Wanner fm ni radio yako inayokufikia kwa masafa ya online+pia tuna kipindi kimoja tu kinaitwa full time power 24/7 kina session 3;ambazo NI_BACKTOSCHOOL +THE REQUEST +TIKTALK _Tunaomba sapoti yako msikilizaji kusikiliza na kushare na wengine Kama unahitaji kutangaziwa matangazo yako mda ndio huu kwa bei nafuu sana ungana nasi kwenye mitandao ya kijamii for any question
Baada ya kutoka Tamasha kubwa la sauti za busara Wanner Radio Tumefanya Exclusive interview with Man P kutokea mapanya band Leo atasikika hapa kwenye full time
Exclusive Interview With Man P kutokea mapanya band baada ya kurudisha heshima #SAUTIZABUSARA Leo ninaongea na Man P wa Mapanya kuhusu Safari yao ya Muziki
Mapanya band baada ya kurudisha heshima #SAUTIZABUSARA Leo ninaongea na Man P wa Mapanya kuhusu Safari yao ya Muziki