia aina za malezi, akijikita zaidi katika malezi shirikishi.

L'articolo Fahamu malezi shirikishi ya Vijana katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane na Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, akijibu swali lililoulizwa na Msiklizaji likihoji, katika amri za Mungu, amri ya kwanza inasema usiabudu Miungu wengine, Je Miungu wengine ni kina nani?

L'articolo Je, Mungu alisema kuna Miungu mingine? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akituelimisha juu ya madhara ya pombe.

L'articolo Fahamu madhara ya pombe katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo naye Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kagera, ikiwa ni muendelezo wa mada ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika kipengele cha Matendo ya Huruma yanavyosaidia kuutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu.

L'articolo Je, ibada kwa Moyo Mtakatifu wa Yesu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Liturujia na kazi ya kamati ya Liturujia katika Kanisa, na watu gani wanasifa ya kuwa kamati ya Liturujia?

L'articolo Je, wafahamu kazi ya Kamati ya Liturujia katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo naye Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kagera, ikiwa ni muendelezo wa mada ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika kipengele cha Matendo ya Huruma yanavyosaidia kuutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu.

L'articolo Nini maana ya Matendo ya Huruma? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Elimu Jamii, leo nipo na Sister Vestina Vedasto Tibenda, Mkarmeli Mmisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Provinsi ya Afrika, anayefanya Utume wake Kituo cha kiroho cha Mtakatifu Teresa wa Avila Boko Dar es salaam, akituelezea siri ya Utakatifu wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu.

L'articolo Je, wafahamu Siri ya Utakatifu wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo naye Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kagera, anaendelea kufundisha juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika kipengele cha Matendo ya Huruma yanavyosaidia kuutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Moyo Mtakatifu wa Yesu unatobolewa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Desderius Mwambaluka nikijibu swali linalosema Kwanini Watawa hawaolewi na Mapadre hawaoi?

L'articolo Ni, Kwanini Watawa hawaolewi na Mapadre hawaoi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi leo tupo naye Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kagera, anaendelea kufundisha juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika kipengele cha Matendo ya Huruma yanavyosaidia kuutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu.

L'articolo Je, wafahamu namna gani Matendo ya Huruma wanautuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia kuelekea kilele cha Maadhimisho ya miaka Thelathini ya Pro Life TanzaniaInaongozwa na kauli mbiu: (Miaka Thelathini ya Utume wa uhai Tanzania, Tumedumu, tumestawisha, tumetikisa kuta za utamaduni wa kifoL'articolo Je, wafahamu Miaka Thelathini ya Pro Life Tanzania? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Desderius Mwambaluka nikijibu swali linalosema nini maana ya Toharani?

L'articolo Nini maana ya Toharani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Ayuto Kongwa, nikijibu swali linalosema Yesu alimaanisha nini aliposema samehe sabini mara Saba? Na usipomsamehe aliyekukosea inakuwaje?

L'articolo Je, wafahamu madhara ya kukokusamehe? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Usalama Barabarani, leo nipo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge, kutoka Makao makuu ya kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania akizungumzia Ajali za Barabarani

L'articolo Nini chanzo cha Ajali Barabarani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Desderius Mwambaluka , nikijibu swali linalosema nini maana ya Abate ?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Abate? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako John Samky katika kipindi chetu cha Familia Bora na Nyumba aminifu ambapo leo tukiendelea kuangazia juu ya tunu za maisha katika Familia.
  • Studio niko na Wawezeshaji Ndugu Paschal Maziku, Bi.Federika Bayaga, Katekista Vincent Nathanael na Ndugu Respicius Mwombeki jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Je, unafahamu tunu za Ndoa Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, leo tupo na Bi. Maria Ngilisho, Afisa lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC),akituelimisha juu ya namna ya Kutambua vyakula vilivyosindikwa.

L'articolo Je, Chakula kilichosindikwa ni kipi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga, nikijibu swali linalosema nini maana ya mavazi madogo wanayo yavaa mapadre Kama mshipi, kitambaa mgongoni na kifuani vinavyovaliwa kabla ya kanzu ya Padre?

L'articolo Nini maana ya Mshipi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tupo naye Mwalimu Eleutery Kobelo na Verane Mushi, Mjumbe wa kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam, wakitufundisha namna ya kushirikishana neno la Mungu katika Jumuiya.

L'articolo Ni, kwa namna gani tushiriki neno la Mungu katika Jumuiya? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula, C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anatafundisha juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ufunuo wa Huruma ya Mungu.

L'articolo Ni, namna gani Moyo Mtakatifu wa Yesu unafunua Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Polycarp Mwashibili, nikijibu swali linalosema Kwanini Masista wanabadili jina lakini Mapadre hawabadili.

L'articolo Ni, kwanini Masista wanabadilisha majina lakini Mapadre hawabadili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Agatha Kisimba ,katika kipindi cha Ijue Afya yako ambapo leo tupo na Mtaalamu Mwandamizi wa Maabara kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Francisco wa Asizi Ifakara, Bwana Steve Ngatunga akifafanua kuhusu madhara ya kutumia dawa bila kufanya vipimo.L'articolo Je, unafahamu madhara yatokanayo na matumizi ya dawa bila vipimo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[ sehemu ya ishirini na mbili] proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Tafakari nasi, na leo anamzungumzia Mtakatifu Antony wa Padua.

L'articolo Mfahamu Mtakatifu Antony wa Padua? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Chakula na Lishe, leo tupo na Bi.Doris Katana Afisa lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo akituongoza katika kujifunza malezi na lishe bora kwa mtoto ndani ya siku 1000 za mwanzo za maisha yake.
  • Mtangazaji wako ni mimi Martin Jospeh jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Ni, Lishe ipi bora kwa Mtoto ndani ya siku 1000 za mwanzo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Daudi Fungameza, nikijibu swali linalosema nini maana ya neno Miungu ?

L'articolo Je, Miungu ni viumbe hai? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Samson Peter leo tunajibu swali linalosema tunasema
  • kwanini Padre haruhusiwi kutoa Sakramenti Takatifu ya Kipaimara?

L'articolo Wafahamu kwanini Padre haruhusiwi kutoa Sakramenti Takatifu ya Kipaimara? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Agatha Kisimba pamoja n Padre Dominic Mavula, C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ni ambapo leo anatuongoza kuendelea na mada juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ufunuo wa Ibada za Moyo Mtakatifu za Yesu.

L'articolo Fahamu Ibada za Mungu zinazo funua Moyo Mtakataifu Yesu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza katika muendelezo wa mada ya sheria za Ekaristi Takatifu na akijikita zaidi katika sheria namba 924-933

L'articolo Ifahamu Sheria ya Ekaristi Takatifu katika kanuni la adhimisho la Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula, C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anatuongoza kuendelea na mada juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ufunuo wa Huruma ya Mungu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Madhaifu yetu yanatuzuiya kutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Ayuto Kogwa leo tunajibu swali linalosema tunasema
  • kwamba kwanini tunasali Rozari Takatifu, na kwanini sisi Wakatoliki tuna vitabu vingi vya Historia za watakatifu?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Wakatoliki wanasali Rozari Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, leo Wakufunzi wetu kutoka Pro life Tanzania, Antony Lihepa, Janeth Akarro na Witness Joachim, wanafanua juu ya Maisha ya Vijana na Dunia ya Leo.

L'articolo Je, wafahamu madhara ya kisaikolojia ya utoaji mimba? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Steven Christian Lihizia katika kipindi cha Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Studio niko na Padre Clement Kihiyo kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akielezea maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma.

L'articolo Nini maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha maadili yetu, leo nipo na Frateri Erick Kimario, Frateri Paschal Kasona na Frateri Daudi Mwamonje, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Paulo Kipalapala, Jimbo Kuu la Tabora, wakizungumzia haki ya Mtu kuchagua hali ya kuishi anayoipenda zaidi.

L'articolo Ifahamu haki ya Mtu kuchagua maisha mazuri ya kuishi. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo leo tupo naye Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ikiwa leo tunajikita zaidi kujibu Maswali mbalimbali yanayoulizwa na wasikilizaji.

L'articolo Je, wafahamu Elimu ya Teolojia ilianzishwa mwaka gani? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutuelimisha juu ya Sakramenti ya Daraja Takatifu la Upadri, akijikita katika historia ya Nabii Amosi.

L'articolo Ni kwa namna gani Nabii Amosi anahusiana na Sakramenti ya Upadri? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani,leo Frateri Benedict Lazaro, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, anajibu swali lililoulizwa na Msikilizaji likisema kuna utofauti gani wa mitume wa Yesu na Yesu mwenyewe?

L'articolo Je, kuna utofauti kati ya mitume wa Yesu na Yesu mwenyewe? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tupo naye Mwalimu Eleutery Kobelo Mjumbe wa kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam, akitufundisha Umuhimu wa Jumuhiya ndogondogo za Kikristo.

L'articolo Ni, kwanini Tunasali Jumuhiya? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na lishe, Mwezeshaji ni Bi. Doris Katana, Afisa lishe mtafiti mwandamizi kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akizungumzia malezi na lishe bora kwa mtoto ndani ya siku 1000 za mwanzo za maisha yake.

L'articolo Kwanini malezi na lishe bora ni muhimu kwa watoto ndani ya siku 1000 za mwanzo za maisha yao? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga, nikijibu swali linalosema Kwanini Yesu alichagua mitume wa kiume na sio wa kike?

L'articolo Ni, kwanini Yesu alichagua Mitume wa Kiume na sio wa Kike? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Uraibu na Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha maana, asili na miiko ya pombe katika Jamii, ninaekualika ni mimi ni Mtangazaji wako Happiness Mlewa.

L'articolo Ijue maana, asili na miiko ya pombe katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

-Karibu katika kipindi cha Elimu Jamii kupitia Radio Maria Tanzania ambapo tupo na Mhandisi Paschal Ncheye- Makamu Mwenyekiti wa Tucasa na Bwana Clement Mworia-Katibu Mtendaji wa Tucasa akituongoza kujifunza maboresho ya Sera sheria kanuni na miongozo mbalimbali kwenywe sekta ya ujenzi Nchini

Studio uko nami Martin Jospeh.

L'articolo Je, wafahamu Sheria na Kanuni mbalimbali za Ujenzi Nchini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula, C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anatuongoza kuendelea na mada namna ya Kutulizo Moyo Mtakatifu wa Yesu?

L'articolo Ni, Kipi kinachoumiza Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Martin Joseph, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, leo anazungumzia aina za malezi, akijikita zaidi katika malezi huru na telekezi.

L'articolo Fahamu malezi huru na telekezi kwa vijana. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[ Sehemu ya ishirini na moja] proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika Kipindi Fahamu Wito wako kutoka Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha mwezeshaji Padre Innocent Bahati Padre wa Shirika wa Ndugu wadogo wa franciscan wa kapuchini wa jimbo kuu la Arusha, mada Uinjilishaji na Utandawazi.

L'articolo Fahamna namna Utandawazi unavyo shabiana katika Uinjilishaji. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Elizabeth Masanja pamoja na Wana Pro-Life wawezeshaji wa kipindi cha Pro- Life watetezi wa Uhai mada, maisha ya Vijana Dunia leo,

kipengele cha Ushamili wa vitendo vya Utoaji mimba

L'articolo Fahamu madhara ya Utoaji mimba proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Ndogo ya Kahengesa Jimbo Katoliki la Sumbawanga, ukiwa nami Frateri Kassian Leba leo tunajibu swali linalosema Kwanini Kanisa katoliki lina wahukumu kupata huduma ikiwemo za Mazishi wale ambao hawashiriki Shughuli za Kanisa ?

L'articolo Kwanini Kanisa haliwapatii huduma walio tenda dhambi za waziwazi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Agatha Kasimba, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo ni muendelezo mwa mada ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika kipengele cha namna ya kushinda Vishawishi.

L'articolo Fahamu namna ya Kushinda vishawishi proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga, ukiwa nami Frateri Kassian Leba leo tunajibu swali linalosema Kwanini Kanisa Katoliki linatuasa tusiwe wepesi wa kuhukumu, na Je kwanini Kanisa hali wapatii huduma wale watu wanao kufa katika dhambi ?

L'articolo Je, kwanini Kanisa lina waasa watu wasio wepesi wa kuhukumu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba leo tunajibu swali linalosema tunasema kwamba Ekaristi Takatifu ni Mkate wa mbingu, tena ni karamu ya Bwana lakini mbona tunapopokea Ekaristi hatuonji kama tumepokea Mwili wa Bwana tunaonja kama tumepokea mkate wa kawaida?

L'articolo Ekaristi Takatifu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako John Samky katika kipindi chetu cha Familia Bora na Nyumba aminifu ambapo leo tukiendelea kujikita na kuangazia mada isemayo Tunu au Thamani ya maisha katika Familia na Miito.
  • Studio niko na Wawezeshaji Ndugu Paschal Maziku, Bi.Federika Bayaga, Katekista Vincent Nathanael na Ndugu Respicius Mwombeki jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Kwanini Mungu ni Tunu Katika Maisha ya Binadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba leo tunajibu swali linalosema Dominika ya Mchungaji Mwema ilianzishwa lin na kwakusudi gani?

L'articolo Je, wafahamu nini juu ya Dominika ya Mchungaji Mwema ? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Mtaguso Mkuu wa Vatican, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiangazia Waraka wa Baba Mtakatifu Benedicto XVI, Upendo katika ukweli.

L'articolo Fahamu waraka wa Baba Mtakatifu Benedicto XVI, upendo katika ukweli. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutuelimisha juu ya hoja ya laana.

L'articolo Je, kuna laana katika ulimwengu huu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anatuongoza katika mada isemayo ni kwa namna gani kutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu.

L'articolo Nifanye nini ili kutuliza Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Elimu Jamii, leo nipo na Sister Vestina Vedasto Tibenda, Mkarmeli Mmisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Provinsi ya Afrika, anayefanya Utume wake Kituo cha kiroho cha Mtakatifu Teresa wa Avila Boko Dar es salaam, akiangazia uhusiano wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu na Bikira Maria pamoja na Watakatifu wengine.

L'articolo Je, kuna uhusiano kati ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu na Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Cassian Lebba tunajibu swali linalosema Tunawezaje kulielewa fumbo la utatu Mtakatifu?

L'articolo Utatu Mtakatifu ni upi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya ishirini] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo leo tupo naye Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ikiwa leo tunajikita zaidi kujibu Maswali mbalimbali yanayoulizwa na wasikilizaji swali linaloulizwa ni Yerusalemu ni Mji Mtakatifu, Je watu wapale hawatendi dhambi?

L'articolo Je, ni kweli watu wa Yerusalemu hawatendi dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo leo tupo na Mhashamu Gervas John Nyaisonga, Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Mbeya na Rais wa Balaza la Maskofu Katoliki Tanzania (TEC)

L'articolo Nena Nami Bwana Na Askofu Mkuu Gervas J. Nyaisonga wa Jimbo Kuu la Mbeya. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo leo tupo naye Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, leo anaendelea kujibu Maswali mbalimbali yanayoulizwa na wasikilizaji, akijikita zaidi swali linaloulizwa, kwanini Bikira Maria alipata Mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu?

L'articolo Ni, kwanini Bikira Maria alipata Mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama Barabarani, leo nipo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge, kutoka Makao makuu ya Traffic Dar es salaam, akitufundisha haki na wajibu wa watembea kwa miguu Barabarani.

L'articolo Fahamu haki na wajibu wa watembea kwa miguu Barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo leo tupo naye Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ikiwa leo tunajikita zaidi kujibu Maswali mbalimbali yanayoulizwa na wasikilizaji.

L'articolo Ni, kwanini Watawa hawahubiri Injili Madhabahuni? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ijue Sheria, leo niko na Mheshimiwa Hassan Mlanga, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa Mjini, akituelimisha juu ya makosa ya kujamiiana.

L'articolo Fahamu makosa ya kujamiiana katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba, anatufundisha juu ya Moyo Mtakatifu wa Yesu chemichemi na Uzima wetu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Moyo Mtakatifu wa Yesu ni chemichemi na Uzima wetu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Studio niko na Wakufunzi kutoka Pro life Tanzania, wakiendelea kuzungumzia mada ya Maisha ya Vijana na Dunia ya leo, wakijikita zaidi katika kushamiri kwa vitendo vya utoaji mimba katika Jamii.

L'articolo Je, kwanini vitendo vya utoaji mimba vinashamiri katika Jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Mtangazaji wako Patrick Tibanga, katika kipindi cha Historia ya Kanisa Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ikiwa leo tunajikita zaidi kujibu Maswali mbalimbali yanayoulizwa na wasikilizaji.

L'articolo Je, wafahamu Historia ya Kadinali wa kwanza Afrika? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza leo tunajibu swali linalosema Padre anapoadhimisha Misa na anaposema usizitazame dhambi zetu ila Imani ya Kanisa lako, Je hiyo Imani ya Kanisa Katoliki ni ipi?

L'articolo Je, Imani ya Kanisa Katoliki ni ipi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka hapa Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, leo uko nami Frateri Jofrey Vitalis nikijibu swali linalosema nini maana ya Rozari Takatifu ?

L'articolo Rozari Takatifu ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako John Samky katika kipindi chetu cha Familia Bora na Nyumba aminifu ambapo leo tukiendelea kujikita na kuangazia mada isemayo nini kifanyike ili kunusuru uvunjivu wa haki za Binadamu katika ngazi ya familia?
  • Studio niko na Wawezeshaji Ndugu Paschal Maziku, Bi.Federika Bayaga, Katekista Vincent Nathanael na Ndugu Respicius Mwombeki jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Nini kifanyike kunusuru uvunjivu wa haki za Binadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza leo tunajibu swali linalosema nini maana ya Sinagogi na je, Hekalu lilikuwa limegawanyika katika sehemu ngapi?

L'articolo Je, Hekalu limegawanyika katika sehemu kuu ngapi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa ukiwa nami Mtangazaji wako Raymond Karega, leo Mwezeshaji wetu Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anatuongoza kuendelea kuangazia muendelezo wa mada ya sheria ya Ekaristi Takatifu namba 917 – 923.

L'articolo Je, wafahamu makundi ya Wahudumu katika Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tupo na Mwalimu Damian Moses Ndimbo pamoja na Verane Mushi, ambao ni Wajumbe wa kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam, wanatuongoza kujifunza madhumuni ya Jumuiya ndogondogo za Kikristo.

L'articolo Je, wafahamu malengo wa Jumuiya ndogondogo za Kikristo? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Mtangazaji wako Ester Magai Hangu, katika kipindi cha Elimu Jamii, Studio nipo na Bi. Millen Makundi, Mratibu wa dawati la Wazee Halmashauri ya jiji la Dar es salaam, leo anatufundisha kupinga ukatili dhidi ya Wazee.

L'articolo Fahamu njia za kupinga ukatili dhidi ya Wazee. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Ester Magai Hangu, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaba kutoka Ofisi za haki za Binadamu kitengo cha maendeleo ya jamii, Jimbo Katoliki Zanzibar, leo anazungumzia aina za malezi.

L'articolo Je, wazifahamu aina nzuri za malezi ya vijana katika Familia? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Petro Mikao, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu likisema, kwanini kuna utofauti katika baadhi ya sala kama vile sala za asubuhi na sala za jioni katika Majimbo ya kusini chini ya Jimbo Kuu la Songea na majimbo mengine ya Tanzania?

L'articolo Je, kuna utofauti wa sala kati ya Majimbo ya kusini na Majimbo mengine ya Tanzania? proviene da Radio Maria.

View Details

  • ungana nami Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituamsha na kutuongoza katika siku yetu mpya, karibu tumuimbie Bwana katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya kumi na tisa] proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akielezea historia ya Nabii Ezekieli.

L'articolo Ifahamu historia ya Nabii Ezekieli. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, anaendelea kutufundisha juu ya uhusiano wa utandawazi na uinjilishaji.

Mtangazaji wako ni Martin Joseph.

L'articolo Ni kwa namna gani utandawazi unatumika katika uinjilishaji? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, leo Frateri Petro Mikao anajibu swali linalosema nini maana ya Katekista, Je, wanapaswa kuchukuliwaje katika Kanisa au jamii na namna gani na vigezo vipi vinavyotumika kwa mtu anayetaka kuwa katekista, Je, Padre akikuta katekista ameanza Ibada kigangoni ataendelea pale alipomkuta au ataanza tena mwanzo ?

L'articolo Je, ni vingezo vipi vinatumika kumchaguwa Mtu kuwa Katekista? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba, ambapo ni muendelezo wa mada ya nguvu ya Ekaristi Takatifu katika maisha ya Mkristo.

L'articolo Je, unaweza kuishi bila jua au bila Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama [Sehemu ya kumi nane] proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama[ Sehemu ya kumi na saba] proviene da Radio Maria.

View Details

  • ungana na John Samky katika kipindi cha Familia bora na nyumba aminifu, Studio yupo na Paschal Maziku, Federika Bayaga, Katekista Vicent Nathanael na Respicius Mwombeki, Wakufunzi wa familia bora katika nyumba aminifu, wanaelezea mada ya je, Waamini, Kanisa na taasisi zake zifanye nini kwa wanaoendeleza utamaduni wa kifo kwa kutoheshimu utu, kutunza na kutothamini uhai?

L'articolo Je, Waamini, Kanisa na taasisi zake zifanye nini kwa wasioheshimu, kuthamini na kutunza uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, leo Frater Hugo Venance Kabogo anajibu swali ni nini tofauti ya Sakramenti na Visakramenti?

L'articolo Fahamu utofauti wa Sakramenti na Visakramenti. proviene da Radio Maria.

View Details

    • Karibu usikilize kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo Frateri Franco Abel Ubamba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, anajibu swali liliulizwa je, kupalizwa Bikira Maria Mbinguni maana yake nini?

L'articolo Fahamu maana ya kupalizwa Bikira Maria mbinguni. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mtangazaji Agatha Kisimba, katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, leo Wakufunzi wetu kutoka Pro life Tanzania, Antony Lihepa, Janeth Akarro na Witness Joachim, wanatuelimisha juu ya sababu za kushamiri kwa vitendo vya utoaji mimba.

L'articolo Kwanini vitendo vya utoaji mimba vinashamiri katika jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane na Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza katika muendelezo wa mada ya sheria za Ekaristi Takatifu na akijikita zaidi katika sheria namba 906 – 916.

L'articolo Ifahamu sheria ya Ekaristi Takatifu namba 906-916. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane na Happiness Mlewa katika kipindi maalumu, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anazungumzia ujumbe wa Baba Mtakatifu Fransisko juu ya siku ya Watoto ulimwenguni.

L'articolo Fahamu ujumbe wa Baba Mtakatifu Fransisko kwa siku ya Watoto ulimwenguni. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Agatha Kisimba, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba, akituelimisha juu ya nguvu ya Ekaristi Takatifu katika maisha ya Mkristo.

L'articolo Ifahamu nguvu ya Ekaristi Takatifu katika Maisha ya Mkrsito. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Martin Joseph Katika Kipindi cha Amka na Mama sehemu ya 51, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituamsha na kuifanya siku yetu kuwa njema.

karibu tumwimbie Mungu katika roho na kweli.

L'articolo Amka na Mama sehemu ya 51 proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi studio tupo na Padre Padre Deodatus Kagashe Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu kutoka Kagera , ambapo leo tunaangazia ni, Ekaristi na Unjilishaji ?

L'articolo Je, Wafahamu juu ya fumbo la Ekaristi Takatifu na Uinjilishaji? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane na Esther Magai Hangu katika Kipindi cha Elimu Jamii, mwezeshaji Bwana Anetus Asingizibwe Mwenyekiti wa Kampeni ya kupinga ukatili shujaa na Maendeleo Simaujata kutoka Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani,

mada Usalama wa Watoto kwa Maendeleo ya Taifa.

L'articolo Fahamu namna kumlinda Mtoto na kumpatia haki zake za msingi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Mtangazaji Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Mwezeshaji Damiani Ndimbo pamoja Varerian Mushi Wajumbe wa kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es Salaam.

Mada Jumuhia ndogondogo kuelekea maadhimisho miaka ya 50 tangua kuanzisha kwake .

L'articolo Fahamu faida ya kuanzisha Jumuhia ndogondogo katika Kanisa na kuelekea Maadhimisho ya Miaka 50. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu la Mwanza, ambapo katika kipindi hiki anaendelea kufafanua juu ya Ofisi ya Yesu na Mgawanyo wakeMfahamu kwakina juu ya Nabii Isaya katika Bibilia .

L'articolo Mfahamu kwakina juu ya Nabii Isaya katika Bibilia Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Frateri Abeli Lubamba kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho-Jimbo kuu la Songea, katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, na leo anajibu swali linalo hoji nini maana ya dhambi.

L'articolo Fahamu kwanini watu wanakatazwa kuacha kutenda dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Frateri Julian alfonce Kibungu kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Rozari Takatifu Igagulo, Jimbo katoliki la Mafinga , katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, anadavua juu ya swali linalo hoji kwanini Mitume wa Yesu hakukuwa hata Mwanawake bali walikuwa waume tu.

L'articolo Je, Wafahamu kwanini wale Mitume kumi na 12 wa Yesu kati yao hakukuwa hata na Mwanawake? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika ungane na Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, leo anatuongoza katika mada ya Uraibu wa madawa akijikita zaidi katika madhara ya matumizi haramu ya madawa ya kulevya kwa vijana na jamii.

L'articolo Fahamu madhara ya matumizi haramu ya madawa ya kulevya kwa Vijana. proviene da Radio Maria.

View Details

ungana na Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo leo tunajifunza Roho Mtakatifu ni Msaidizi wa Baba Mtakatifu.

L'articolo Je, wafahamu Umuhimu wa kubatizwa katika Roho Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

ungana na Bi Rose Gerald Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dares saalam, katika kipindi cha Utume walei ambacho hukujuia Mubashara kila siku ya Ijumaa saa nane mchana na kurudiwa siku ya Alhamisi saa nne kamili usiku, mada ni Roho mtakatifu ni Upendo Tumtumikie Mungu kwa Upendo.

L'articolo Ni, kwa namna gani Tumtumikie Mungu kwa Upendo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Maurus Msigwa, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Mwanadamu hufa, je kifo ni adhabu?na je mbona mtu akitambua makosa yake akaona anastahili kufa, kwanini huwa hafi?

L'articolo Je, Kifo ni adhabu? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ijue Sheria mada inayo zungumziwa ni juu ya Suala dhima la dhamana, Mwezeshaji ni Mh Rehema Mayagilo Hakimu Mkazi wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa.

L'articolo Je, wafahama umuhimu wa Dhamana? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Nena nami Bwana ambapo anayenena nasi ni Mhashamu Ludovick Joseph Minde ALCP/OSS, Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi.

L'articolo Askofu Ludovick Joseph Minde. “Palipo na Sala kuna Roho Mtakatifu “ proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Novati Mtapanya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema je ni halali kurudia ubatizo ikiwa cheti cha ubatizo kipo mbali na mahali unapoishi na kwanini tunarudia ubatizo ikiwa cheti cha ubatizo kipo mbali na mahali tunapotakiwa kupata sakramenti nyingine.

L'articolo Je, ni halali kurudia Ubatizo ? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Usalama wa Barabarani, mada inayozungumziwa Haki na wajibu wa Abiria, Wawezeshaji ni kikosi cha Polisi cha Usalama wa Barabarani, Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge, Staff Sajenti Olele Chuwa koplo Abdaah Ismail.

L'articolo Ni, haki zipi Abiria anapaswa azingatie pindi yupo Barabarani? proviene da Radio Maria.

View Details

Kuelekea siku ya Uchangiaji Damu Duniani tarehe 14 mwezi wa sita kila mwaka, karibu ungane na Bi Mariam Juma, Afisa Mhamasishaji Jamii kutoka Mpango wa Taifa Damu Salama katika kipindi cha Elimu Jamii,anatuelezea kuhusu Umuhimu wa uchangiaji Damu.

L'articolo Ni, kwanini Dunia inadhimisha siku ya Uchangiaji Damu Tarehe 14 mwezi sita wa kila Mwaka. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi studio tupo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania, ambapo ni muendelezo wa mada Matunda ya Roho Mtakatifu.

L'articolo Fahamu thamani ya Matunda ya Roho Mtakatifu kwa Mkristo mbatizwa. proviene da Radio Maria.

View Details

Ni dakika 55 ya Katekisimu Katoliki Shirikishi studio tupo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania, ambapo leo tunaangazia Matunda ya Roho Mtakatifu.

L'articolo Ni, Kwa namna gani Matunda ya Roho Mtakatifu yanashiriki kuinjilishi kwa haraka? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya kumi na tano] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Julian Alfons Kidungu, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Rozari Takatifu Mdabulo Jimbo Katoliki Mafinga, swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Ibrahimu alipozaa na kijakazi baada ya kushauriwa na Sara Mkwee alipona hapati Mtoto.

Je, Ibrahimu alifanya makosa?

Kama alifanya makosa mbona katika Bibilia hatuoni kuwa alitubu?

Kama hakutubu mbona wengine husema kuwa Ibrahimu ni Baba wa Imani?

Kama ni Baba wa Imani, ina maana mitara yaani kuwa na wake wengi waliruhusiwa hapo awali?maana Ibrahimu alikuwa na wake wawili

Wengine husema kuwa yule Mtoto wa kijakazi ndio tawi la Waislamu, Je, kuna ukweli wowote?

L'articolo Je, Ibrahimu alifanya makosa na alitubu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Ayubu Polycarp Mwashibili, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Makongolosi, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini maana ya Skapulari?

L'articolo Je, Skapulari ni alama gani katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ni kwa mara nyingine ninakualika katika kipindi cha Pro – Life utetezi wa uhai, ambapo leo tutajikita kuangazia hitimisho la mada ya vidhibiti mimba.

L'articolo Fahamu madhara ya vidhibiti mimba. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika Kipindi cha Mtaguso Mkuu wa II wa Vatican, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki Moshi, mada anayotufundisha siku ya leo ni Waraka wa Kitume wa Baba Mtakatifu Yohane Paulo II heshima kwa wanawake.

L'articolo Je, waufahamu waraka wa kitume wa Baba Mtakatifu Yohane Paulo II, heshima kwa wanawake? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu la Mwanza, ambapo katika kipindi hiki anaendelea kufafanua juu ya Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre, akijikita zaidi katika historia ya Nabii Isaya.

L'articolo Ufahamu uhusiano wa Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre na historia ya Nabii Isaya. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Chakula na Lishe, leo tupo na Bi. Maria Ngilisho, Afisa lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo akituongoza katika kujifunza Umuhimu wa kusindika Vyakula.
  • Mtangazaji wako ni mimi Ester Magai Hangu jumuika nasi hadi tamati.

L'articolo Je, kuna umuhimu gani wa kusindika vyakula? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mtangazaji Agatha Kisimba katika kipindi cha Chakula na Lishe,leo tukiwa naye Mwezeshaji Bi. Maria Ngilisho, Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), mada tunayoiangazi ni Lishe na kuushughulisha Mwili.

L'articolo Je, wafahamu faida ya mazoezi katika Mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane na Mtangazaji Happiness Mlewa, katika kipindi cha Uraibu na Padri Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, leo tunaangazia Wajibu wa Wazazi na Walezi juu ya Uraibu wa Mitandao kwa Watoto.

L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na Walezi juu ya Uraibu wa Mitandao kwa Watoto. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii leo tupo na Msanifu Lugha, Kusanja Emmanuel Kusanja, kutoka Baraza la Kiswahili Taifa [BAKITA] mada ni Umuhimu wa Methali katika Jamii.

L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa Methali katika Jamii? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Martin Joseph, katika kipindi cha Fahamu wito wako kinachoandaliwa na Padre Innocent Bahati Mushi, kutoka Chuo kikuu cha Nelson Mandela Jimbo kuu la Arusha ambapo ni muendelezo wa mada ya Utandawazi.

L'articolo Fahamu zaidi kuhusu Uinjilishaji wa haraka na Utandawazi. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Erick Paschal, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi studio tupo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania, ambapo leo tunaangazia ni, kwa namna gani Moyo Mtakatifu wa Yesu unainjilisha kwa haraka?

L'articolo Ni, kwa namna gani Moyo Mtakatifu wa Yesu unainjilisha kwa haraka? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kikundi cha Karismatiki Katoliki kilianzishwa na nani? na kwanini Kikundi hicho kinaonekana kama hakikubaliki ndani ya Kanisa?

L'articolo Je, Karismatiki Katoliki haikubaliki ndani ya Kanisa ? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya kumi na nne] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ni muendelezo wa mada Faraja ya Imani.

L'articolo Fahamu utofauti kati ya Mwezi Mei na miezi mingine. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padre Titus Aamigu katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, mada ni juu ya Sakramenti ya Upadre.

L'articolo Ifahamu hatua za kuzifikia Sakramenti ya Upadre na majukumu yao. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Mtangazaji Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Mwezeshaji Padre Vitalis Kasembo Mkrurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo kuu la Dar es salaam ameambatana na Dokta Hellen Makwani Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani, wanaendelea na mada Clinic ya Uongozi.

L'articolo Fahamu namna ya Utume wa Walei Jimbo kuu la Dar es salaam Walivyo jipanga kuimalisha Imani kwa Waamini. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtanagazaji Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi , Mwezeshaji Padre Dominic Mavu, Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania, akiendelea kueelezea mada mama ya Injilisha kwa haraka.

L'articolo Fahamu namna ya watu walivyo shiriki kuinjilisha kwa haraka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Martin Joseph katika kipindi cha Nena Nami Bwana, Mwezeshaji ni Padre Denis Mrimila, kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Kihesa Kanisa Kuu, Jimbo Katoliki Iringa, leo ananena nasi juu ya Upendo wa Yesu kwa Binadamu.

L'articolo Fahamu upendo wa Yesu kwa Binadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania, TEC, Mada inayozungumziwa ni juu ya ulinzi wa mtoto, Mwezeshaji Padre Paulino Mlingo, Mratibu kitengo cha ulinzi wa mtoto kutoka Baraza la Maaskofu Tanzani, TEC.

L'articolo Fahamu msimamo wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuhusu ulinzi wa Watoto. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Ester Magai katika kipindi cha Mtaguso Mkuu wa Vatcan, muwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Parokia ya Mtakatifu Thomas Mtume Mrao Rombo, Jimbo Katoliki Moshi, leo anazungumzia nafasi ya Bikira Maria katika mahitaji ya Binadamu.

L'articolo Ifahamu nafasi ya Bikira Maria katika mahitaji ya Binadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Mtangazaji Joyce Jonatus katika kipindi cha Maswali Yahusio Imani, Mwezeshaji Frateri Noa Jeshua Mwamfupi kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho – Jimbo kuu la Songea, akijibu swali linalo hoji, Je, kulikuwa na ulazima gani kuwepo na madhehebu tofauti ya Kikristo kwa kuwa wote wana muamini Mungu mmoja.

L'articolo Je, Wafahamu kwanini kulianzishwa na Madhehebu tofauti ya Kikristo katika Kanisa? proviene da Radio Maria.

View Details

ungana na Happiness Mlewa, katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, Studio yupo na Paschal Maziku, Katekista Vicent Nathanael, Federika Bayaga, Benjamini Wasonga, Respicius Mwombeki na Consolata Mayemba, wakizungumzia changamoto zinazozikumba familia na jamii kiasi cha kokosa kuheshimu utu na kutunza uhai.

L'articolo Fahamu changamoto za kuheshimu utu na kutunza uhai. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema ufahamu usiano kati ya Martin Luther na Kanisa la KKKT?

L'articolo Ufahamu usiano kati ya Martin Luther na Kanisa la KKKT? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Frateri Michael Paulo Mangazini, katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

Swali linalotolewa majibu ni kwanini Mapadre hawaoi, kwani wao hawana tamaa kama binadamu wengine, na kama wanayo tamaa je si dhambi, wakati mwenyezi Mungu amesema nendeni duniani mkazaliane je hawajakengeuka agizo la mwenyezi Mungu, lakini mbona wachungaji wa Makanisa mengine ya kilokole wanaoa?

L'articolo Je, wafahamu kwanini Mapadre hawaoi? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe ambapo leo tunaangazia muda na mahali la Adhimisho ya Ekaristi Takatifu.

L'articolo Je, wafahamu Sheria namba 897-958 ya Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akizungumzia Zawadi ya Roho Mtakatifu katika maisha yetu.

L'articolo Roho Mtakatifu ni nani katika maisha yetu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Franco Abel Ubamba , kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema naomba kujua juu ya Ubikira wa milele wa Maria.

L'articolo Je, wafahamu Ubikira wa Milele wa Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Samson Peter Tibianus, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini tofauti ya Dhambi ya mauti na dhambi isiyo ya mauti kadiri ya mafundisho ya Kanisa Katoliki?

L'articolo Ni, tofauti ipi iliyopo kati ya dhambi ya Mauti na dhambi isiyo ya Mauti? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazji Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, kinacho andaliwa na Padre Innocent Bahati kutoka Chuo kikuu cha Nelson Mandela Jimbo kuu la Arusha, mada inayozungumziwa ni muendelezo mwa mada ya Utandawazi.

L'articolo Fahamu namna ya Utandawazi unavyo leta tija na faidi katika Jamii. proviene da Radio Maria.

View Details

Kariba uungane na Mtangazaji Agatha Kisimba katika kipindi cha Utume wa Walei, Wawezeshaji na Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu la Dar es salaam akiwemo, Walimu Damian Moses Ndimbo, Veran Mushi, Eleutery Kobelo na , mada iliyopo kwa leo ni Kristo mfufuka na Jumuhia ndogondogo za Kikikristo.

L'articolo Je, Unafahamu kwanini Kanisa ilianzisha Jumuhia ndogondogo za Kikikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Erick Paschal, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ni muendelezo wa mada Faraja ya Imani.

L'articolo Ni, kwa namna gani mwezi Mei ni Faraja ya Imani? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya Kumi na tatu] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema naomba kujua kuhusu Martin Luther na KKT.

L'articolo Ni, kwa namna ipi Martin Luther na KKT? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika muendelezo wa kipindi cha Historia ya Kanisa Maswali na majibu kutokana na mada mbalimbali zilizowasilishwa katika vipindi vya nyuma.

L'articolo Ni, kwanini Padre anavaa kanzu Jeusi ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Fredy William, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ni muendelezo wa mada Faraja ya Imani.

L'articolo Ni, kwa jinsi gani Bikira Maria ni Faraja ya Imani? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Usalama wa Barabarani, mada inayozungumziwa matumizi Sahihi ya Watembea kwa Miguu, Wawezeshaji ni kikosi cha Polisi cha Usalama wa Barabarani, Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge, Staff Sajenti Olele Chuwa koplo Abdaah Ismail.

L'articolo Zifahamu mbinu za matumizi Sahihi ya Watembea kwa Miguu wawepo Barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa lina hoji Pentekoste ni Sikukuu ya namna gan?

L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa Kanisa kuweka Sikukuu ya Pentekoste? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Pro Life -utetezi wa uhai, ambapo leo Wakufunzi wetu kutoka Pro Life Tanzania Bwana Anthony Lihepa, Bi. Janet Akkaro, Bwana Godfrey Mkaikuta, Bi.Witnes Joackim na Bi. Frida Manga, wanatuongoza katika hitimisho la mada madhara ya vidhibiti mimba.

L'articolo Je, wafahamu madhara ya vidhibiti mimba na maisha ya Vijana na Dunia ya leo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happines Mlewa, Katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Mwezeshaji ni Paschal Maziku akizungumzia juu ya kuheshimu na kutunza uhai katika Ndoa.

L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa kutunza uhai kwenye maisha ya Ndoa? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happines Mlewa, Katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Mwezeshaji ni Paschal Maziku ambapo ni Muendelezo wa mada umuhimu wa kutunza uhai katika maisha ya Ndoa.

L'articolo Je, wafahamu msingi katika Ndoa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba. Mada Faraja ya Imani

L'articolo Nini, maana ya Faraja? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Ayubu Polycarp Mwashibili, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Makongolosi Jimbo kuu la Mbeya Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Bikira Maria ni Mama mwenye unyenyekevu naomba kupewa maelezo kwa namna gani ?

L'articolo Ni, Kwa namna gani Bikira Maria ni Mama mwenye Unyenyekevu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Ayubu Polycarp Mwashibili, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Makongolosi Jimbo kuu la Mbeya Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema siku hizi kumekuwa na watu wengi wanaojiita watafsiri wa ndoto, sasa tutafsiri vipi ndoto za Kikristo?

L'articolo Tutafsiri vipi ndoto za Kikristo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane na Raymond Karega katika kipindi cha Sheria za Kanisa, kwa namna ya kipekee Padre Ladsilaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anazungumzia sheria za Ekaristi Takatifu.

L'articolo Zifahamu Sheria za Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, muwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki Moshi, mada anayozungumzia ni tabia ya uongo.

L'articolo Fahamu Uraibu wa tabia ya uongo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Muwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi, kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, mada anayozungumzia ni mambo ya utandawazi.

L'articolo Fahamu uhusiano wa utandawazi na wito wako. proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Pasaka [Sehemu ya kumi na mbili] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Happiness Mlewa katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Ayuto Kogwa kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho – Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linahoji kabla ya Adam na Eva je, kulikuwa na watu wengine waliokuwa wakiishi Duniani?

L'articolo Fahamu juu ya muendelezo wa Uzao wa Adam na Hawa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, na Frateri Jackob Venusto Mkandawile anajibu swali lililoulizwa je, Mei mosi ni sikukuu ya Kikanisa au ya Kiserikali, na kwanini Mtakatifu Yosefu aliwekwa msimamizi wa Wafanyakazi?

L'articolo Je, Mei mosi ni sikukuu ya Kikanisa au ya Kiserikali? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Ayubu Polykap Mwashibili, kutoka Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Jimbo kuu la Mbeya Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Rozari Takatifu ni nini? na naomba nijue na Historia yake

L'articolo Fahamu Historia ya Rozari Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, na Frateri Jackob Venusto Mkandawile anajibu swali lililoulizwa je, Mei mosi ni sikukuu ya Kikanisa au ya Kiserikali, na kwanini Mtakatifu Yosefu aliwekwa msimamizi wa Wafanyakazi?

L'articolo Je, Mei mosi ni sikukuu ya Kikanisa au ya Kiserikali? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu Ungane na Mtangazaji Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja – Kagera, mada tunayoendelea kuiangazia ni mbinu za Watakatifu walizo tumia kuinjilisha kwa haraka.

L'articolo Fahamu mbinu za Watakatifu walizo tumia kuinjilisha kwa haraka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Erick Paschal, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba.

Mada ni Injilisha kwa haraka

L'articolo Ni, kwa namna gani Maandiko Matakatifu yanatualika kuinjilisha kwa haraka? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu uungane na Mtangazaji Elizabeth Masanja katika Kipindi cha Ijue Sheria, Mwezeshaji ni Mheshimiwa Hassan Mlanga, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa Mjini, Mada tunayojifunza siku ya leo ni maana ya Mirathi, faida yake na mchakato wa ufuatiliaji.

L'articolo Fahamu maana ya Mirathi na faida zake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Happiness Mlewa katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Ayuto Kogwa kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho – Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linahoji kabla ya Adam na Eva je, kulikuwa na watu wengine waliokuwa wakiishi Duniani?

L'articolo Fahamu juu ya muendelezo wa Uzao wa Adam na Hawa. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea. Leo Frateri Elikana Nyagabona anajibu swali lililoulizwa, naomba kujua ninapoingia Kanisani ni mambo gani natakiwa kufanya hadi inapoisha Misa Takatifu?

L'articolo Fahamu mambo unayotakiwa kufanya unapoingia Kanisani hadi inapoisha Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Peter Mjwauzi, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kwanini sisi Wakatoliki tunapokea mwili wa Kristo katika umbo la Mkate tuu na wakati wa Sala ya Ekaristi Padre anasema twaeni mnywe wote?

L'articolo Ni, Kwanini Wakatoliki tunapokea Mwili wa Kristo katika Umbo la Mkate tuu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Frateri Elikana Nyagabona, anajibu swali lililoulizwa naomba kujua ninapoingia Kanisani ni mambo gani natakiwa kufanya hadi inapoisha Misa Takatifu?

L'articolo Je, wafahamu mambo gani ya kufanya unapoingia Kanisani ? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Faxon Polycarp Mpili, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali linalojibiwa linasema neno Bruda lina maana gani? ni mashirika gani wanatumia neno bruda, na kazi zao ni zipi katika kanisa.

L'articolo Je, Wafahamu Mashirika yanayotumia neno Bruda? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Baltazar Bao, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Tunaomba kuelezwa kuhusu vipindi vya kilitrujia katika Kanisa Katoliki maana tumekuwa tukisikia wanasema sasa ni kipindi cha Krismas, mara Majilio mara Pasaka, kiukweli hatuelewi maana yake pia mpangilio wake na jinsi vipindi hivyo vinavyotokea?

L'articolo Je, Wafahamu vipindi vya Litrujia katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Uinjilishaji ni wajibu wa kila Mkristo Mbazitwa, Radio Maria Tanzania inarahisisha kazi hiyo ya Uinjilishaji kupitia vipindi vyake Mbalimbali Katika miaka 28 ya Radio Maria Tanzania, karibu uwasikilize Wanautume wa Radio Maria Tanzania wakielezea Utume huu Miaka 28 iliyopita kupitia Makala hii iliyotayarishwa na Agatha Kisimba.

L'articolo Je, Wafahamu Siri ya Miaka 28 ya Radio Maria Tanzania kwa Wanautume wake? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Makala maalumu ya Miaka 28 ya Uinjilishaji wa Radio Maria Tanzania

Katika makala hii , Rais wa Radio Maria Tanzania Ndugu Humphrey Julius Kira, amezungumzia Miaka 28 ya Radio Maria Tanzania tangu kuanzishwa kwake Aprili 26,1996 na pia ameelezea kwa undani namna Taasisi hii ilivyokuwa na kuenea kwa wigo wa Matangazo hapa nchini

Mtayarishaji wa makala hii ni Goleth Lwamuzigu

Karibu

L'articolo Miaka 28 ya Utume wa Radio Maria nchini Tanzania proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anazungumzia juu ya dalili za wito wa maisha ya wakfu.

L'articolo Fahamu dalili za wito wa maisha ya wakfu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, Mada ni muendelezo wa dalili au cheche za wito.

L'articolo Fahamu dalili au cheche za wito. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, Frateri Noah Mwamfupe anajibu swali lililoulizwa, Kwanini Makadinari wa Afrika hawachaguliwi kuwa Mapapa?

L'articolo Je, ni kweli Makadinari wa Afrika hawachaguliwi kuwa Mapapa? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Tutus Amigu Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu la Mwanza, ambapo katika Kipindi hiki anaendelea kufafanua juu ya Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre, katika mada Kuu ya “kukoseana na kusameheana”.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Sikiliza ufafanuzi wa Padre Amigu kuhusu Daraja ya Upadre. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Elizabeth Masanja katika Kipindi cha Utume wa Walei, Mada inayozungumziwa ni juu muendelezo kwanini tunasherekea Pasaka, Mwezeshaji Ndugu Luuteliko Ubelo kutoka kamati ya Uinjilishaji kutoka Utume wa Walei Jimbo kuu la Dar es salaam.

L'articolo Je, Wafahamu kwanini Wakristo husherekea Sikukuu ya Pasaka? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Joyce Jonatus katika Kipindi cha Mtaguso Mkuu wa Vatcan, ambapo Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, anazungumzia juu ya Barua za kitume za Baba Mtakatifu Yohane Paulo II.

L'articolo Fahamu barua za kitume za Baba Mtakatifu Yohane Paulo II. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Ezekieli Ngimba, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kwanini Masomo Kanisani katika maandiko matakatifu yanasomwa vipande vipande, Je yale yasiyosomwa hayafai?

L'articolo Je, Wafahamu Utaratibu Wakusoma Masomo Kanisani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha ikiwa ni muendelezo wa kipindi cha Mapaji ya Roho Mtakatifu yanavyofanya kazi katika utashi wetu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Mapaji ya Roho Mtakatifu yanafanya kazi katika Utashi wetu? (Sehemu ya pili) proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, ambacho hukujia kila siku ya Jumanne Saa 8:00-8:55 mchana na kurudiwa Saa 4:00 usiku.

Katika Kipindi hiki, Wakufunzi kutoka Pro Life Tanzania, wameendelea kudadavua mada ihusuyo “Maisha ya vijana na dunia ya leo, mada ndogo ya mafundisho ya Kanisa juu ya vidhibiti mimba”.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

Karibu.

L'articolo Yafahamu mafundisho ya Kanisa juu ya vidhibiti mimba. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Michael Mangazini, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Padre anapoadhimisha sadaka la Misa Takatifu katika Sala ya Ekaristi husali akisema uipokee Sadaka hii safi na Takatifu isiyo na doa aliyokutolea Melkisedeki kuhani wako mkuu ‘ Naomba kujua ni sadaka gani aliyotoa huyo Melkisedeki kuhani Mkuu.

L'articolo Je, Wafahamu Sadaka ya Melkisedeki? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika muendelezo wa kipindi cha Historia ya Kanisa Maswali na majibu kutokana na mada mbalimbali zilizowasilishwa katika vipindi vya nyuma.

L'articolo Je, nini maana ya neno Parokia katika Kanisa katoliki? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Caspary Nyiihwil, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Ni halali kufanya ibada ya wafu na Je marehemu akifanyiwa maombi anaweza kusamehewa dhambi zake pasipo yeye kutubu kabla ya kifo chake?

L'articolo Je, Marehemu akifanyiwa maombi anaweza kusamehewa dhambi zake pasipo yeye kutubu kabla ya kifo chake? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Michael Paul Magazini, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema baada ya kusali Baba yetu padre hutamka maneno haya usizitazame Dhambi zetu ila tu Imani ya Kanisa lako, Je Mungu anangalia Dhambi zetu?

L'articolo Je, wafahamu maana ya Usizitazame Dhambi zetu ila tu Imani ya Kanisa lako? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Uraibu na Padri Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akizungumzia vyanzo vya Uraibu.

L'articolo Je, wafahamu visababishi vya Uraibu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Zakaria Simkonda, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema katika Litania ya Bikira Maria nini maana ya Sifa anazopewa Mama Bikira Maria Mfano nyumba ya dhahabu, Sanduku la agano, waridi lenye fumbo na Mnara wa Daudi.

L'articolo Nini Maana ya Sifa anazopewa Bikira Maria kupitia Litania ya Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa, katika Kipindi Katekisimu Katoliki Shirikishi, mada inayozungumziwa ni Faida za Kuitikia Wito Mtakatifu , Mwezeshaji Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja kut0ka Mkoa wa Kagera.

L'articolo Fahamu Faida za Kuitikia Wito Mtakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu, kutoka Jimbo kuu la Mwanza Katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, Mada inayozungumzwa ni Sakramenti ya Upadri.

L'articolo Fahamu Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre . proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal katika Kipindi cha Elimu Jamii, Mada inayozungumziwa ni Muendelezo mwa mada ya Usalama Mtandaoni, Wawezeshaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA, Robin Lukae Afisa wa Mawasiliano kutoka TCRA, Alfa Wawa Afisa Uhusiano kutoka TCRA pamoja na Bi. Consolata William Afisa Mawasiliano kutoka TCRA.

L'articolo Fahamu namna ya kuzibiti Usalama wa Mitandao. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Eliza Masanja katika Kipindi cha Pro-Life, mada inayozungumzwa ni Maisha ya Vijana katika Dunia ya leo, Wawezeshaji Wakufuinzi kutoka Pro-Life.

L'articolo Fahamu Maisha ya Vijana katika Dunia ya leo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Fredy William katika Kipindi Katekisimu Katoliki Shirikishi, mada inayozungumziwa ni juu ya vikwazo katika Wito, Mwezeshaji Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja kutoka Mkoa wa Kagera.

L'articolo Je, Wafahamu Vikwanzo Katika kuitikia Wito? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Usalama wa Barabarani, mada inayozungumziwa ni ajari za Barabarani , koplo Silvesta Mahumba kutoka Trafiki Makao Makau kitengo cha Dawati la Elimu.

L'articolo Je, Wafahamu namna ya kuepuka ajari za Barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika Kipindi Katekisimu Katoliki Shirikishi, mada inayozungumziwa ni juu ya mang’amuzi ya Wito, Mwezeshaji Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radaio Mabiu Sauti ya Faraja ktuoka Mkoa wa Kagera.

L'articolo Fahamu namna ya kupata Wito na Mang’amuzi yake. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazji Agatha Kasimba katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Tasisi ya Chakula na Lishe Tanzanzania TFS, Bi Adelini Mnuo, mada inayozungumziwa, Ulaji unao shauliwa nyakati za Sherehe .

L'articolo Je, unafahamu vitu gani unatakiwa ule nyakati za Sherehe mbalimbali katika Jamii proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padre Dkt.Clement Kihiyo, Mkuu wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Tanzania[TEC] akizungumzia Ibada ya Kuweka Nadhiri za Kitawa

L'articolo Fahamu Maana na Thamani ya Kufanya Nadhiri. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Samson Mahinya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Je Sala ya Baba yetu tunayoisali kila siku ipo kwenywe Bibilia Takatifu?

L'articolo Nini Maana ya Sala ya Bwana? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Dominika ya Pasaka[Sehemu ya kumi na Moja] proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo tuko naye Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap akizungumzia nini maana ya Wito?

L'articolo Nini Maana ya Wito? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Dominika ya pili Pasaka[ Sehemu ya Kumi] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Jackob Venusto Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Misikilizaji linalojibiwa linasema Je kwa Wayahudi kulikua na tofauti kati ya Sikukuu ya Pasaka na Sikukuu ya vibanda.

L'articolo Fahamu Utofauti kati ya Sikukuu ya Pasaka na Sikukuu ya Vibanda. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Hugo Venance, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Tunaomba ufafanuzi juu ya Fadhila kuu tatu za kimungu , yaani Imani, Matumaini na Mapendo

L'articolo Je, Wafahamu Fadhila za Kimungu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Nena nami Bwana ambapo anayenena nasi ni Mhashamu Ludovick Minde, Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi

L'articolo Askofu Minde” Mwanga wa Kwanza wa mbali wa Wokovu wa Siku” proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Faxon Polycarp Mpili, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Juu ya Msalaba wa Yesu yameandikwa Maneno haya INRI maneno hayo yanamaana gani?

L'articolo Nini Maana ya INRI? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Jackob Venusto Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Misikilizaji linalojibiwa linasema Je ni dhambi kwa Mkristo kutumia dawa za mitishamba.

L'articolo Je, ni dhambi kwa Mkristo kutumia dawa za mitishamba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Mtaguso Mkuu wa Vatcan na Padre Richard Matanda Tesha kutoka Parokia ya Mtakatifu Thomas Mtume Mrao Rombo Jimbo Katoliki Moshi, anazungumzia waraka wa Baba Mtakatifu Yohane xxiii, Kanisa ni Mama na mwalimu.

L'articolo Fahamu waraka wa Baba Mtakatifu Yohane xxiii, Kanisa ni Mama na mwalimu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Mtaguso Mkuu wa Vatcan, Muwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Parokia ya Mtakatifu Thomas Mtume Mrao Rombo Jimbo katoliki Moshi, anazungumzia juu ya Waraka wa Baba Mtakatifu Yohane Paulo ii kwa vijana.

L'articolo Fahamu waraka wa Baba Mtakatifu Yohane Paulo ii kwa vijana. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akizungumzia Salamu ya Matumaini

L'articolo Je, wafahamu Salamu ya Matumaini? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, ambapo ni muendelezo wa mada Mateso katika Furaha ya Pasaka

L'articolo Fahamu Mateso katika Furaha ya Pasaka[Sehemu ya Pili] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Caspary Moses Nyihwili, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, mbona Makatekista Wakike wanaongoza ibada mbalimbali Kanisani, wakati Bibilia imekataza Wanawake kuongoza ibada yeyeto ile katika 1Wakorintho 14; 34-35?

L'articolo Ni, kwanini Bibilia imekataza Wanawake kuongoza ibada mbalimbali Kanisani? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama Barabarani, Studio akiwa na Corporal Silvester Mahumba kutoka Traffic Makao Makuu Dawati la Elimu, akizungumzia mada ya Ajali za Barabarani.

L'articolo Fahamu sababu za ajali za barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Ester Magai katika kipindi cha Ijue Afya Yako, Muwezeshaji wetu ni Nelson Nyenza, Mtekilojia wa Dawa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisko Ifakara, leo anazungumzia juu ya namna ya kubaini ubora na usalama wa Dawa.

L'articolo Fahamu namna ya kubaini ubora na usalama wa Dawa. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika muendelezo wa kipindi Historia ya Kanisa Maswali na majibu kutokana na mada mbalimbali zilizowasilishwa katika vipindi vya nyuma.

L'articolo Je, Mtu anaweza kushukiwa na Roho Mtakatifu na akanena kwa lugha? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Frateri Cassian Lebba wa Jimbo Katoliki Sumbawanga anayefanya utume wake wa mwaka wa kichungaji katika Seminari Ndogo ya Mtakatifu Yosefu Kaengesa yuko pamoja nasi kutupitisha kwa kina na kwa ufafanuzi uliojitosheleza kutokana na swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunatumia matawi ya mitende siku ya Dominika ya matawi?

L'articolo Kwanini tunatumia matawi ya mitende siku ya Dominika ya matawi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ambapo ni muendelezo wa kipindi cha Maswali na majibu kutokana na mada mbalimbali zilizowasilishwa katika vipindi vya nyuma.

L'articolo Kwanini Padre/Askofu anatumia Chetezo & Ubani awapo Altareni? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Nena nami Bwana ambapo anayenena nasi ni Mhashamu Stephano Lameck Musomba, OSA Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

L'articolo Askofu Musomba: “Kutangaza Ufufuko wa Kristo sio kitu Binafsi sio kitu cha kuweka uvunguni” proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Padre Dkt.Clement Kihiyo, Mkuu wa Idara ya Litrujia Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) akituongoza kuangazia Litrujia katika kipindi cha Pasaka & Siku 50 za Maadhimisho ya Pasaka.

L'articolo Ifahamu Liturujia katika kipindi cha Pasaka & Siku 50 za Maadhimisho ya Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba ambapo ni muendelezo wa kipindi cha Maswali na majibu kutokana na mada mbalimbali zilizowasilishwa katika vipindi vya nyuma.

L'articolo Je, ni halali Mkristo kunywa mvinyo kwa kiasi kidogo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Cassian Lebba, Kutoka Seminari ndogo ya Kaengesa Jimbo Katoliki Sumbawanga swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Je kuna Mahusiano gani kati ya Sadaka ya Yesu Kristo na Sadaka ya Wayahudi?

L'articolo Je, Wafahamu Utofauti wa Sadaka ya Yesu Kristo na Sadaka ya Wayahudi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Fredy William, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akizungumzia juu ya Mateso katika Furaha ya Pasaka

L'articolo Je, Wafahamu Mateso katika Furaha ya Pasaka? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini maana ya Katekisimu Katoliki na aina za Katekisimu?

L'articolo Nini Maana ya Katekisimu Katoliki na aina za Katekisimu? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami John Samky katika kipindi cha Sheria za Kanisa na Padre Ladsilaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe ambapo ni muendelezo wa mada ya Sakramenti ya Kipaimara.

L'articolo Zifahamu Sheria za Sakramenti ya Kipaimara[Sehemu ya Pili] proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Bendict Lazaro Luvanga, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Tarehe 25 kila mwaka tunasherekea kuzaliwa kwa Yesu kristo kwanini Sikukuu ya Pasaka haina tarehe maalumu?

L'articolo Ni, kwanini Sikukuu ya Pasaka haina Tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Ayuto Kongo, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Je mtu akiungama na asipofanya malipizi utaratibu ukoje?

L'articolo Nini Maana ya Malipizi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, mada inayozungumziwa ni juu ya mashangilio ya Pasaka.

L'articolo Fahamu juu ya mashangilio ya Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, mada inayozungumziwa ni juu ya Tafakari Mwanga.

L'articolo Je, Wafahamu juu ya Tafakari ya Mwanga? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Happiness Mlewa Katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, mada inayozungumziwa ni juu ya Mateso Saba Yesu Msalabani.

L'articolo Fahamu Mateso Saba ya Yesu Msalabani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Ijue Afya yako mwezeshaji ni Daktari Angello Nyamtema, kutoka H0spitali ya Rufaa Mtakatifu Francisco Ifakara, akizungumzia Ugumba.

L'articolo Je, Ugumba ni Ugonjwa? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu katoliki shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugezi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, na Paroko wa Parokia Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ambapo ni muendelezo wa mada Alama na Ishara za Ufufuko

L'articolo Je, Wafahamu Alama na Ishara za Ufufuko? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema je sala za Masifu zinafundishwa kwa watawa tu?

L'articolo Je, Sala za Masifu hufundishwa kwa Watawa tu? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika Tafakari ya Ijumaa Kuu, inayoletwa kwako na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania.

L'articolo Tafakari ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu katoliki Shirikishi mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva Mkurugezi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki la Iringa ambae pia Paroko wa Parokia ya Isimani jimboni humo, mada inayozungumziwa ni muendelezo mwa Tafakari juu ya siku tatu kuu za Pasaka.

L'articolo Zifahamu siku Tatu kuu za Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Erick Paschal katika kipindi cha Katekisimu katoliki shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugezi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, na Paroko wa Parokia Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba akizungumzia Alama na Ishara za Ufufuko.

L'articolo Fahamu juu ya Alama na Ishara za Ufufuko. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Uungane na Mtangazaji Agatha Kasimba katika kipindi cha Utume wa Walei, mada inayozungumziwa ni juu ya Hitaji la kuongozwa kutoka Ujumbe wa Kwaresma uliotolewa na Balaza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC, Mwezeshaji Bi Rose Gerald Katibu kamati uinjilishaji kutoka Jimbo kuu la Dar es salaam.

L'articolo Je, Wafahamu namna ya Hitaji la Kuongozwa kupitia Ujumbe wa kwaresma kutoka TEC?. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Jackob Venusto Mkandawile, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini maana ya siku tatu kuu za Pasaka.

L'articolo Fahamu maana ya Siku tatu kuu za Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Fredy William, katika kipindi cha Usalama Barabarani Studio tupo na Mkaguzi wa Polisi Dumu Mwalugenge na Staff Sergeant Aurelian Chuwa kutoka Makao Makuu ya Traffic, kitengo cha elimu, wakizungumzia juu ya Udereva wa kujihami na katazo la namba za 3D.

L'articolo Fahamu Udereva wa kujihami. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Shemasi Paul Mbwelo, kutoka Kanisa kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Amri ya Mungu inasema usichonge wala usiabudu sanamu, lakini padre ijumaa kuu husema huu ni mti wa msalaba Waamini huitikia njooni tuuabudu Inaonesha kuvunja amri ya Mungu.

L'articolo Je, wafahamu maana ya Mti wa Msalaba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, na anajibu swali linalosema kwanini Yesu alimwambia Mariam Magdalena usinishike, wakati Thomaso alimwambia leta mkono wako uutie ubavuni mwangu?

L'articolo Kwanini Yesu alimwambia Mariam Magdalena usinishike, wakati huo Thomaso alimwambia leta mkono wako uutie ubavuni mwangu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, leo Frateri Benedict Lazaro Luvanga anajibu swali lililoulizwa, nini maana ya Mshumaa wa Pasaka?

L'articolo Fahamu maana ya Mshumaa wa Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Agatha Kisimba katika kipindi cha Pro – Life na mada inayozungumziwa ni muendelezo wa mada ya Kwaresima na utetezi wa uhai wa Binadamu, wawezeshaji ni Janeth Akalo, Grace Shayo, Frida Mwanga na Witness Joachim wanautetezi wa uhai kutoka Pro – Life Tanzania.

L'articolo Ifahamu Kwaresima na utetezi wa Uhai wa Binadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akifundisha juu ya Mapaji ya Roho Mtakatifu yanavyofanya kazi katika utashi wetu.

L'articolo Ni, kwa namna gani Mapaji ya Roho Mtakatifu yanafanya kazi katika Utashi wetu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo niko naye Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya siku tatu kuu za Pasaka.

L'articolo Fahamu siku tatu kuu za Pasaka. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Caspary Moses Nyihwil, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema nini maana ya Kubusu Msalaba.

L'articolo Je, wafahamu maana ya kubusu Msalaba? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Dominika ya Matawi-Sehemu ya Tisa proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Balthazar Boa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea swali la Msikiizaji linalojibiwa linasema Yesu alipokuwa msalabani alimwambia Mnyang`aji Dismas, leo utakuwa pamoja nami peponi Je, hii siyo rushwa ?
  • Na ni kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi ?

L'articolo Ni kwanini Yesu alimwambia Mnyang`aji Dismas leo utakuwa pamoja nami Paradiso? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani na Frateri Michael Mangazini, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kwanini kwenye Ibada ya Ijumaa Kuu, Padri anayeongoza Ibada anajilaza kifudifudi mbele ya Altare.

L'articolo Ni kwanini katika mwanzo wa Ibada ya Ijumaa Kuu Padri hujilaza kifudifudi mbele ya Altare? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami John Albert Samky, Katika kipindi cha Uraibu na Padri Richard Matanda Tesha, Kutoka Jimbo Katoliki Moshi leo tunajifunza Lugha chafu na shinikizo la Marafiki katika kufanya Uraibu.

L'articolo Kwanini Lugha chafu ni shinikizo la Marafiki katika Uraibu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo majibu yanatolewa na Frateri Oscar Mwamoto kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali linalosema kwanini Kanisa linaitwa Mama, wakati huo Mungu ni Baba. Je kuna uhusiano wowote hapo?

L'articolo Unafahamu Kwanini Kanisa linaitwa Mama na wakati huo Mungu ni Baba? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Peter Peter, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kwanini wakati wa Kwaresima tunasisitizwa zaidi kufanya kitubio kuliko nyakati zingine.

L'articolo Je, Kitubio kina Umuhimu sana wakati huu wa Kwaresima kuliko wakati mwingine? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, ambapo Frateri Felix Ulindula Kilasile, anajibu swali lililoulizwa kipindi cha Kwaresima Mtu akiwa amefunga anaruhusiwa kupokea Ekaristi Takatifu?

L'articolo Je, wafahamu kipindi cha Kwaresima Mtu akiwa amefunga anaruhusiwa kupokea Ekaristi Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mtangazaji wako Tekla Revoctaus, katika kipindi cha Elimu Jamii Leo tupo na Msanifu Lugha Kusanja Emmanuel Kusanja, kutoka Baraza la Kiswahili Taifa [BAKITA] akizungumzia Makosa yanayofanya mara kwa mara na wazungumzaji wa Kiswahili.

L'articolo Je, wafahamu Makosa yanayofanya na Wazungumzaji wa Kiswahili? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Oscar Mwamoto, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Msalaba ulitumika na Yesu zama hizo na yeye hayupo tena msalabani .sasa kwanini wakristo hasa wakatoliki tunatumia Msalaba Kanisani ni kwaajili ya nini?

L'articolo Ni kwanini wakristo hasa wakatoliki tunatumia Msalaba Kanisani kwaajili ya nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Tekla Revoctaus, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akizungumzia juu ya kukuwa na kukomaa kwa Mapaji ya Roho Mtakatifu nafsini mwetu.

L'articolo Ni kwa namna gani mapaji ya Roho Mtakatifu yanakuwa na kukomaa nafsini mwetu? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama Kwaresima-Sehemu ya Nane. proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama -Kwaresima Sehemu ya Saba proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha ijue Afya yako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo leo tupo na Nesi Calista Kayombo, Mkuu wa Idara ya Figo Hospitali ya Rufaa Mtakatifu Francisco Ifakara, akizungumzia Afya ya Figo kwa wote.

L'articolo Je, Wafahamu namna ya kuzuia Matatizo ya Figo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema kwanini katika kipindi cha Kwaresima misalaba inafunikiwa .

L'articolo Ni, Kwanini Misalaba inafunikwa kipindi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Ungane nami Mtangazaji wako Tekla Revocatus katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania Mwezeshaji wetu Padri Dkt.Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Tanzania [TEC] ikiwa ni muendelezo wa mada Utaratibu wa Masomo ya Misa katika kipindi cha kawaida katika Mwaka.

L'articolo Fahamu Utaratibu wa Masomo ya Misa katika kipindi cha kawaida cha Mwaka -Sehemu ya Nne proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Mtangazaji John Samky katika Kipindi cha Sheria za Kanisa ambapo kwa namna ya pekee Padre Ladsilaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe akiwa anaangazia mada ya Sakramenti ya Kipaimara.

L'articolo Zifahamu Sheria za Sakramenti ya Kipaimara. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, majibu yanatolewa na Frater Maurus Zacharia Msigwa , akijibu swali linalouliza kuna utofauti gani Hekalu na Sinagogi.

L'articolo Je, wafahamu utofauti kati ya Hekalu na Sinagogi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito ambapo Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap anatuongoza kuangazia Huruma ya Mungu kipindi cha Kwaresima.

L'articolo Itambue Huruma ya Mungu Kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, ambapo swali linalojibiwa linalosema kuwa Kwanini tunaambiwa funga Jumatano ya majivu na usile nyama siku ya Ijumaa kuu? na majibu yanatolewa na Frateri Michael Paulo Mangazini.

L'articolo Kwanini tunaambiwa funga Jumatano ya majivu na usile nyama siku ya Ijumaa kuu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki la Songea ambapo swali linalojibiwa linasema Je, Mtu anaokoka akiwa duniani au baada ya kifo? majibu ya swali hili yanatolewa na Fratel Felix Olindula.

L'articolo Je, Mtu anaokoka akiwa duniani au baada ya kifo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu tusali sala ya Rozari Takatifu ya Fatima Matendo ya Mwanga tukiongozwa na baadhi ya Wanautume wa Radio Maria Makao Makuu Mikocheni Dar es salaam.

L'articolo Rozari Takatifu Matendo ya Mwanga – Makao Makuu Mikocheni Dar es salaam proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu tusali sala ya Rozari Takatifu ya Fatima Matendo ya Uchungu tukiongozwa na baadhi ya Wanautume wa Radio Maria Tanzania Makao Makuu Mikocheni Jimbo Kuu la Dar es salaam.

L'articolo Rozari Takatifu Matendo ya Uchungu – Makao Makuu ya Radio Maria Tanzania proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ijue Afya yako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo leo tunaangazia madhara ya matumizi holela ya dawa.

L'articolo Yafahamu madhara ya matumizi holela ya dawa. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu tusali kwa pamoja sala ya Rozari Takatifu ya Huruma ya Mungu kutoka Parokia ya Kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma sala hii inaongozwa na Padre Wojciech Adam, Mhifadhi wa Huruma ya Mungu katika kituo cha Kiabakari Jimboni humo.

L'articolo Rozari Takatifu ya Huruma ya Mungu – Kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe ambapo leo tunaangazia Wasimamizi wa Sakramenti ya Ubatizo na Kipaimara.

L'articolo Je, Sheria ya Kanisa inaeleza nini juu ya Wasimamizi wa Ubatizo & Kipaimara? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Erick Paschal Jnr katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo niko naye Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania akiendelea kutupitisha kwa kina katika mada ya Huruma ya Mungu wakati wa kipindi cha Kwaresima na kwa namna ya kipekee mada ndogo ya Mama Bikira Maria Mwalimu wa Huruma ya Mungu.

L'articolo Ni kwa namna gani Mama Bikira Maria ni Mwalimu wa Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane nami Tekla Revoctaus, katika kipindi cha Usalama Barabarani Studio tupo na Mratibu msaidizi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Nyamagana Mwanza, Inspekta Peter Mzingwa akizungumzia juu ya Usalama wa Abiria nyakati za Usiku .

L'articolo Fahamu Usalama wa Abiria nyakati za Usiku . proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mtangazaji Raymond Karega katika kipindi cha Sheria za Kanisa ambapo kwa namna ya kipekee tunaungana na Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe mada tunayoiangazia ni juu ya Sakramenti ya Kipaimara

L'articolo Fahamu Maana ya Sakramenti ya Kipaimara? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro Life-Utetezi wa uhai ambacho hukujia mubashara kila siku ya Jumanne Saa 8:00 mchana na kurudiwa siku hiyo hiyo Saa 4:00 usiku.

Katika Kipindi hiki wana utetezi wa uhai kutoka Pro Life Tanzania, wamezungumzia mada kuhusu “Kwaresima na utetezi wa uhai wa Binadamu”.

Mtangazaji ni Elizabeth Masanja.

Karibu.

L'articolo Ifahamu Kwaresima na utetezi wa uhai wa Binadamu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Baltazar Boa, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea na swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Nimekuwa nikisikia juu ya uwepo wa Malaika Wema na Wabaya, Jambo hilo linakuwaje?

L'articolo Je, kuna Malaika wema na wabaya? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Cassian Lebba, kutoka Seminari ndogo ya Kaengesa Jimbo kuu la Sumbawanga swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Kwanini Mungu aliwaumba binadamu dhaifu ilihali Malaika ni Wakamilifu?

L'articolo Je, kwanini Mungu aliwaumba Binadamu dhaifu ilihali Malaika ni Wakamilifu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Makala maalumu ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake duniani katika Kipindi cha Jinsia na Maendeleo, ambacho hukujia mubashara kila siku ya Ijumaa Saa 10:30 jioni na kurudiwa siku ya Jumamosi Saa 2:30 asubuhi.

Katika makala haya maalumu, Rais wa Radio Maria Tanzania ndugu Humphrey Julius Kira, ameeleza kwa undani namna Taasisi hii ilivyotekeleza kwa vitendo Sera ya usawa wa Kijinsia, hali kadhalika pongezi za Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) Dakta Rose Reuben kwa ilichofanya Radio Maria Tanzania.

Mtayarishaji ni Agatha Kisimba, kwa niaba yake Agnes Shayo hiza msimamizi Mkuu wa Kipindi cha Jinsia na Maendeleo na aliyeshirikiana nami kukuandalia Makala haya.

Karibu.

L'articolo Radio Maria Tanzania ilivyofanikisha Usawa wa Kijinsia mahala pa kazi. proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama -Kwaresima Sehemu ya Sita. proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Amka na Mama -Kwaresima Sehemu ya Tano. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Mpendwa Msikilizaji karibu uwe pamoja nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambako tunajumuika na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali juu ya Historia ya Kanisa na maswali yalihusuyo Kanisa kwa ujumla wake.

L'articolo Kwanini tunakomunyika siku ya Ijumaa kuu wakati hatuna Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Askofu Mstaafu Method Kilaini wa Jimbo Katoliki Bukoba yuko nasi katika kipindi cha Historia ya Kanisa akitoa ufafanuzi wa Maswali mbalimbali ya Historia na Liturujia ya Kanisa.
  • Picha ni Mhashamu Paulo Ruzoka, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Tabora.

L'articolo Kwanini Askofu husema Amani iwe nanyi na Padre husema Bwana awe nanyi? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo tuko naye Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap ni muendelezo juu ya mada kufurahia wito wako.

L'articolo Fahamu namna ya Kufurahia Wito Wako. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Emillian Samson Mahinya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, kwanini Yesu Kristo aliwaambia Mwanawake wa Isarel msinililie mimi ila lieni kwa ajili yenu wenywe na kwa ajili ya watoto wenu.

L'articolo Kwanini Yesu Kristo aliwaambia Mwanawake wa Isarel msinililie mimi ila lieni kwa ajili yenu wenywe na kwa ajili ya watoto wenu. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ambayo wewe Msikilizaji ulimuuliza katika vipindi mbalimbali vilivyopita.
  • Studio uko nami Mtangazaji wako Patrick Pascal Tibanga.

L'articolo Kwanini Wakristo hawaoi Mke zaidi ya mmoja? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Nena Nami Bwana – Padre Prosper Kessy OFMCap proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mtangazaji Raymond Karega katika kipindi cha Sheria za Kanisa ambapo kwa namna ya kipekee tunaungana na Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe mada tunayoiangazia ni juu ya Wasimamizi wa ubatizo na usajili wa Wabatizwa Sheria namba 872 -878.

L'articolo Ifahamu Sheria ya Kanisa Na. 872 -878 (Wasimamizi wa Ubatizo na Usajili wa Wabatizwa.) proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Felix Ulindula Kilasile, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea swali linalojibiwa linasema, kunatofauti gani kati ya haya Maneno Agano, Injili, Mahubiri ?

L'articolo Je, wajuwa utofauti katika ya Agano, Injili, Mahubiri ? proviene da Radio Maria.

View Details

Mimi Erick Paschal ninakualika tena kwa mara nyingine katika kipindi cha Katekisimu katoliki Shirikishi ambapo studio tuko naye Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anaelezea juu ya Kwaresima na Watakatifu.

L'articolo Ni, kwanamna gani Watakatifu waliishi kipindi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padri Dkt.Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji idara ya Liturujia Baraza la Maskofu Tanzania[TEC] anafafanunua juu ya Masomo katika Misa Takatifu.

L'articolo Fahamu utaratibu wa Masomo katika Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Maurus Zakaria Msigwa, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, kwanini makusanyiko ya kusali yetu sisi Wajatoliki huitwa Misa na huko madhehebu wengine huitwa Ibada, Je nini tofauti ya Ibada na Misa?

L'articolo Je, Nini tofauti ya Ibada na Misa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo tuko naye Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap tukiangazia juu ya kufurahia wito wako.

L'articolo Je, ni kwa namna gani ufurahie wito wako? (Sehemu ya pili) proviene da Radio Maria.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi – Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera

L'articolo Hizi ndio faida za kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Michael Paul Mangazini, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Je kuna ulazima gani wa kwenda kuungama dhambi kwa Padre wakati ninaweza kumwendea Mungu moja kwa moja kutubu dhambi zangu?

L'articolo Kwanini Tunaungama dhambi kwa Padre? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, Ni ipi kazi ya msingi ya Ubani katika Adhimsho la Misa Takatifu?

L'articolo Fahamu Kazi ya Ubani katika Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi – Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera

L'articolo Kwaresima – Fumbo la ukombozi wetu proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu ungane nami Erick Paschal katika kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo leo tunakwenda kusikiliza Homilia ya Mhashamu Ludovick Joseph Minde, Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi aliyoitoa katika Parokia ya Kimongoni Jimboni humo, Dominika ya Kwanza ya Kwaresima Mwaka B wa Kanisa.

L'articolo Askofu Minde: “Wema wa Mungu uko pamoja nasi Tubuni” proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo studio tupo na Frateri Zakaria Lukasi Simkonda, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema, ni maana na asili ya sadaka inayoitwa malimbuko katika kanisa katoliki?

L'articolo Fahamu Maana ya Sadaka ya Malimbuko ndani ya Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani tuko naye Shemasi Emmanuel Enosy Shija, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema, kwanini Wakristo Wakatoliki tunafunga siku Arobaini wakati wa Kwaresima?

L'articolo Ni, kwanini Wakatoliki tunafunga siku Arobaini wakati wa Kwaresima? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize sehemu ya Saba ya Kipindi cha IMANI YETU kama kinavyoletwa kwako na Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha Kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, ambapo Padri Adam anafundisha juu ya mapaji na karama za Roho Mtakatifu.

Kipindi hiki Msikilizaji ni kila Ijumaa Saa 12:30 jioni, hapa hapa Radio Maria Tanzania-Sauti ya Kikristo Nyumbani mwako.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Yafahamu mapaji na karama za Roho Mtakatifu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal katika Kipindi cha Utume wa Walei, ambapo mada inayozungumziwa ni Afya ya akili Wawazeshaji ni Padre Vitalis Kasembo, Mkurungenzi wa Utume wa Walei Jimbo kuu la Dar es Salaam pamoja na Dkt. Maryrose Mtaalamu wa Afya Bora ya Akili.

L'articolo Je, Wafahamu juu ya Klinic ya Kiroho? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu ungane na Padri Titus Amigu Kutoka Jimbo Kuu la Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo ni muendelezo wa Historia ya Tobia pamoja na Familia yake.

L'articolo Fahamu Historia ya Tobia pamoja na Familia yake. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Samson Peter kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema, kwanini wakatoliki tunapokea Mwili wakristo katika Umbo la Mkate na wakati wa Adhimisho la Misa kwenye Liturujia ya Ekaristi Takatifu Padri anasema Twaeni Mnywe wote.

L'articolo Ni, kwanini Wakatoliki tunapokea Mwili wakristo katika Umbo la Mkate tu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu uungane nami Fredy William katika kipindi cha Elimu Jamii ambapo leo tunaungana na Ndugu Richard Samira, Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma Mkoa wa Manyara kutoka Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambapo leo tunaangazi matokeo ya Rushwa wakati wa Uchaguzi.

L'articolo Fahamu Matokeo ya Rushwa wakati wa Uchanguzi. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Revocatus Ferdinand, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Dhambi zote ni sawa au zinatofautiana?

L'articolo Je, Dhambi zote ni sawa au zinatofautiana? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Fredy William katika kipindi cha Elimu Jamii ambapo leo tupo na Bi. Agness Gerald, Afisa Habari Mwandamizi kutoka Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa [NIDA] akitoaelimu kwa mwananchi juu ya kuchukuwa vitambulisho vyao kutoka Serikali za mitaa.

L'articolo Je, wajuwa namna ya kupata Kitambulisho chako cha Taifa? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana nami Mtangazaji wako John Albert Samky katika kipindi cha Fahamu Wito wako kupitia Radio Maria Tanzania ambapo tuko naye Padre Innocent Bahati Mushi, OFMCap tukiangazia juu ya Wito wa kuwa Mtakatifu.

L'articolo Je, nitakuwaje Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Loan Joshua Mwamfupi kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo Kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema ifahamu historia na asili ya Sakramenti ya Kipaimara.

L'articolo Fahamu Historia na asili ya Sakramenti ya Kipaimara proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu usikilize na kufuatilia Ujumbe wa Kwaresima wa mwaka wa 2024 uliotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania ( TEC) ujumbe huu unaongozwa/ Kichwa cha habari kinachosema “Nitawezaje kuelewa Mtu asiponiongoza” Matendo ya Mitume Sura ya 8:31
  • Ujumbe huu unasomwa kwako na Padre Florence Rutaihiwa, Mkurugenzi wa Kurugenzi ya uchungaji ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.

L'articolo Ujumbe wa Kwaresima wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania – 2024 proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Jacob Mkandawile kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Kwanini Yesu Kristo alisema acheni magugu na ngano vikuwe pamoja alikuwa anamaana gani?

L'articolo Yesu Kristo aliposema acheni magugu na ngano vikuwe pamoja alikuwa anamaana gani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Franco Abeli Ubamba kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio,Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Je, Bikira Maria nini Mama wa Mungu kweli ni kwa namna gani?

L'articolo Je, wafahamu ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Mungu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, iliyopo Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema tukisoma katika Maandiko Mtakatifu Kitabu cha Kutoka 2o;13 imeandika usiue, Je, kwa kuua mnyama na kumfanya kuwa kitoweo ni dhambi?

L'articolo Je, kuua Mnyama ni Dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo naye Frateri Daud Fungameza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Kwanini Adam na Eva walipomkosea na kumtii Mwenyezi Mungu kwanini hawakumuomba msamaha au yalikuwa makusudi ya Mungu iliandiko lake litimie?

L'articolo Kwanini Adam na Eva hawakumuomba Mwenyezi Mungu msamaha walipokosea? proviene da Radio Maria.

View Details

Ni wakati mwingine tena Msikilizaji wa Radio Maria Tanzania -Sauti ya Kikristo Nyumbani mwako ninakukaribisha katika Kipindi chetu kizuri cha IMANI YETU, ambacho hurushwa kila siku ya Ijuma Saa 12:30 jioni.

Katika Kipindi hiki cha Sita Msikilizaji, Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha Kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma anafundisha juu ya Sakramenti ya Kipaimara na nafasi ya Roho Mtakatifu katika maisha ya Mkristo.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Ifahamu nafasi ya Roho Mtakatifu katika maisha ya Mkristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika mwendelezo wa sehemu ya Tano ya Kipindi cha IMANI YETU Msikilizaji, ambacho hukujia kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni hapa Radio Maria Tanzania-Sauti ya Kikristo Nyumbani mwako.

Kipindi cha leo ni tamati ya mafundisho juu ya Sakramenti ya ubatizo Mtakatifu kama yanavyoletwa kwako na Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Je, wewe ni mzazi wa ubatizo? ufahamu wajibu wako. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Msikilizaji katika mwendelezo wa sehemu ya Nne ya Kipindi cha IMANI YETU ambacho hukujia kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni hapa Radio Maria Tanzania-Sauti ya Kikristo Nyumbani mwako.

Ni mwendelezo wa mafundisho juu ya Sakramenti ya ubatizo Mtakatifu kama yanavyoletwa kwako na Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Je, wafahamu kuwa kubatizwa ni kama kuumbwa upya.? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu Msikilizaji katika Kipindi cha IMANI YETU ambacho hukujia kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni hapa hapa Radio Maria Tanzania-Sauti ya Kikristo Nyumbani mwako.

Katika Kipindi cha leo sehemu ya tatu, mwezeshaji Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma, anaanza kufundisha juu ya Sakramenti ya ubatizo Mtakatifu.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Zifahamu namna tatu za kuadhimisha Sakramenti ya Ubatizo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu tena msikilizaji katika Kipindi chetu kizuri cha IMANI YETU ambacho hukujia kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni hapa hapa Radio Maria Tanzania.

Katika Kipindi cha leo, mwezeshaji Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma, anakamilisha sehemu ya pili ya utangulizi kuhusu mada za imani yetu.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Ufahamu uzuri na upekee wa imani yetu Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi kipya cha IMANI YETU kama kinavyoletwa kwako na Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma.

Katika Kipindi hiki ambacho kinaruka hewani kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni, utasikiliza utangulizi wa awali kuhusu yaliyomo kwenye imani yetu.

Mtangzaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Ufahamu uzuri na upekee wa Imani yetu Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha ijuwe Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padri Dkt. Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maskofu Tanzania, (TEC) Anafafanua juu ya Sakramenti saba na zinavyo adhimishwa.

L'articolo Fahamu namna Sakramenti saba na zinavyo adhimishwa ndani ya Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

– Karibu katika kipindi cha ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dkt. Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maskofu Tanzania, (TEC) anatuongoza kuangazia juu ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara.

L'articolo Fahamu maana ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dkt. Clement Kihiyo Katibu mtendaji idala ya Liturujia Baraza la Maskofu Tanzania, Anatufundisha nini maana ya Ndoa na Ubikira wa Kikristo.

L'articolo Je, Wafahamu Sakramenti ya Ndoa na Ubikira wa Kikristo? proviene da Radio Maria.

View Details

– Karibu katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dkt. Clement Kihiyo anatuongoza kufahamu Sakramenti ya Kitubio.

L'articolo Je, Sakramenti ya Kitubio ni nini? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Mimi Happiness Mlewa ninakualika tena kwa mara nyingine katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo tuko naye Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzanaia bado tunaitazama kwa kina mada ya Familia Takatifu.

L'articolo Je, wazifahamu sifa za Familia kuelekea kuwa Familia Takatifu? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dkt. Clement Kihiyo anatuongoza kuangazia Sakramenti ya Ekaristi Takatifu.

L'articolo Ifahamu Sakramenti ya Ekaristi Takatifu (Maumbo ya Mkate na Divai). proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Chakula na Lishe kupitia Radio Maria Tanzania leo tupo naye Bi. Hamida Mbilikila Afisa lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, (TFNC) na mada tunayoiangazia katika kipindi ni Lishe kwa Vijana bahele

Studio Kuu uko nami Mtangazaji wako Agatha Kisimba nakualika uwe nasi mpaka tamati.

L'articolo Ifahamu lishe kwa vijana bahele proviene da Radio Maria.

View Details

  • Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Historia leo anatuongoza kuangazia Hali ya kidini iliyopelekea utengano wa Waprotestanti kutoka ndani ya Kanisa Katoliki.
  • Mtangazaji na mwongozaji wa kipindi hiki ni mimi Patrick Paschal Tibanga.

L'articolo Fahamu sababu za Utengano wa Waprotestanti katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Mpendwa Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba anafafanua juu ya uasi wa Martin Luther Katika Kanisa Katoliki.

L'articolo Je, waufahamu uasi wa Martin Luther? proviene da Radio Maria.

View Details

Mpendwa Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba anafafanua juu ya hali ya kisiasa na kumeguka kwa Kanisa Katoliki Mwaka 1414.

L'articolo Ifahamu hali ya kisiasa na kumeguka kwa Kanisa Katoliki 1414. proviene da Radio Maria.

View Details

  • Heri ya Mwaka mpya 2024 na Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania ambapo leo Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba anafafanua juu ya nyakati Kanisa Katoliki lilipolegelea tena.

Studio Kuu ni mimi Mtangazaji wako Patrick Pascal Tibanga.

L'articolo Zifahamu nyakati Kanisa Katoliki lilipolegea tena.(Nyakati za giza) proviene da Radio Maria.

View Details

Mpendwa Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba anafafanua juu ya Historia ya Mtaguso Mkuu wa Constancia wa mwaka 1414.

  • Studio Kuu ni mimi Mtangazaji wako Patrick Pascal Tibanga

L'articolo Je, waufahamu Mtaguso Mkuu wa Constancia wa 1414? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Oscar Mwamoto kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramih0, Jimbo kuu la Songea akijibu swali linalosema.

– Je, Ubatizo ni Sakramenti inayotuondolea dhambi ya Asili?

  • Je, tunaposherekea ubatizo wa Yesu inamaana Yesu alikuwa na dhambi ndomana alibatizwa?

L'articolo Je, Yesu ana dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Daud Funga Meza, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Rozari Takatifu Matendo ya Furaha fungu la nne Yesu anatolewa Je alitolewa hekaluni alikuwa na kosa gani?

L'articolo Je, wafahamu kosa la Yesu kutolewa hekaluni? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Semenari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramih0, Jimbo kuu la Songea akijibu juu ya ufafanuzi wa Amri ya nne ya Mungu isemayo waheshimu Baba na Mama upate miaka mingi na heri duniani ?

L'articolo Ifahamu Amri ya nne ya Mungu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Paulo Funuki , kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Katekisimu ni nini?

L'articolo Je,Wajuwa maana ya Katekisimu? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Franco Abeli Ubamba, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema nini maana ya Katekista?

L'articolo Je,Wafahamu maana ya Katekista? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Oscar Mwamoto, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Ivi alama ya samaki kwenywe Mavazi ya Padri na vyombo vya Kanisa inamaana gani?

L'articolo Je,wafahumu alama ya Samaki kwenywe Mavazi ya Mapadre? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani Leo tupo Frateri Franco Abeli Ubamba, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramihio, Jimbo kuu la Songea swali la msikilizaji linalojibiwa linasema Dhambi ya Asili ni nini?

  • Studio ni mimi Rosemary Kimario.

L'articolo Je, Dhambi ya Asili ina maana gani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Semenari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramih0, Jimbo kuu la Songea akijibu swali lisemalo ni kigezo kipi huzingatiwa ili kupata jina la Mtakatifu fulani Kigango au Parokia?

L'articolo Je, wafahamu vigezo vya kupata Jina la Mtakatifu Somo wa Parokia/ Kigango? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize sehemu ya pili ya utangulizi wa mada ya Sakramenti za Kanisa Katoliki, katika Kipindi kipya cha Imani yetu, ambacho kinaruka kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni kupitia Radio Maria Tanzania.

Mwezeshaji ni Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo cha Kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma.

Nami ni Agatha Kisimba, Mtayarishaji na mtangazaji.

L'articolo Yafahamu mafundisho ya Imani yetu Katoliki proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize sehemu ya kwanza ya utangulizi wa Kipindi kipya cha IMANI YETU kinachokujia kila siku ya Ijumaa Saa 12:30 jioni, ambapo katika sehemu hii ya kwanza, Padri Wojciech Adam, Mhifadhi wa Kituo Cha Kitaifa cha Hija ya Huruma ya Mungu Kiabakari Jimbo Katoliki Musoma, amegusia kwa ujumla Sakramenti za Kanisa Katoliki.

Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

L'articolo Yafahamu mafundisho ya Imani yetu Katoliki. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padri Richard Matanda Tesha, kutoka Jimbo Katoliki la Moshi katika Parokia ya Mrao Kwenye kipindi cha Uraibu Ambapo Leo Tunajifunza Juu ya Maana ya Uchoyo.

L'articolo Je, Nini Maana ya Uchoyo? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi chetu cha Uraibu na Muhezeshaji wetu ni Padri Richard Matanda Tesha Jimbo Katoliki la Moshi Parokia ya Mrao Ambapo leo tunajifunza Madhara ya Uchoyo.

L'articolo Nini Madhara ya Matokeo ya Uchoyo. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Usalama Barabarani na Mkaguzi wa Polisi kutoka Kikosi cha Usalama Barabarani Trafiki Makao Makuu.Afande Dumu Mwaliugenge Anafundisha Haki na wajibu wa Abiria Barabarani Studio kuu Mtangazaji ni Erick Paschal.

L'articolo Zifahamu Haki na Wajibu wa Abiria Barabarani. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize kipindi cha Fahamu Wito Wako,kinachoandaliwa na Padre Innocent Bahati kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Shirikishi MWENGE Jimbo Katoliki Moshi,

Mtangazaji:Martin Joseph.

L'articolo Gundua Kusudio la Mungu Maishani Mwako proviene da Radio Maria.

View Details

– Ilikuwa siku ya Ijumaa Januari 06, 1989 miaka 35 iliyopita ambapo Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu wa Jimbo Katoliki Iringa aliwekwa wakfu katika Daraja Takatifu ya Uaskofu na Mtakatifu Papa Yohane Paul II katika Basilika la Mtakatifu Petro – Mjini Vatican, Roma Italia.

– Familia ya Radio Maria Tanzania inaungana na Baba Askofu Ngalalekumtwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa utume wake uliotukuka ndani ya Kanisa na tunakualika umtakie neno la Baraka na matashi mema katika siku yake hii anapotimiza miaka 35 tangu alipowekwa wakfu katika Daraja Takatifu ya Uaskofu.

– Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa alizaliwa tarehe 25 Oktoba 1948 katika kijiji cha Banawanu kilichopo Parokia ya Tosamaganga. Wazazi wake ni Joseph Ngalalekumtwa na Mama ni Magdalena Sekutika. Alibatizwa Parokiani Tosamaganga tarehe 15 Novemba 1956 na siku hiyo alipewa Sakramenti Takatifu ya Ekaristi Takatifu & Kipaimara na Mhashamu Attilio Betramino, I.M.C aliyekuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Iringa.

– Ikumbukwe pia kuwa Askofu Ngalalekumtwa aliwekwa wakfu katika Daraja Takatifu ya Upadre April 17, 1973 na ameliongoza Jimbo la Iringa tangu mwaka 1992, itakumbukwa kuwa Mhashamu Ngalalekumtwa aliwahi kulitumikia Jimbo Katoliki Sumbawanga kama Askofu Mwandamizi kuanzia mwaka 1989 – 1992.

– Aidha Baba Askofu Ngalalekumtwa amewahi kuliongoza Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) katika nafasi ya Rais wa Baraza kuanzia 2012-2018.

L'articolo HONGERA KWA MIAKA 35 YA UASKOFU – ASKOFU TARCISIUS NGALALEKUMTWA proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Franco Abeli Ubambwa.Ambapo anajibu Swali lisemalo Je ni hatua ngapi mtu anatakiwa afate katika Sakramenti ya kitubio.Studio uko nami mm Martin Joseph

L'articolo Je wafahamu hatua za Sakramenti ya kitubio? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maisha ni Safari,ambapo katika kipindi hiki ni simulizi ya Maisha ya Binti anayefahamika kwa Jina la Bhoke,aliyepitia changamoto katika maisha yake yeye pamoja na Familia yake.

Studio ;Mtangazaji ni Martin Joseph.

L'articolo Maisha ni Safari na Binti Bhoke Sehemu ya Kwanza proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo leo hii anatufundisha juu ya Fumbo la Noeli.

  • Studio Kuu Mtangazaji ni Erick Paschal.

L'articolo Fahamu Haya juu ya Fumbo Takatifu la Noel. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu sana uungane nami Agatha Kisimba katika Kipindi cha Jinsia na Maendeleo ambacho hukujia kila Siku ya Ijumaa Saa 10:30 hadi Saa 11:oo jioni na kurudiwa Jumamosi Saa 2:30 asubuhi.

Kipindi hiki huhusisha wadau mbalimbali wa masuala ya Kijinsia na Maendeleo ili kuongeza chachu kwa Jinsi zote kutambua haki zao, kufahamu masuala kadha ya kisheria na msaada pamoja na kujikwamua kiuchumi.

L'articolo Fahamu utofauti wa Jinsi unavyoathiri makuzi ya Watoto. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila Siku ya Jumatatu mpaka Siku ya Alhamisi Saa 2:00-Saa 3:00 asubuhi na kurudiwa siku hizo hizo Saa 5:00 usiku.

Katika Kipindi hiki Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa na Paroko wa Parokia ya Isimani Padri Leonard Maliva, amefundisha juu ya “Maana na historia ya Noeli”.

L'articolo Ifahamu maana na historia ya Noeli proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu usikilize Kipindi cha Pro Life-Utetezi wa Uhai, ambacho huwezeshwa na Wana utetezi wa Uhai kutoka Pro Life Tanzania kila siku ya Jumanne Saa Nane hadi Saa Tisa alasiri na kurudiwa siku hiyo hiyo Saa Nne kamili usiku.

Mada iliyofundishwa katika Kipindi hiki ni “Familia na hifadhi ya uhai”.

L'articolo Je, wafahamu kuhusu Familia na hifadhi ya uhai.? proviene da Radio Maria.

View Details

  • Karibu katika kipindi cha Liturujia na Padri Dkt. Clementi Kihiyo, Katibu Mtendaji idara Liturujia Baraza la Maaskofu (TEC) ambapo anazungumzia juu ya Madhehebu ya Ibada ya kutolewa kwa Daraja Takatifu ya Upadrisho,

L'articolo Yafahamu Madhehebu ya Ibada ya Upadrisho. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlelwa katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, na Swali linalo jibiwa ni “Zawadi zilizotolewa na Mamajusi kwa Mtoto Yesu” zilikuwa zinamanisha nini?

Mwezeshaji Frateri Cassian Leba kutoka Seminari ndogo ya Mtakatifu Yosefu Kahengesi Jimbo Katoliki Sumbawanga

L'articolo Fahamu Maana ya Zawadi za Mamajusi kwa Mtoto Yesu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, na Swali linalo jibiwa ni Nini maana ya Fumbo la umwilisho?
Mwezeshaji Frateri Cassian Leba kutoka Seminari ndogo ya Mtakatifu Yosefu Kahengesi Jimbo Katoliki Sumbawanga

L'articolo Fahamu Maana Ya Fumbo La Umwilisho? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, mada inayozungumzwa ni juu ya Tarehe ya Kuzaliwa Yesu kristo, Mwezeshaji wa Kipindi ni Frateri Peter Peter kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho-Jimbo kuu la Songea.

L'articolo Ifahamu tarehe ya Kuzaliwa Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Raymond Kalega katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, mada inayozungumzwa ni juu ya Historia ya Pango la Krismass, Mwezeshaji wa Kipindi ni Frateri Elikana Nyakabona kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho-Jimbo kuu la Songea.

L'articolo Je, wafahamu Historia ya Pango la Krismass? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Frank Kashonde Katika Kipindi cha Maswali ya Imani mada inayozungumziwa ni juu ya kwanini kanisa lina sisitiza kuwaombea Marehemu, Mwezeshaji Frateri Emilliani S. Mahinya kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino – Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

L'articolo Fahamu kwanini Kanisa lina sisitiza kuwaombea wafu. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani mada inayo zungumziwa ni juu ya Maana ya Watakatifu katika Kanisa, Mwezeshaji Frateri Emilian S. Mahinya Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino- Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

L'articolo Ifahamu sherehe ya kanisa ya Watakatifu wote. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi mada inayozungumzwa ni juu ya Sherehe ya Yesu Kristo Mfalme, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S. Mkurugenzi wa Mtangazo ya Radio Maria Tanzania.

L'articolo Ifahamu Sherehe Yesu Kristo Mfalme?. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba, Mhashamu Askofu Method Kilaini anaendelea kujibu maswali mbalimbali ya Historia pamoja na kiimani.

L'articolo Je, Yesu alipokufa Mkoba wake ulibaki kwa nani? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako ambako Mwezeshaji wetu Padre Innocent Bahati Mushi yuko pamoja akituongoza katika kipindi chetu ambapo leo tunatazama mada ya Hadhi na heshima ya wazee.

L'articolo Je, unaifahamu hadhi na heshima ya wazee? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anafundisha juu ya Huruma ya Mungu kwa Marehemu wote.

L'articolo Je, waifahamu huruma ya Mungu kwa Marehemu wote? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika sehemu ya tatu ya kipindi cha Historia ya maisha ya watakatifu leo tunaendelea kuangazia historia ya Mwenyeheri Anuarite uko nami Agnes Shayo Hiza.

L'articolo Ifahamu historia ya Mwenyeheri Anuarite || Sehemu ya tatu. proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba, Mhashamu Askofu Method Kilaini anaendelea kujibu maswali mbalimbali ya Historia pamoja na kiimani.

L'articolo Je, nini maana ya Sinodi & Mtaguso? proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo Kwanini Padre/ Askofu hufukiza ubani Altareni? proviene da Radio Maria.

View Details

Mimi ni Agnes Shayo Hiza ninakualika katika sehemu ya pili ya kipindi chetu cha Historia ya Maisha ya Watakatifu sehemu ya pili tukiangazi maisha ya Mwenyeheri Anuarite.

L'articolo Ifahamu Historia ya Mwenyeheri Anuarite || Sehemu ya Pili. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Julieth Muunga katika kipindi cha Elimu Jamii ambapo leo utapata fursa juu ya Uraia wa Tanzania na aina za Uraia na mambo mengi.

L'articolo Fahamu juu ya Uraia wa Tanzania & aina za Uraia. proviene da Radio Maria.

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba.

L'articolo Kwanini katika Misa Takatifu tunasali Fumbo la Imani? proviene da Radio Maria.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Maisha ya watakatifu ukiwa nami Agnes Shayo Hiza katika sehemu yetu ya kwanza tunaangazia maisha ya Mwenyeheri Anwarite Nengapita.

L'articolo Ifahamu Historia Mwenyeheri Anwarite – Sehemu ya kwanza. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha katika muendelezo wa vipindi vya Maswali na majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa.

L'articolo Je, Ubikira wa Mama Maria uko wapi wakati alimzaa mkombozi? proviene da Radio Maria.

View Details

Huu ni mwendelezo wa Maswali na Majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha kwa kina katika majibu ya maswali mbalimbali uliyomuuliza.

L'articolo Je, Kanzu za Maaskofu zinashonwa na nani? proviene da Radio Maria.

View Details

Mimi Happiness Mlewa ninakualika katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi nikiwa na Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani & Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa ambapo tunaitazama mada mama ya Miaka 50 ya Jumuiya Ndogondogo za Kikristo `na kwa kina tukitazama changamoto zake.

L'articolo Zifahamu changamoto za Jumuiya Ndogondogo za Kikristo. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino – Peramiho iliyoko Jimbo Kuu la Songea katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani.

L'articolo Je, kutokulipa zaka ni dhambi? proviene da Radio Maria.

View Details

Huu ni mwendelezo wa Maswali na Majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha kwa kina katika majibu ya maswali mbalimbali uliyomuuliza.

L'articolo Je, Filamu za Maisha ya Yesu zilitoka wapi wakati kulikuwa hakuna Teknolojia enzi zake? proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha katika Historia ya Mababa wa Kanisa ni muendelezo wa vipindi vya Maswali na majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa.

L'articolo Ifahamu Historia ya Mababa wa Kanisa. proviene da Radio Maria.

View Details

L'articolo FAHAMU HISTORIA MWENYEHERI ANWARITE | SEHEMU YA KWANZA. proviene da Radio Maria.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katolilki  Mada iliyopo ni juu ya Watakatifu wa Mwezi Agost    , Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katolilki  Mada iliyopo ni juu  muendelezo waa mada ya watakatifu mwezi wa nane  , Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katolilki    Mada iliyopo ni juu ya Mama Maria Mama wa wote, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katolilki Shirikishi, Mada iliyopo, ni  kiunganishi chetu juu ya Mungu , Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa  katika kipindi cha Katekisimu Katolilki Shirikishi,  Mada iliyopo ni ibada za Mama Bikra Maria, Mwezeshaji Padre Deodatusi Katunzi Mkurungezi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja kutoka Kagera.

View Details

Ungana Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu ya uhusiano kati ya dhambi na Magonjwa ya Kimwili  ,  Mwezeshaji Frateri Jacob Mkandawile , Kutoka  Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho –  Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu ya kubusu kitabu marabaada ya kusoma Injili ,  Mwezeshaji Frateri Erasto Mwangoka, Kutoka  Parokia Mwenyeheri Annuarite Bukonga  – Jimbo kuu la Mbeya.

View Details

Ungana na Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu  Kugeuka Sura Bwana Yesu,  Mwezeshaji  Frateri Betram Mandili , Kutoka  Parokia  Yesu Kristo Mfalme Bwaanzi – Jimbo  Katoliki la Iringa.

View Details

Ungana na Happiness Mlewa katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu  Sanduku la Agano,  Mwezeshaji Frateri Erasto Mwangoka, Kutoka  Parokia Mwenyeheri Annuarite Bukonga  – Jimbo kuu la Mbeya.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Ijue Sheria mada iliyopo Utaratibu wa utatuaji migogoro Ardhi Mahakamani, Mwezeshaji ni Mh Hassan Mlanga Hakimu  Mkazi Mwandamizi  kutoka kanda ya Iringa.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Fredy William  katika kipindi cha Ijue Sheria mada inayo zungumziwa ni juu ya Sheria za Ndoa ya Tanzania, Mwezeshaji ni Mh Litha Protas  Hakimu  Mkazi Mwandamizi  wa Mahakama ya Mwanzo Boma Iringa Mjini.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Martin Joseph  katika kipindi cha Ijue Sheria mada inayo zungumziwa ni juu ya Hakili na Ulinzi wa Mtoto, Mwezeshaji ni Mh Mercy Katavi  Hakimu  Mkazi Mwandamizi  wa Mahakama ya Mwanzo Boma Iringa mjini.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Martin Joseph  katika kipindi cha Ijue Sheria mada inayo zungumziwa ni juu ya Mkataba wa huduma za wateja Mahakamani , Mwezeshaji ni Mh Atupie Fungu  Hakimu  Mkazi Mwandamizi  wa Mahakama ya Mwanzo Boma Iringa mjini.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Erick Paschal katika kipindi cha Ijue Sheria mada iliyopo Mahakama ya Watoto , Mwezeshaji ni Mh Rehema Maagilo Hakimu  Mkazi Mwandamizi  kutoka kanda ya Iringa.

View Details

Karibu uungane nami Erick Paschal katika kipindi cha Jukwaa la Vijana na ujasiriamali, ambapo leo nipo katika sehemu ya kwanza niko naye Padre  Richard Matanda Tesha   kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, juu ya namna iliyo njema ya kutokuona mashaka katika Safari ya Mafanikio .

View Details

Karibu uungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo leo tupo na Mhashamu  Gervas John Nyaisonga, Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Mbeya & Rais wa Balaza la Maskofu Katoliki Tanzania  (TEC)

View Details

Karibu uungane nami Erick Paschal katika kipindi cha Jukwaa la Vijana na ujasiriamali, ambapo leo nipo katika sehemu ya kwanza niko naye Padre Adolf  Minga  kutoka Jimbo kuu la Mbeya ambapo anagusia changamoto ya mfadhaiko kwa vijana. Katika sehemu ya pili Padre Richard Matanda Tesha anatufundisha njia ya kukabiliana na malalamiko ya wateja.

View Details

Mpendwa nakualika uungane nami Erick Paschal katika kipindi cha Jukwaa na Vijana kupitia Radio Maria Tanzania.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Godfrey Balozi  katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na Saba.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Godfrey Balozi  katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na Sita.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na Tano.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na Nne.

View Details

Ungana na Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu ya kwanini watu wana aswa kupitia Maandiko Matakatifu kuwa wasio wepesi wa kuhukumu, watahukumiwa,  Mwezeshaji   Frateri Cassian Leba,  kutoka Seminari Ndogo ya Mtakatifu Yosefu Kahengeka – Jimbo Katoliki Sumbawanga.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu ya kwanini Masister wana vaa Ushungi Kichwani mda mwingi, Mwezeshaji   Frateri Fanco Abeli Ubamba,  kutoka Parokia ya Mtakatifu  Boniface Shahidi Madubila – Jimbo Katoliki Iringa.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga  katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ni kwanini Ijumaa kuu haitolewi Baraka,  Mwezeshaji Frateri  Betrino Mandili,  kutoka Parokia ya Kristo Mfalme Ibwanzi  – Jimbo Katoliki Iringa.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na Tatu.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi na mbili.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi moja.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Kumi.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Tisa.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martin Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Saba.

View Details

Mpendwa Msikilizaji Karibu Uungane nami Martini Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, sehemu ya Sita.

View Details

Ungana na Martini Josesph katika Kipindi cha Amka na Mama, 07

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga  katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu Yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12? ,  Mwezeshaji Frateri Fanco Abeli Lubanda,  kutoka Parokia ya Mtakatifu  Boniface Shahidi Madubila – Jimbo Katoliki Iringa.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya kutoa Ekaristi kutoka Altareni kupeleka Tabenakulo watu hupiga magoti ,  Mwezeshaji Frateri Fanco Abeli Lubanda,  kutoka Parokia ya Mtakatifu  Boniface Shahidi Madubila – Jimbo Katoliki Iringa.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya kwanini Mwaka wa Kanisa Unaishia Mwaka C na hauendelei ,  Mwezeshaji Frateri Emmanuel Elias Mganga, Kutoka kutoka Parokia ya Mtakatifu Yosefu Mfanyakazi Sungwi – Jimbo kuu la Mwanza.

View Details

Ungana na Martin Joseph  katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya ukiungama dhambi pekeyako mbele Msalaba Mtakatifu unasemehewa zambai ,  Mwezeshaji Frateri Emmanuel Elias Mganga, Kutoka Parokia ya Mtakatifu Yosefu Mfanyakazi Sungwi – Jimbo kuu la Mwenza.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Pro-Life  na mada inayozungumziwa ni Muendelezo mwa mada ya Uchumba, wawezeshaji ni Grace Shayo, Afisa kutoka Pro-Life pamoja Whittness Lihepa, Kutoka Pro-Life

View Details

Ungana na Mtangazaji  Happness Mlewa   katika kipindi cha  Katekisimu Katoliki Shirikishi na  leo mada inayozungumziwa ni  juu ya muendelezo Mafundisho ya  Bikira Maria Mama wa Damu Azizi, Tone la Upendo kwa Wakatifu kwa Wanadamu , Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji  Happness Mlewa   katika kipindi cha  Katekisimu Katoliki Shirikishi na  leo mada inayozungumziwa ni  juu ya muendelezo Mafundisho ya  Bikira Maria Mama wa Damu Azizi, Tone la Upendo kwa Wakatifu kwa Wanadamu , Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji  Fredy William  katika kipindi cha  Katekisimu Katoliki Shirikishi na  leo mada inayozungumziwa ni  juu ya tone la Upendo la Mama Bikira Maria wa Damu ya Azizi kwa Wanadamu, Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji  Fredy William  katika kipindi cha  Katekisimu Katoliki Shirikishi na  leo mada inayozungumziwa ni  juu ya Bikira Maria Damu Azizi, Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino -Jimbo kuu la Mwanza katika kindi cha Ujumbe wa Bibilia na mada iliyopo muendelezo wa kukoseana na kusamehana, kipengele kumtazama mwanadamu anavyo weza kujikosea kwa kupuuzia mambo.

View Details

Ungana na Padre Gidioni Kitamboya katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria kutoka katika Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo kuu la Dodoma. Mada  mfahamu zaidi  Mama Bikira  Maria ili uweze kupata Neema za Mungu.

View Details

Ungana na  Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya ufahamu wa Sanduku la agano linalo tajwa sana katika Agano la Kale ,  Mwezeshaji Frateri  Emmilian  Samson  Mahinya ,  kutoka Parokia ya Mtakatifu Yacobo Mtume  Mkuu Uyole – Jimbo  kuu la Mbeya.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya Lazaro alipo fufuliwa na Yesu alikufa tena au alipalizwa Mbinguni ,  Mwezeshaji Frateri Franco Abel Ubanga,  kutoka Parokia ya Mtakatifu Boniface Shahidi  Madibila- Jimbo  Katoliki la Iringa.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya mtu asiyebatizwa na anashiriki shughuli zote za kikanisa  anapata baraka za Mwenyezi Mungu,  Mwezeshaji Frateri Franco Abel Ubanga,  kutoka Parokia ya Mtakatifu Boniface Shahidi  Madibila- Jimbo  Katoliki la Iringa.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya maana ya Mama Kanisa,  Mwezeshaji Frateri Erasto  Mwamboka  Kutoka Parokia ya Moyo  Mtakatifu wa Yesu Ilambo- Jimbo  kuu la Mbeya.

View Details

Ungana na Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji  juu ya maana ya skapulali,  Mwezeshaji Frateri Erasto  Mwamboka  Kutoka Parokia ya Moyo  Mtakatifu wa Yesu Ilambo- Jimbo  kuu la Mbeya.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa Leo June 28, 2023  ukiwa nami  Mhashamu Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Ungana nami Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki Bukoba, Askofu Method Kilaini katika kipindi cha Historia ya Kanisa.

View Details

Historia hii na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba. Muongozaji wa kipindi ni Patrick Paschal Tibanga.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa.

View Details

Ungana na Padre Gidioni Kitamboya katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria kutoka katika Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba, Jimbo kuu la Dodoma, Mada pendwa kuhusu Vipengele vitano vya Upendo kwa Mama Bikira Maria na watakatifu namna walivyo mzungumzia Mama.

View Details

Ungana na baadhi ya wana  Utetezi wa Uhai katika kipindi cha Pro-Life, wakiwemo Godfrey Mkaikuta, Jane Akaro, pamoja nae Victoria Mandusi akiendesha kipindi, madainayozungumziwa ni  juu ya Urafiki sio Uchumba.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na Swali linalojibiwa linahoji juu  kiapo wanacho apa watawa cha Utii,  Mwezeshaji Frateri Ayuto Kongwa Mlolwa Kutoka  kituo cha hija cha Muhabughahi – Jimbo katoliki la Kigoma.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na Swali linalojibiwa linahoji juu Maandiko matakatifu yanasemaje juu ya Maswala ya Utandawazi ,  Mwezeshaji Frateri Ayuto Kongwa Mlolwa Kutoka  kituo cha hija cha Muhabughahi – Jimbo katoliki la Kigoma.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na Swali linalojibiwa linahoji  juu  hatua za kufikia Upadre,  Mwezeshaji Frateri Antony Mlelwa Kutoka Parokia ya Mtakatifu Yosefu Manda- Jimbo katoliki la Njombe.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na Swali linalojibiwa linahoji  juu ni halali kutoa Mimba,  Mwezeshaji Frateri Antony Mlewa Kutoka Parokia ya Mtakatifu Yosefu Manda- Jimbo katoliki la Njombe,

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal na Patrick Tibanga, Radio Mbiu, Selina Matuja Tumaini Media,katika kipindi cha Ijue Litrujia Mada ilipo ni utaratibu wa Nyumba za Ibada , Mwewezesha Padre Paul  Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Litrujia Kutoka Balaza la Maaskofu Katoliki Tanzani, (TEC)

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Pro- Life Mada iliyopo ni juu nafasi ya Marafiki katika Uchumba , Wawezesha ni Gofrey Mkeikuta, Anton Lihepa, Wtitiness Yoakimu,wote hao wana chama cha Pro-Life hapa Tanzania

View Details

Ungana na Mtangazaji Happnes Mlewa  katika kipindi cha Katekisimu Katolilki Shirikishi , Mada iliyopo  Ujumbe wa Matokeo ya Mama Bikira Maria Waridi lenye Fumbo, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal  katika kipindi cha Katekisimu Katolilki Shirikishi , Mada iliyopo ni hila za shetani dhidi ya Waridi lenye Fumbo, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happness  Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katolilki Shirikishi , Mada iliyopo ni Mwendeleze Bikira Maria  Waridi lenye Fumbo, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtanagazaji Happness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi , mada iliyopo Bikira Maria Waridi lenye Fumbo, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino -Jimbo kuu la Mwanza katika kindi cha Ujumbe wa Bibilia na mada iliyopo muendelezo wa kukoseana na kusamehana studio Frank Kashonde

View Details

Ungana na Fank Kashonde katika kipindi cha Maswali ya Imani mada ilipo ni athari za Utajiri na Umasikin, Mwezeshaji Frateri Ayuto Kongwa Mlolwa kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino -PeramihoJimbo kuu la Songea

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga  katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo ni namna ya kuishindi hofu katika kuitetea Imani Kikatoliki  , Mwezeshaji Frateri Cassian Leba  kutoka Parokia ya  Mtakatifu Karolwangwa Kansalamba , -Jimbo katoliki la Sumbawanga.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga  katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo  juu ya Kifo cha Mtume Paulo na alikufa kifo cha aina gani, Mwezeshaji Frateri Emiliani  .S. Mahinya  kutoka Parokia ya  Mtakatifu Mtume Yakobo, Uyole -Jimbo kuu la Mbeya.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo juu ya historia ya Nabii Yeremia na Masisha yake aliopitia , Mwezeshaji Frateri Ayuto Kogwa Kulolwa  kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo ni Kwanini wakristo wakatoliki wanafungiwa kupokea Masakramenti ikiwemo Ekaristi Takatuifu,  Mwezeshaji Frateri Peter Mjwauzi kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Mtangazaji Frank Kashonde katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo ni  Tofauti ya vikundi vya kidini Wafarisayo na Wasadikayo walivyo tofautiana na Yesu Kristo,  Mwezeshaji Frateri Emmanuel  Mganga kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasaga katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo  ni kwanini mtu akifa tunasema Roho yake imeenda Mbinguni na huko Mbinguni inafanya kazi gani? Mwezeshaji Frateri Emmanuel  Mganga kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea

View Details

Ungana na Mtangazaji Mary Mashine katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo  ni kwanini wakatoliki wanabatiza watoto wadogo, Mwezeshaji Frateri Betramino Mandile kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Dar es salaam.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu , Padre wa Jimbo kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, Mada iliyopo juu ya Muendelezo mwa kukoseana na kusameana, na anaangalia juu ya kumsakama Mwanadamu Mwenyewe.

View Details

Ungana na Martin Joseph katika kipindi cha Maswali ya Imani, Mada iliyopo ni juu ya   Baba Mtakatifu ,Mwezeshaji ni Frateri Elikana Novemba kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Sheria za Kanisa, mada iliyopo ni juu ya Taratibu ya Kumwondoa mtu kwenye Wadhifa wa Kanisa, Mwezeshaji Padre Ladisladius Mgaya, Mwanasheria wa Jimbo katoliki la Njombe.

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC

View Details

Ungana na Padre Gidioni Kitamboya, Mwana shirika la ndugu wadogo wa wakapuchini kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka mwinjili Hemba, Jimbo kuu la Dodoma, katika kipindi cha Tafakari ya Mama Bikira Maria,mada iliyopo  Muendelezo Ujumbe wa fatima, Maneno ya Mama alio yatoa ya Mwisho  Mtakatifu Yasinta.

View Details

Ungana Mtangazaji Happness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu katoliki shirikishi mada iliyopo ni juu ya Ekaristi, Mwezeshaji Padre Deodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kutoka Bunena Mkoani Kagera.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, mada iliyopo ni hali ya usalama kwa Watoto katika Jamii., Mwezeshaji Bwana Anectus Asingizibwe Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Kupinga Ukatili  kwa Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, (SMAUJATA)

View Details

Ungana na  Mtangazaji Erick Paschal katika kipindi cha Ijue Sheria mada iliyopo ni Mahakama ya Watoto, Mwezeshaji ni Mh Rehema Maagilo Hakimu  Mkazi Mwandamizi  kutoka kanda ya Iringa.

View Details

Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi  cha Maswali ya Imani, Mada inayozungumzwa Ufafanuzi juu ya Kutailiwa kadili ya wayahudi walivyo ainisha, Mwezeshaji Frateri Petro Joseph Mikao, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi  cha Maswali ya Imani, Mada inayozungumzwa ni Asili ya Utengano kati ya Wayahudi na Wasamaria, Mwezeshaji Frateri Ayuto Kongwa Mlola, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana nami Patrick Paschal Tibanga nikiwa na Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki  Bukoba Mhashamu Method Kilaini tukiwa ndani ya kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo tunaangazia Makanisa ya Mashariki (Orthodox) yaliyorudi kwa kutazama Kanisa Katoliki liliposhamiri upya.

View Details

-Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba ambapo leo utaifahamu  Historia ya kumeguka kwa Kanisa la Othodox kutoka Kanisa Katoliki.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania 

View Details

Ungana na Mtangazaji Happyness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, Mada inayozungumzwa ni Bikira Maria Mama wa Kanisa, Mwezeshaji Padre Domini Mavula Mkurungenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na  Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Maswali ya Imani, Mada inayozungumzwa ni mbinu ya kupokea wito wa Upadre, Mwezeshaji ni Frateri, Cassian Leba , kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Saongea.

View Details

Ungana na Padre Gidioni Kitamboya, Mwanashirika la Ndugu wa dogo wa wakapuchini kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba,Jimbo kuu la Dodoma, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, mada inayozungumziwa ni Ibada ya Moyo safi Mama Bikira Maria

View Details

Ungana na Mtangazaji Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, Mada inayozungumziwa juu ya  Bikira Maria Afya ya Wgojwa, Mwezeshaji Frateri Cassian Leba Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Mtangazaji Godfre Balozi katika Kipindi cha Maswali ya Imani, mada inayozungumzwa ni kuhusiana na Sherehe ya Pendekoste, Mwezeshaji ni Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Maswali ya Imani , mada inayozungumzwa ni Kwanini Sanamu ya Yesu inaendelea kuwekwa Msalabani, Mwezeshaji Frateri Daud Fungameza kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino, Jimbo kuu la Songea.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino ,SAUT, Jimbo kuu la Mwanza, katika, Kipind cha Ujumbe wa Bibilia, mada inayozungumzwa  ni muendelezo juu ya Mambo ya Kukoseana na kusamehana,

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika Kipindi cha Pro-Life  na mada inayozungumziwa ni Muendelezo mwa mada ya Uchumba, wawezeshaji ni Grace Shayo, Afisa kutoka Pro-Life pamoja Whittness Lihepa, Kutoka Pro-Life.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Matangazo Radio Mbiu – Kagera

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Sheria za Kanisa, mada ni kupoteza wadhifa wa kanisa kwa kunyanganywa, mwezeshaji  Padre Ladisladius Mgaya Mwanasheria wa Kanisa , Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Ungana na Mtanagazaji Frank Kashonde katika Kipindi  cha Fahamu wito wako , Mwezeshaji Padre Innocent Bahati Padre kutoka jimbo katoliki la Moshi, mada itakayozungumziwa ni juu ya Malezi ya Watoto katika Familia.

View Details

Ungana na Mtangazaji Patrick Tibanga Katika kipindi cha Tafakari ya  Mama Bikira Maria, na mada itakayo zungumziwa juu ya Kupaa kwa Bwana Yesu Kristo, Mwezeshaji Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume Jimbo katoliki la Bukoba.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Ijue sheria, Mada itakayozungumziwa ni Mkataba wa huduma kwa mteja wa Mahakama,mwezeshaji, Mh Atupi Fungo, Hakimu  wa Mahakama ya Mwanzo ya Iringa Mjini.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika Kipindi cha Maswali ya Imani, mada itakayozungumziwa ni mtu akikukosea kama hataki kuomba msamaha  nini kifanyike, mwezeshaji Frateri Peter Mikao kutoka Semiri kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho-Jimbo kuu la Songea.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu 

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Ungana na Mtangazaji Patrick Paschal Tibanga kutoka Radio Mbiu, Katika Kipindi cha Tafakari za Mama Bikira Maria,mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini  Msimamizi wa kitume wa Jimbo katoliki la Bukoba, MaSda itakayo zungumziwa ni juu ya siku ya wafanyakizi mei kila Mwaka.

View Details

Ungana na Martin Joseph pamojana   Padre Gidioni Kitamboya, Kutoka Jimbo kuu la Dodoma  katika kipinidi cha Tafakari za Mama Bikira Maria, anaendelea kuelezea matokeo ya  Fatima muendelezo wake.

View Details

Ungana na Mtangazaji Happyness Mlewa katika kipindi cha Kutoka Balaza la Maaskofu katoliki Tanzania, TEC, Mada itakayo zungumziwa ni juu ya hati  Mtaguso mkuu wa pili wa Vatikano kuhusu litrujia, Mwezeshaji Padre Paul Chiwangu, Katibu Mtendaji  wa Idara ya Litrujia kutoka  Balaza la Maaskofu Tanzani, TEC.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Maswali ya Imani mada itakayo zungumziwa juu ya, Yesu Kristo alikuwa mtu kweli? mwezeshaji wa kipindi ni Frateri Franco Abeli Lubamba kutoka  Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

View Details

-Ungana nami Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.

View Details

Na Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

-Ungana nami Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga  katika kipindi cha Pro-Life na mada itakayo zungumziwa ni, Uchumba na Ndoa wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta Katibu Pro-Life Tanzania, Anto lihepa Mkufunzi,  Jane Caro Mkufunzi, pamoja na Whitness Joakimu Mkufunzi.   

View Details

Ungana na Mtangazaji Frank Kashonde katika kipindi cha Utume wa Walei, Mada itakayo zungumzwa ni juu ya  wajibu wa katibu  Msadizi na kamati yake,  Mwezeshaji ni Mwalimu Maarim Verald Mushi,  Mjumbe  wa kamati ya uinjilishaji kutoka Jimbo kuu la Dar es salaam.

View Details

Ungana na Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Maswali ya Imani, mada itakayozungumzwa ni Sakramenti ya mpako Mtakatifu wa wagonjwa uliwekwa na Yesu Kristo?  Mwezeshaji  ni  Frateri Elikana, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho- Jimbo kuu la Sangea.

View Details

ungana na Mtangazaji Mary Mashine katika kipindi cha Maswali ya Imani, mada inayozunguzwa  ni  nani alikuwepo kipindi yesu anaweka Sakramenti saba za kanisa, Mwezeshaji ni Frateri Innocent  Kambole kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

View Details

ungana na Mtangazaji  Happyness Mlewa katika kipindi cha Ijue afya yako, na mada itakayozungumziwa ni juu ya Ugonjwa wa Moyo,wawezeshaji ni Dokta Projestus Sita pamoja na Dokta Hellena kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mt. Francisco, Jimbo katoliki la Ifakara.

View Details

ungana na Mtangazji Frank Kashonde katika kipindi cha Fahamu wito wako, kinacho zungumzia maswala tofauti juu ya wito, mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati  Mushi wa Shirika la Ndugu wa dogo Francisko wa kapuchini , (OFM,Cup) kutoka Jimbo katoliki la Moshi.

View Details

Ungana nami Frateri Emilian Samson Mahinya wa Jimbo Kuu Katoliki Mbeya nikikuletea majibu ya swali hili kutika hapa Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea.

View Details

Na Frateri Emilian Samson Mahinya.

Rozari ni sala ambayo inahusisha maneno na tafakari juu ya maisha ya Kristo kwa ujumla na maisha ya mama yake na mama yetu yaani Bikira Maria. Rozari takatifu inabeba mtakumbuka sala ya Salamu Maria, Baba Yetu na pia sala ya Utatu Mtakatifu yaani, Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu, na zaidi sana rozari inahusisha pia ile sala ya kuomba kukingwa na moto wa milele. Kwa hiyo rozari ni tafakari ambayo lengo lake ni kuyatafakari kwa kina zaidi maisha ya Yesu yaani, kuanzia umwilisho mpaka ufufuko wake.

Rozari inaeleza ukweli wa kikristo na ina nguvu kubwa ya kuwatakatifuza wote wanaoisali kwa uaminifu na imani. Rozari ni sala ya kuitafakari Biblia katika mafumbo yake makuu ya Kimungu yaani fumbo la umwilisho, fumbo la pasaka na fumbo la maisha yake Yesu baada ya kufufuka kwake. Ni kutokana na umuhimu wake rozari imepewa nafasi ya tatu katika liturjia ya Kanisa Katoliki yaani kwanza kabisa tunaanza na Misa Takatifu, halafu inafuata sala ya kanisa yaani (zaburi) na kishapo inafuata rozari takatifu.

Kwa ujumla ndugu zangu, tunaweza kusema kuwa rozari ni aina ya sala ambayo yule anayesali anatumia akili na hisia kuupata ukweli na hutumia utashi kuupenda ukweli huo na kuweka mikakati mahususi jinsi gani kuuishi ukweli huo. Kwa namna hiyo, akili na roho ya Mkristo huyo anayesali rozari vinaundwa kwa kadiri ya mifano ya Injili ya mwokozi na kwa kadiri pia ya mfuasi wake wa kwanza yaani, Mama yake na mama yetu (Bikira Maria).

Maelezo zaidi sikiliza katika Podcat hii hapa chini.

View Details

ungana na Mtangazaji Frank Kashonde katika kipindi cha Maswali Yahusio Imani, na mada itakayozungumzwa ni juu ya asili ya historia ya Sakramenti ya Kipamara, Mwezeshaji ni Frateri Michael Paulo kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino- Peramiho- Jimbo kuu la Songea.

View Details

ungana na Frank Kashonde  katika kipindi cha Maswali Yahusio Imani na mada ni, malengo ya kuanzishwa vyama vya kitume katika kanisa nini?, mwezeshaji ni Frateri Ayuto Kongo Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho- Jimbo kuu la Songea.

View Details

ungana na Mtangazaji Godfrey Balozi katika Kipindi cha Maswali Yahusio Imani, na mada itakayozungumziwa ni kwanini tarehe ya sikuku ya pasaka hubadilika  kila Mwaka, Mwezeshaji ni Frateri Cassian Leba, kutoka Semianari kuu ya Mtakatifu Augustino- Peramiho -Jimbo kuu la Songea.

View Details

ungana Mtangazaji Happyness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi na mada itakayozungumziwa ni, Juu ya Kristo Mfufuka Mpatanishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula, Mkurugenzi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Mtangazaji Fredy William  katika kipindi cha Katekisimu katoliki shirikishi na mada itakayo zungumziwa ni juu ya muendelezo wa Ufufuko, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu kutoka- Bunena-  Mkoani Kagera. 

View Details

Ungana na Mtangazaji Happyness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu katoliki Shirikishi, na mada inayozungumziwa leo ni Haki ya ndani ya Mwili wa Kristo, Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

ungana na Watangazaji, Cellina Joseph, Radio Tumaini, Erick Paschal Radio Maria, Patrick Tibanga Radio Mbiu, katika Kipindi cha Ijue Litrurjia na mada inayozungumziwa leo ni Siku nane za kuadhimisha sherehe ya Pasaka. Mwezeshaji ni Padre Paul Chiwangu Mkurugenzi wa Idara ya Litrurjia kutoka Baralaza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC.

View Details

Ungana na Mtangazaji Fredy William katika Kipindi cha Elimu Jamii na mada itakayozungumziwa leo ni ‘Maadili na Uadilifu katika Jamii, Mwezeshaji mada ni Richard Samilla, Mkuu wa Dawati la Elimu kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania, TAKUKURU   Mkoa wa Manyara.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika Kipindi cha Ijue sheria, na mada itakayozungumziwa leo ni, talaka na taratibu zake, Mwezeshaji ni Mh Hassan Mlanga, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Iringa Mjini.

View Details

Ni siku nyingine tena njema Msikilizaji wangu mpendwa nikikualika ujumuike na Padre Ladslaus Mgaya wa Jimbo Katoliki Njombe katika kipindi cha Sheria za Kanisa.

View Details

Ungana na Mimi Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama Sehemu ya Kwanza na hasa tukiwa katika mashangilio ya kufufuka Bwana.

View Details

Mimi ni Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka hapa Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, ninakualika uungane nami katika kipindi cha Maswali yahusuyo imani kupitia Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana nami Frateri Ayuto Congo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho katika kipindi cha Maswali ya Imani.

View Details

Je ni ipi tofauti ya dini ya  Uislamu na dini ya Ukristo.
Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba yuko hapa nami Patrick Tibanga kuendelea kuimulika Historia ya Kanisa ulimwengu mzima.

View Details

-Ungana na Mtangazaji Patrick Tibanga na Mhashamu Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ambapo leo tuko naye Frateri Benedict Lazaro kutoka Seminari kuu ya Peramiho akijibu swali la Msikilizaji juu ya Mshumaa wa Pasaka.

View Details

Ungana na Mtangazaji  Happyness Mlewa katika kipindi cha  Katekisimu Katoliki Shirikishi na  Leo mada inayozungumziwa ni  juu ya usiogope Bwana amefufuka, Mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania. 

View Details

Na Frt Joseph Thobias – Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Frt Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea

View Details

Na Padre Titus Amigu Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu – Sauti Mwanza

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Na Frateli Oscar Mwamoto Kutoka Seminari kuu ya Mt. Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya faraja.

View Details

– Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume yuko pamoja nasi tena leo March 22, 2023 katika kipindi cha Historia ya Kanisa Mtangazaji wako ni mimi Patrick Paschal Tibanga.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Erick Paschal Jnr katika kipindi cha Ijue Afya yako kila siku ya Alhamisi.

View Details

-Askofu Method Kilaini anakualika ujumuike naye leo akituongoza tena katika kipindi cha Historia ya Kania muendelezo wa masimulizi jinsi Dola ya Kirumi ilivyosambaratika Mtangazaji wako ni mimi Patrick Paschal Tibanga safiri nasi hadi tamati.

View Details

-March 08, 2023 Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba yuko nasi kwa mara nyingine yuko nasi tena  akituongoza kauangazia Historia ya Kanisa na hasa leo tunaangazia kusambaratika kwa dola ya kirumi.

View Details

Ungana nami Mtangazaji wako Erick Paschal Jnr katika kipindi cha Chakula na Lishe ambapo nimekuwa na wasaa mzuri wa kuzungumza na Mtaalamu wa Lishe Bi.Elizabeth Lymo pamoja na Daktrari Bingwa wa magonjwa ya Figo Dr.Gavin Kweka juu ya ugonjwa wa Figo kwa ujumla wake tafadhali nakusihi jumuika nasi katika kujifunza.

View Details

Mimi ni Martin Joseph ninayo furaha kukualika ufuatane nami katika kipindi cha Amka na Mama leo.

View Details

Ungana na Mtaalamu wa maandiko matakatifu Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augutsino SAUT katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia leo March 22, 2023.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa leo March 01, 2023.
Mtangazaji ni Mimi Patrick Paschal Tibanga.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa leo February 22, 2023.

Mtangazaji ni Mimi Patrick Paschal Tibanga.

View Details

Mimi ni Happy Mlewa nakusihi uungane nami leo katika Kipindi cha Amka na Mama hasa tukiwa katika Tafakari hii ndani ya kipindi cha Kwaresima.

View Details

Ungana na Mhashamu Method Kilaini, Askofu na Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba, katika kipindi cha Historia ya Kanisa leo February 15, 2023.

View Details

Ungana na Mtangazji  Happy  Mlewa katika Kipindi cha Pili cha Amka na Mama, tukiwa bado  ndani  ya kipindi cha Kwaresima.

View Details

Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama   Sehemu ya kwanza   hasa tukiwa  kipindi cha Kwaresima.

View Details

-Ungana na Martin Joseph katika kipindi cha Ijue Sheria, Mada inayozungumziwa ni Kuhusiana na Mirathi, muwezeshaji ni Mh Mecy Katavi,Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Iringa Mjini. 

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC 

View Details

Ungana na mtangazaji Brigitha Henry Msasalaga katika Kipindi  cha  Chakula na Lishe, Mwezeshaji wa kipindi hiki Bi. Nyamizi Julias kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC).

Mada inayozungumziwa ni Umuhimu wa ulaji wa Mbogamboga na Matunda.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mwenge.

View Details

Na Frateri Ayubu Polycarp Mwashibili wa Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya anayefanya  majioundo yake katika Seminari Kuu ya Mt.Augustino Peramiho, Songea.

View Details

Na Frt Erasto Mwangoka Seminari ya Mt Augustino Peramiho – Songea  

View Details

Na Frateri Benedict Lazaro Luvanga kutoka Seminari Kuu ya Mt. Augustino Peramiho, Songea.

View Details

Na Padre Richard Matanada Tesha – Parokia ya Mrao Rombo Jimbo katoliki Moshi

View Details

Na Frt Ayub Mwashibili Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho – Songea

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Liturujia TEC

View Details

Afisa katika dawati la Elimu kwa umma ofisi ya Takukuru  Mkoa wa Manyara

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Kagera 

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera

View Details

Na Rajab Teremkeni Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Iringa Mjini

View Details

Na Richard Samila Mkuu wa Dawati la Elimu Takukuru Manyara 

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu

View Details

Na Richard Samila Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma TAKUKURU Mkoa wa Manyara

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Frt Petro Josepthat Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho Songea

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Frt Moses Mwanuke Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo Katoliki Iringi

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo la Iringa

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya kutoka Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo la Iringa

View Details

Na Frt Sanko kutoka Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo Katoliki Iringa 

View Details

Na Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo RMTz 

View Details

Na Frt. Ayubu Polycarp Mwashibili Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho

View Details

Na Richard Samila Mkuu wa Dawati la Elimu Takukuru Mkoa wa Manyara

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo RMTz

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matagazo RMTz

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Litrujia TEC

View Details

Na Frateli Athor Ernest Mlelwa Seminari Kuu ya Mt Augustino  

View Details

Na Frateli Samson Mahinya – Seminari Kuu ya Mt Augustino Peramiho Songea

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Padre Gidion Kitamboya 

View Details

Na Padre Titus Amigu Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu SAUT – MWANZA

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Richard Samila Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma Takukuru Mkoa wa Manyara

View Details

Na Padre Dominic Mavula Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Frt Cassian Leba Jimbo Kuu la Mbeya

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu 

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo la Iringa

View Details

Katika kipindi hiki cha Maajilio ungana nami Happiness Mlewa katika wasaa huu mzuri wa kipindi hiki cha Amka na Mama kupitia Radio Maria Tanzania sehemu hii ya Kumi.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Frateri Erasto Mwangoka kutoka Seminari kuu ya Mt.Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea.

View Details

_Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Katika kipindi hiki cha Maajilio ungana nami Happiness Mlewa katika wasaa huu mzuri wa kipindi hiki cha Amka na Mama kupitia Radio Maria Tanzania sehemu hii ya Tisa.

View Details

Katika kipindi hiki cha Maajilio ungana nami Happiness Mlewa katika wasaa huu mzuri wa kipindi hiki cha Amka na Mama kupitia Radio Maria Tanzania sehemu hii ya nane.

View Details

_Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Katika kipindi hiki cha Maajilio ungana nami Happiness Mlewa katika wasaa huu mzuri wa kipindi hiki cha Amka na Mama kupitia Radio Maria Tanzania sehemu hii ya saba.

View Details

Ungana nami Happiness Mlewa katika wasaa huu mzuri wa kipindi hiki cha Amka na Mama kupitia Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Mhashamu Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa.

View Details

Na Mhashamu Askofu Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe.

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia TEC

View Details

Na Godfrey Mkaikuta Pro Life Tanzania

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwana Sheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la iringa

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

View Details

Ungana na Erick Paschal akizungumza na wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari kuangazia nafasi ya vyombo vya habari katika kuzuia ukatili wa kijinsia.

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Litrurjia ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba.

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Wakili Msomi Upendo Mjengwa kutoka Chemba ya Legal Avenue  Studio mtangazaji ni Julieth Muunga.

View Details

Na Wakili wa Mahakama kuu ndugu Hardson Mchau akiwa pamoja na mtangazaji Erick Paschal Jnr.

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

▪︎Na Frateri Franco Abel Ubamba, kutoka Seminari Kuu ya Mt.Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu

View Details

Na Wakili Msomi Upendo Mjengwa na Jackline Daniel kutoka Chemba ya Legal Avenue iliyopo Dar es Salaam, nchini Tanzania.

View Details

_Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki Bukoba & Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Bukoba

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini, Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal Jnr akiwa na Wakili Wa Mahakama Kuu Ndugu Hardson Mchau wakitazama Sheria Ardhi nchini Tanzania na hasa  Ya Mahakama Zenye Hadhi Ya Kusikiliza Migogoro ya Ardhi Tanzania.

View Details

Je! Sheria inasemaje kuhusu mali za ndoa? Wakili wa Mahakama Kuu Hardson Mchau yuko nasi akituongoza kutazama kwa kina mada hii.

View Details

Na Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi Bi.Doris Katana kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC).

View Details

Na Padre Cyrill Mollel wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Frateli Richard Joseph Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya

View Details

Na Padre Innocent Bahati  Mushi OFM Cap.

View Details

Na Frateri Oscar Mwamoto akiwa katika katika Parokia ya Mt Stephano-Mbalizi Jimbo Kuu Katoliki Mbeya.

View Details

Na Frateri Ayoub Polycarp Mwashibili wa Jimbo Kuu Mbeya.

View Details

Na Parde Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Karibu katika kipindi cha Walinde Watoto kupitia Radio Maria Tanzania. _Mtangazaji ni Itonzile Hilary Bwagidi _Mtayarishaji ni Brighita Henry Msasalaga.

View Details

Furaha yangu kwako Msikilizaji ni kuendelea kukualika  kuwa nasi katika matangazo haya na hasa kipindi hiki cha Amka na Mama hivyo nakualika uwe nami katika sehemu hii ya tano ya kipindi cha Amka na Mama.

View Details

Mimi ni Goreth Lwamuzigu ninakualika katika sehemu ya kwanza ya kipindi cha Habari za Kanisa leo October 01, 2022.

View Details

Asante kwa kuendelea kuwa nami, karibu katika kipindi cha Amka na Mama sehemu ya nne

View Details

Na Mtayarishaji & Mtangazaji wako Martin Joseph.

View Details

Ungana na Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama sehemu ya pili.

View Details

Karibu katika kipindi cha Amka na Mama Sehemu ya kwanza kilichotayarishwa na kuletwa kwako na mtangazaji Martin Joseph.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Daktari Sillas Ngowe wa Hospital ya Rufaa ya Mtkatifu Francisco-Ifakara

View Details

Na Frateri Samson Emilian Mahinya kutoka Parokia ya Uyole  Jimbo Kuu Katoliki Mbeya.

View Details

Na Padre Fabian Ngeleja wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Karibu tusali kwa pamoja Rozari Takatifu ya Huruma ya Mungu, iliyoimbwa na baadhi ya waamini nchini Tanzania.

View Details

Ungana na mtangazaji Erick Pascal akizungumza na Meneja wa uzingatiaji na utekelezaji wa sheria ya mazingira (NEMC) Bi. Ndimbumi Joram kuangazia katazo la mifuko ya plasiki nchini Tanzania kwa upande wa mafanikio na changamoto zake.

View Details

Na Happiness Mlewa

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi wa Jimbo Katoliki Bukoba

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo Katoliki la Iringa

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Frateri Benedict Paschal Ndinde .

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal akiendelea kuangazia masuala mbalimbali kuhusu utunzaji na uhifadhi wa Mazingira.

View Details

Na Afisa Lishe Mtafiti Fatma Mwasora kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo Katoliki la Iringa

View Details

Na Mhashamu Method Kilain Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Mhashamu Methodi Kilaini Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba kupitia kipindi cha Historia ya Kanisa.

View Details

Na Mhashamu Methodi Kilaini Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba kupitia kipindi cha Historia ya Kanisa.

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi OFM Cap akiwa Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo Katoliki Iringa

View Details

Na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Isimani Jimbo la Iringa

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi OFM Cap anayefanya utume wake Chuo Kikuu cha Mwenge Jimbo la Moshi.

View Details

Ungana Na Mtaalamu wa Lishe Mary Ngilisho na Mtangazaji Erick Paschal Jnr wakiangazia mada ya Unafahamu Ulaji Unaofaa na Mtindo Bora wa Maisha

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal Jnr akiwa na Mtaalamu wa Lishe Bi.Rose Msaki kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) wakiangazia umuhimu wa Lishe na Virusi vya Ukimwi.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Padre Titus Amigu Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Frateri Oscar Mwamwoto wa Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya.

View Details

Ungana na Erick Paschala akiwa na Mwanasheria Waziri Hemed wakiangazia kwa kina juu ya Usawa wa Kijinsia.

View Details

Na Frateri Daudi Wiranga Wa Jimbo Katoliki la Musoma.

View Details

Na Frateri Oscar Mwamoto Kutoka Jimbo Kuu La Mbeya.

View Details

Na Mheshimiwa Jackson Banobi Hakimu kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Iringa na Msaidizi wa Sheria wa Jaji.

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Mkurungenzi wa Radio Mbiu na Paroko wa Parokia ya Kaazi

View Details

Ungana na Radio Maria Tanzania Katika Kipindi cha Walinde Watoto wakiangazia Namna ya Kukabiliana Na Umaskini Na Tabia Hatarishi Kwa Watoto. Mtangazaji wa Kipindi ni Itonzile Hilary Bwagidi Mtayarishaji na Msimamizi ni Brighita Henry Msasalaga.

View Details

Na Frateri Emmanuel Maganga Wa Jimbo Kuu la Mwanza.

View Details

Na Askofu Msaidizi Method Kilaini Wa Jimbo Katoliki La Bukoba.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba

View Details

Na Frateri Ayoub Polycarp Mwashibili Wa Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya

View Details

Ungana Mwalimu Verane Mushi na Eliuter Kobello katika kipindi cha Utume wa Walei kuangazia mada ya Mlei Na Uongozi Ndani ya Kanisa.

View Details

Erick Paschal Jnr alipata nafasi ya kuwa na mjadala na wanafunzi wa Sekondari ya Mwenyeheri Anwarite Makoka Dsm kuangazia changamoto mbalimbali zinazo yakabili mazingira katika jamii wanazoishi ungana naye katika kujifunza na kuelimika.

View Details

Na Frateri Emilian Samson Mahinya Kutokea Parokia ya Uyole Jimbo Katoliki la Mbeya.

View Details

Na Frateri Emilian Mahinya Wa Jimbo Kuu La Mbeya.

View Details

Na Padre Titus Amigu Wa Jimbo Katoliki la Lindi.

View Details

Na Padre Innocent Bahari Mushi O.F.M Cap  Kutoka Jimbo Katoliki la Moshi

View Details

Na Frateri Emilian Mahinya Kutoka Seminari Kuu Ya Mt.Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki la Songea.

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi O.F.M Cap Kutoka Chuo Cha Kikatoliki Mwenge (Mwecau)

View Details

Na Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi Walbert Mgeni Kutoka Taasisi Ya Chakula Na Lishe (TFNC)

View Details

Na Frateri Mlelwa wa Jimbo la Njombe

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Kutoka Jimbo La Njombe

View Details

Na Mhashamu Josaphat Lebulu Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha.

View Details

Na Daktari Projestus Sitta wa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Francisco Ifakara-Morogoro

View Details

Na Frater Abel Maduka wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza.

View Details

Na Daktari Projestus Sitta wa Hospitali ya Rufaa ya Mt.Francisco Ifakara Mkoani Morogoro.

View Details

Na Daktari Sillas Sebastian Ngowi kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mt.Francisco Ifakara.

View Details

Na Frateri Emanuel Shija Enock.

View Details

Na Daktari Pojestus Sitta wa Hospitali ya Rufaa ya Mt.Francisco Ifakara Mkoani Morogoro.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Daktari Shaffih Kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mt.Francisco Ifakara Morogoro.

View Details

Na Mhashamu Method Kilaini Askofu Msaidizi Wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Hildegarda Mrema Msaidizi wa Kumbukumbu wa Hakimu kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Iringa.

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Kigoma.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Frateri Kasian Leba wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga

View Details

Na Frateri Kassian Lebba wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Ungana na Mtangazaji Erick Paschal katika Kipindi cha Mazingira yetu kila siku ya Jumatano kupitia Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Frateri Ayoub Polycarp Mwashibili wa Jimbo Kuu La Mbeya.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Na Frateri Ayoub Polycarp Mwashibili wa Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya.

View Details

Na Mhashamu Askofu Mkuu Mstaafu Josephat Lebulu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha.

View Details

Na Mwalimu Verane Mushi Mjumbe wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

View Details

Na Mtaalamu wa Lishe Elloy Sigala Kutoka Taasisi ya Chakula Na Lishe Tanzania (TFNC)

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini Wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Mtangazaji Jackline Mollel Mwakilishi wa Radio Maria Tanzania Jimbo Kuu La Arusha.

View Details

Na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu&Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya wa Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Kutoka Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya wa Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria ya Kanisa Kutoka Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Mhashamu Askofu Mkuu Mstaafu Josephat Lebulu wa Jimbo Kuu la Arusha.

View Details

Na Mtangazaji Agatha Kisimba

View Details

Na Padre Paul Chiwangu kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Litrurjia Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)

View Details

Na Mwalimu Damian Ndimbo Mjumbe wa Kamati ya uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.

View Details

Na Padre Titus Amigu kutoka chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jijini Mwanza.

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi OFM Cap kutoka Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Ifahamu Historia ya Kanisa ya Kaisari Aurelius | Na Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba

View Details

Na Padre Dominick Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Ungana na Erick Paschal Jnr na Mhadhiri Ngogo M. Ngogo wa Chuo Kikuu cha Mt.Augustino (SAUT) Mwanza katika kipindi cha Mazingira yetu.

View Details

Na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia kuangazia Sheria,Haki na Adhabu kwa mujibu wa Biblia takatifu.

View Details

JE! WAZIFAHAMU SHERIA HAKI NA ADHABU KATIKA BIBLIA? Ungana na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia kuangazia Sheria,Haki na Adhabu kwa mujibu wa Biblia takatifu.

View Details

JE! UNAFAHAMU NAMNA YA KUHIFADHI TAKATAKA? Ungana na Erick Paschal Jnr na Mhadhiri Ngogo M. Ngogo wa Chuo Kikuu cha Mt.Augustino (SAUT) Mwanza katika kipindi cha Mazingira yetu.

View Details

Je! Jamii yetu imebadilika kimtazamo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ambapo  wanaume kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanawake na pia wanawake kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanaume.

View Details

Je! Jamii yetu imebadilika kimtazamo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ambapo  wanaume kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanawake na pia wanawake kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanaume.

View Details

Na Mmisionari Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania.

View Details

Je! unaifahamu Historia ya Kanisa Katoliki chini ya aliyekuwa Kaisari Trajano kiongozi wa kirumi? Nakualika usafiri na  Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba pamoja na Mtangazaji Patrick Tibanga kupitia kipindi cha Historia ya Kanisa.

View Details

Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba Leo June 15 2022 kuendelea kuangazi Historia ya ulimwengu mzima

View Details

Je! unaifahamu nafasi ya mlei katika Uongozi wa Kanisa?

View Details

Je! unaifahamu nafasi ya mlei katika Uongozi wa Kanisa? Ungana na Mtangazaji Erick Paschal na Waalimu Damian Ndimbo na Eleuter Kobelo

View Details

Na Mafarteri wa Seminari Kuu ya Mt.Paulo Mtume wa Jimbo Kuu la Tabora.

View Details

Je! unautambua wajibu wa dereva inapotokea ajali Barabarani?

View Details

Na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi pamoja na Mtangazaji Erick Paschal Jnr.

View Details

-Ungana na Mwalimu Verane Mushi pamoja na Mtangazaji Erick Paschal Jnr katika kipindi cha Utume wa Walei kupitia Radio Maria Tanzania wakiendelea kuangazia mada ya Walei na Utoaji.

View Details

Na Padre Leonard Maliva  Paroko wa Parokia ya Isimani  na Mkurugenzi wa Utume wa Walei wa Jimbo Katoliliki la Iringa

View Details

Ungana na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi  akiwa chuo kikuu cha Mt.Augustino (SAUT) Jimbo Kuu la Mwanza.

View Details

Ungana na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi katika kipindi cha Jukwaa la Vijana na Ujasiriliamali

View Details

Jifunze faida za unywaji wa maziwa katika mlo wako wa kila siku.

View Details

_Na Mhashamu Askofu Mstahiki  Damian Kyaruzi wa Jimbo Katoliki Sumbawanga leo June 08 2022

View Details

Leo Jumatatu June 06 2022 Na Mhashamu Askofu Mstahiki Damian Kyaruz wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga.

View Details

Ungana na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika kipindi cha Historia ya Kanisa leo June 01 2022.

View Details

Je! unafahamu matumizi ya namba 116? katika kuhakikisha tunawalinda watoto wetu katika jamii yetu.

View Details

Na Mwanasheria Joselin Josephat | Muongozaji wa kipindi ni Erick Paschal kupitia Radio Maria Tanzania

View Details

Je! unafahamu juu ya Sherehe ya Pentekoste? Ungana na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Baraza la Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) kujifunga hayo ni mengineyo mengi katika safari ya maisha ya kiroho.

View Details

Tafakari ya siku na Mhashamu Askofu Mstaafu Damian Kyaruzi wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga leo June 01 2022

View Details

Ungana na Mtaalamu wa maandiko matakatifu Padre Titus Amigu akijibu swali la msikilizaji lisemalo Je! sadaka ya kweli ni ipi ni kupitia kipindi cha Ujumbe wa Biblia.

View Details

Ungana na Padre Dominic Mavula C.PP.S katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa akiangazia mada ya Mungu Roho Mtakatifu na kwa namna ya pekee umuhimu wa Ibada kwa Roho Mtakatifu.

View Details

Ungana na Padre Innocent Bahati Mushi  katika kipindi cha Fahamu wito wako akizungumzia Utukufu wa Ndoa na Familia.

View Details

Ungana na Mhashamu Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Lebulu wa Jimbo Kuu la Arusha katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa kuangazia Umuhimu wa tunda la Roho Mtakatifu la Uvumilivu na Subira.

View Details

-Je!Unywaji/Matumizi  ya pombe ni dhambi?  Na Padre Titus Amigu Kutoka Chuo kikuu cha Mt.Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza.

View Details

Na Mwalimu Verane Mushi na Eliuter Kobelo Wajumbe wa Kamati ya uinjilishaji Jimbo Kuu La Dar es salaam.

View Details

-Je! unautambua ushiriki wa jamii katika kuzuia ajali?

View Details

-Je! unazifahamu haki za mteja anapofika mahakamani? -Mwezeshaji ni Afisa Tawala wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa Noel Shao Muongozaji wa kipindi ni Erick Paschal.

View Details

-JE!UNAZIFAHAMU ATHARI ZA UHARIBIFU WA MAZINGIRA? -Jumuika na Mtangazaji Erick Paschal akiwa na Dkt. Noah Makula wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakitazama athari za uharibifu wa mazingira kwa kina na upana wake

View Details

Na Mhashamua Askofu Mstaafu Damian Kyaruzi wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga

View Details

_Na Padre Paul Chiwangu Kongocha Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

View Details

May 25 2022 -Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Litrurjia Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) -Mada ni Sherehe ya Kupaa Bwana

View Details

Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Leo May 26 2022.

View Details

-Na Padre Dominic Mavula C.PP.S leo May 25 2022

View Details

-Leo May 24 2022  -Na Mmisionari Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania. -Mada ni Mafumbo ya Bikira Maria msaada wa wakristo sehemu ya pili.

View Details

-Leo May 23 2022  ungana na Mmisionari Padre Dominic Mavula C.PP.S  -Mada  ni Bikira Maria Msaada wa Wakristo sehemu ya kwanza

View Details

-Leo May 25 2022  ungana na Mhashamu Baba Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

May 25 2022 na Padre Titus Amigu akiwa chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT)

View Details

Na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi.

View Details

-Mada ni: Stadi za Usafi wa Moyo ni Nguzo yetu

View Details

Na Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi -Je!umewah kuona mashaka katika safari ya Mafanikio?

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi OFM Cap akiwa Chuo kikuu kishiriki Mwenge (MWECAU)

View Details

May 20 2022

View Details

_Na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mt.Augustino (SAUT) Jimbo Kuu La Mwanza.

View Details

Na Mwanasheria wa Kanisa Padre Ladslaus Mgaya kutoka Jimbo Katoliki la Njombe

View Details

_Tafakari ya Idara ya Uchungaji katika lishe na huduma za kiroho

View Details

_Na Mhashamu Askofu Mstaafu Damian Kyaruzi wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga.

View Details

_Na Mhashamu Askofu Mstaafu Damian Kyaruzi wa Jimbo Katoliki  la Sumbawanga leo May 23 2022

View Details

_Na Padre Dominic Mavula C.PP.S  1.Kwanini Tunamuita Bikira Maria Msaada wa Wakristo ?

View Details

Je! nini Maana ya Mazingira katika muktadha wa Sheria,Sera na Waraka wa Baba Mtakatifu wa Laudato Si?

View Details

_Karibu katika muendelezo wa kipindi cha Maisha ni safari May 14 2022 ukiwa nami Frank Kashonde.

View Details

Na Watoto May 22 2022

View Details

_Na Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu &Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

Na Daktari Wilbert Bujingwa pamoja na Daktari  Projestus Sita kutoka Hospitali ya Mt.Francisco -Ifakara

View Details

Na Padre Innocent Bahati Mushi

View Details

-Na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi anayefanya utume wake Jimbo Kuu la Mwanza katika Chuo Kikuu cha Mt.Augustino (SAUT)  mafundisho haya ameyaongoza leo  May 16 2022.

View Details

Na Mwanasheria wa Kanisa Padre Ladslaus Mgaya kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

-Je! una ufahamu gani juu ya Sheria ya uhifadhi wa Mazingira ya Nchini Tanzania?  ungana  na Mtangazaji Erick Paschal & Lilian Kapakala Afisa Mazingira Mwandamizi kutoka Baraza la Mazingira (NEMC) wakizungumzia kwa upana Sheria ya Mazingira ya nchini Tanzania.

View Details

Je!unaufahamu wajibu wa Mahakama kwa Mteja na Mteja kwa Mahakama ?

View Details

Kipindi cha Utume wa  Walei kupitia Radio Maria Tanzania kikiangazi mada ya Walei na Utoaji May 06 2022

View Details

Ujumbe wa Biblia na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi anayefanya utume wake Jimbo Kuu la Mwanza Chuo Kikuu cha SAUT.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu&Paroko wa Parokia ya Kaazi  Jimbo Katoliki la Bukoba

View Details

-Historia ya Kanisa May 11 2022 na Mhashamu Method Kilaini maswali na majibu kutokana na maswali mbalimbali.

View Details

Ufahamu umuhimu wa ushiriki wa Jamii katika Afya ya Mama Na Mtoto

View Details

Kipindi kinakujia kila siku ya Jumapili kuanzia saa 8:00-Saa 08:55 mchana na marudio yake kila siku ya Jumatatu Saa 04:00-04:55 usiku.

View Details

Na Radio Maria Tanzania

View Details

_Na Padre Ladslaus Mgaya Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki la Njombe.

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki La Bukoba mapema May 05 2022

View Details

Na Daktari Kazimoto Kazimoto wa Hospitali ya Rufaa ya Mt.Francisco-Ifakara

View Details

Na Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba.

View Details

-Na Afisa Lishe Mwandamizi Luitfrid Nnali kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) -Mtangazaji&Mwongozaji wa kipindi ni Erick Paschal Jnr.

View Details

Na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi

View Details

Mtangazaji ni Erick Paschal na Mwezeshaji wa kipindi ni Padre Richard Matanda Tesha wa Jimbo Katoliki la Moshi.

View Details

Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji Idara ya Litrurjia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

View Details

Na Padre Deodatus Katunzi Kagashe-Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja na Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki la Bukoba >Mtangazaji na Mwongozaji wa kipindi ni Fredy William.

View Details

Katekisimu Katoliki Shirikishi kilichoongozwa na Padre Dominic Mavula C.PP.S mapema April 28 2022.

View Details

Kipindi cha Ijue Afya yako kinakujia kila siku ya Alhamisi kuanzia saa 11:05 Asubuhi hadi saa 12:00 mchana kupitia Radio Maria Tanzania.

View Details

Historia ya Kanisa na Mhashamu Askofu Msaidizi Methodius Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba. Mwongozaji wa kipindi ni Patrick Paschal Tibanga.

View Details

Na Padre Titus Amigu wa Jimbo Katoliki la Lindi anayefanya utume wake Jimbo Kuu La Mwanza Chuo Kikuu cha Mt.Augustino (SAUT)

View Details

Ambatana na Mhashamu Askofu Msaidizi Methodius Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika kipindi cha Historia Ya Kanisa ambapo anajibu maswali mbalimbali ya Kihistoria na Litrurgia uliyomuuliza katika vipindi mbalimbali.

View Details

Je! unaifahamu mifumo ya kitehama Mahakamani na hasa Mahakama za nchini Tanzania? Ungana na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Mahakama Kuu Kanda ya Iringa ndugu Paschal Lusako Mwangonda katika kipindi cha IJUE SHERIA  kupitia Radio Maria Tanzania. Muongozaji wa kipindi ni Erick Paschal.

View Details

Na Padre Dominic  Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Radio Maria Tanzania

View Details

Karibu ujumuike nasi katika kipindi cha JINSIA NA MAENDELEO kupitia Radio Maria Tanzania kilichofanyika June 04 2021 katika kipindi hiki tulipata wakati mzuri wa kuzungumza na Mama Mercy Silla ambaye yeye ni Mwenyekiti wa chama cha wanawake wafanyabishara Tanzania (TWCC).

View Details

Karibu katika kipindi cha ijue sheria na juma hili maada ni Muundo wa mahakama na MabarazaTanzania

View Details

Karibu usikilize kipindi cha usalama bara baranina katika kipindi hiki utasikia mengi kuhusiana na ukaguzi wa magari na kumbuka pia tupo katika wiki ya nenda kwa usalama barabarani na kauli mbiu ni

“HATUTAKI AJALI TUNATAKA KUISHI SALAMA”.

View Details

Katika kipindi hiki utapata kusikiliza undani wa mikataba mbalimbali na pia ni vitu gani vya kuzingatia wakati wa kuingia katika mikataba hiyo;

View Details

Ili kuwa na afya bora karibu upate elimu juu ya masuala ya lishe bora na mlo kamili.

View Details

Sheria za Mirathi: Namna ya kuandika wosia, na faida zake.

View Details

Uongo unavyoweza kutukosesha Mbingu, lakini kupitia huruma ya Mungu tunarudishiwa tena baraka za kupata Ufalme wa Mbinguni.