Kufikia wasiofikiwa na kugusa wasio guswa kwa Injili ya Kiumbe Kipya ya Bwana wetu Yesu Kristo. Rhapsodi ya Uhakika, Afya ya Kiungu, Ukiri wa Imani na Mapitio ya Vitabu ndio maudhuhi ya podcast hii.
Mungu ni chanzo chetu, tumezaliwa neno lake, tumetokana na yeye. Ametuzaa kwa mapenzi yak, sisi na kazi ya mikono yake, limbuko la kwanza la viumbe wake.Tuna uzima wa aina yake, tuna asili yake na tumejazwa kwa Roho wake.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kristo ndani yako nfio maana halisi na mjumuisho mzima wa Imani ya Kristo. ukristo sio dini, ni uhalisia uhusiano wa Mungu na mwanadamu. Ni maisha halisi ya Mungu ndani ya mwanadamu. Ni Uungu katika mwili. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Usijitahidi kuwa kile ambacho tayari upo, tambua wewe ni mshindi, na umezaliwa kwenye mshindi na upaswa kudhihirisha ushindi kila siku. Ni jadi yako, Mila Yako, asili Yako kuishi na kutembea katika ushindi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Umebarikiwa kwa Baraka zote za rohoni katika ulimwengu wa Roho ndani yake Kristo Yesu. Hakuna baraka hata Moja ambayo bado haujapewa. Tembea kwenye uhalisi huu, tembea kwenye kweli hii! Tembea kwenye Nuru hii! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Duniani Mnayo dhiki lakini Jipeni Moyo, mimi Nimeushinda ulimwengu. Yesu ameushinda ulimwengu kwa ajili yako, changamka, kuwa imara.Tembea na ishi maisha ya Ushindi.Ni jadi yako na haki Yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mfahamu Roho Mtakatifu kwa undani kabisa kupitia nakala hii! Roho Mtakatifu ni nafsi hai ya Mungu, yeye ni mfariji wetu, rafiki anaye ambatana nasi kwa ukaribu kuliko yoyote yule katika ulimwengu huu! Mjue binafsi na tembea katika ushirika nae kwa viwango vya kipekee. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe umeungwa na Bwana Yesu, wewe ni kitu kimoja na yeye! Yeye yupo ndani Yako na wewe upo ndani yake. Uzima wake upo ndani Yako leo, wewe umeletwa kwenye daraja la Mungu! Una uzima na asili ya Mungu ndani Yako Leo hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa Kweli hii na tembea katika uhalisi wake, kwamba Yesu ndiye Kristo, ndiye masihi, Mwokozi wa ulimwengu, Neno la Mungu lililofanyika mwili! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni makao ya Mungu, maskani yake. Wewe ni mwakilishi wa Mungu katika ulimwengu wako. Dhihirisha ubora na ukuu wake leo, mtangaze Bwana Yesu kila Mahali ulipo au uendapo. Acha ulimwengu umwone Kristo ndani Yako na kupitia wewe kuanzia leo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa upo ndani ya Kristo kama wewe umezaliwa mara pili. Elewa Kristo ni eneo, ni maskani na upaswa kuenenda ndani yake kupitia neno lake. Neno lake ni Nuru, taa na uhalisi wa maisha yetu ya kila siku. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua ni Kipawa na zawadi kutoka kwa Mungu kwa ulimwengu na sio kwa Wakristo! Kipawa hiki kinakuwa asili yako na uhalisi wako pindi tu unapozaliwa mara ya pili.Kipawa hiki kinakufanya mtawala na hodari katika maisha pale kitambua na kutembea katika Nuru yake. Jifunze zaidi kuhusu Kipawa hiki. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mara ngapi umejishangaa kwamba unafuraha na haujui kwanini!?Furaha ni tunda la Roho ya mwanadamu iliyoumbwa upya na hivyo unapaswa kudhirisha furaha siku zote. Dhihirisha furaha kila siku! Furaha ni kitu cha Muhimu Sana katika Ufalme wa Mbinguni. Jifunze zaidi kupitia episodi hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kuza tabia ya Mungu iliyo ndani ya roho yako kwa kupitia ufahamu na utambuzi wa sifa na tabia za Kiungu na asili yake iliyoko ndani yako.Soma waraka wa Filemoni 1:6 katika matoleo mbalimbali ya biblia upate kuelewa jinsi utambuzi wa vile ulivyonavyo ndani yako katika Kristo Yesu vinavyoweza kuinua maisha yako katika viwango vya juu sana. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Usijaribu kuwa vile ulivyo tayari....Usijitahidi kupata kile ulichonacho tayari... sema tu, Ndiyo. Mfuate Bwana Yesu na atakufanya kuwa mvuvi wa watu. Jifunze namna ya kufuata kupitia somo na ona badiliko la kipekee katika huduma yako ndani ufalme wa Mungu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa wajibu wako ndani ya Mungu. Umeitwa kuzitangaza fadhili za Mungu kila mahali. Umeitwa kumwakilisha yeye kwenye ulimwengu wako.Huu ni wajibu wako kiiungu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Neno la Mungu linauwezo wa kujenga tabia za kiungu ndani Yako kama utalisikia, utaliamini, Ulitafakari na kulifanya kuwa maisha Yako ya kila siku. Wekeza kwenye neno la Mungu na hakika utakuwa na maisha ya ushindi Daima. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni taifa teule, taifa takatifu, jamii ya Mungu, uzao maalumu. Wewe ni milki ya Mungu, wewe sio ajali wala bahati mbaya. Fahamu wewe ni Nani ndani ya KRISTO na ishi katika uhalisi huu! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Alifanyika dhambi yeye asiyejua dhambi...Alichukua asili yetu na kuwa mbadala wetu ili tuchukue asili yake na kuchukua haki yake...Ametufanya kuwa Wana wa Mungu, wenye asili na uzima wa Mungu...Tafakari Kweli hii na tembea katika Nuru hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kuzaliwa mara ya pili ni kigezo dhahiri.Ufalme wa Mwana wa pendo la Mungu ni Ufalme halisi uliopo na unaofanya kazi hata sasa. Fahamu namna ya kuenenda na kuishi ndani ya Ufalme huu kupitia episode hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Bwana Yesu ni Kila Kitu. Bwana Yesu ni uzima wa milele, yeye ni Mungu wa Kweli. Mfahamu zaidi Yesu na utembee kwenye uhalisi Kweli ya neno lake na mapenzi yake kwako. Kristo ndani Yako ni tumaini la Utukufu na ushindi mkuu! Jiandae kushiriki mkutano mkubwa wa uponyaji unaitwa "Mito ya Uponyaji".--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Haki ni zaidi ya kitendo chema kinacholandana na maadili ya Mungu. Haki ni asili ya Mungu. Haki ni namna ya Mungu anavyoona mambo, anavyosikia, anavyofikiri, anavyoitikia na anahukumu! Kupitia Imani ndani ya Kristo Yesu tumehesabiwa haki mbele za Mungu, tumefutiwa hatia na ile hati ya mashitaka imebatilishwa. Amka kwenye Uhalisia huu, tembea kwenye kweli hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Neno la Mungu li hai, limevuviwa kwa uweza na nguvu ya Roho Mtakatifu! Linaweza kusabibisha mabadiliko na uhalisia wa kile linachosema. Litafakari na kulitegemea neno kila siku! Neno la Mungu ndio Uthibitisho Pekee unaohitaji! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Jifunze kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli! Panda juu zaidi, katika viwango vikubwa zaidi vya ushirika wako na Bwana Yesu kupitia ibada zako binafsi kusifu na kuabudu. Imba wa Roho, imba kwa akili pia. Sifu kwa Roho, sifu kwa akili pia. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Simama katika nafasi iliyowazi kwa ajili ya familia yako, shule, mji na taifa lako. Unaweza kusabibisha mabadiliko makubwa Sana kupitia Dua, Sala, maombezi na Shukrani kwa ajili ya jamii Yako. Bariki ulimwengu leo kwa kupitia Sala na maombezi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe haukuumbwa kwa ajili ya shida na tabu, Bali ubora, afya njema na utukufu. Fahamu haki, Stahiki na wajibu wako ndani ya Kristo na Tembea katika halisia za Kweli hizi za ufalme! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Umeitwa katika umilele.Mungu aweka umilele ndani Yako. Wewe ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji.Umeunganishwa na mfumo wa Ugavi wa Mungu....Mafanikio Yako ni dhahiri, halisi na ya kudumu...--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni kazi ya mikono ya Mungu, Mungu alikundalia maisha Bora kwa kabla ya misingi ya ulimwengu kuwepo. Anataka utembee katika ubora, utukufu na ukuu kila siku.Mafanikio, ushindi, afya njema, ustawi na tija ni mpango wake kwa ajili yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu na Neno lake ni wamoja.Fikra yake, sauti yake, mawazo yake yanawakilishwa katika neno lake!Huwezi kutambua sauti yake kama hautambui neno lake. Jifunze neno lake kila siku. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Maisha kwako yana maana Gani!? Shauku Yako kuu ni nini katika maisha!?Kwanini unaishi!? Mustakhabali wa maisha Yako ni nini au ni upi!?Sikiliza rhapsodi hii na chagua kuishi kwa ajili ya Kristo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Isipokuwa umezaliwa mara ya pili hauwezi kuona wala kuingia katika Ufalme wa Mbinguni...Maisha ni jambo la Kiroho, kilichozaliwa kwa Roho ni Roho na kilichozaliwa kwa mwili ni mwili. Fanya sala ya wokovu mara tuu ya Episode hii na uzaliwe mara ya pili leo hii.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni shahidi wa Kristo kwa kizazi Chako....Wewe balozi wa Kristo, shuhuda wa ufalme na Kweli yake...Usikae kimya, usinyamaze, usione haya kwa ajili ya Kristo au injili yake! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kama mtoto wa Mungu unapaswa kuwa na tabia zinamwakilisha Mungu na kumtukuza Mungu wakati wote. Uaminifu, uadili, upole, ukarimu, kiasi, adabu njema, utauwa, ni tabia unazopaswa kuzionyesha wakati wote. Sikiliza podcast hii kila Siku ili ikujenge vema katika tabia za Kitauwa! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kweli ni neno la Mungu Neno la Mungu ni fikra ya Mungu, hekima yake, haki yake, mawazo yake, makusudi yake, mipango yake iliyowasilishwa kwenye maandishi. Ukiijua Kweli, Kweli itakuweka huru. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mpe Bwana sifa na Shukrani, kwa ukuu wake na ubora, kwa fadhili zake na rehema! Yeye ni Mungu mkuu, muumba wa mbingu na nchi! Anastahili sifa, heshima, utukufu na adhama. Mungu wetu ni Bwana na hakuna kama yeye. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Toa kwa moyo wa ukunjufu, bila kulazamishwa, malalamiko au kushurutishwa. Ni heri na baraka zaidi kutoa kuliko kupokea. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Huduma yako na utumishi wako ufanye kwa kupitia uvuvio wa Roho Mtakatifu! Yeye ndio anaweza kutakasa kazi yako na kuifanya ikubalike mbele za Mungu. Fauta maelekezo yake naye atakuongoza katika safari ya ushindi na ukuu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa muunganiko wa Bwana wetu Yesu Kristo na Roho Mtakatifu, ni muunganiko wa Ajabu na kipekee.Bwana Yesu ni mfariji aina ile ile kama Roho Mtakatifu, hao wawili ni kitu kimoja. Roho Mtakatifu ni Baba aliyekuwa ndani ya Bwana Yesu, yeye ndiye Bwana Yesu alikuwa akishuhudia kwamba nayatenda yale ninayomwona Baba anatenda! Soma tena na utafakari injili ya Yohana sura ya 14. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Uzima, afya njema, amani tele, ustawi na ushindi endelevu ni haki Yako ndani ya Kristo. Tumia Kinywa chako kuthibitisha haki hii kila siku katika kila eneo la Maisha Yako. Jiandikishe leo kushiriki ibada mubashara za uponyaji pamoja na mtumishi wetu wa Mungu Mchungaji Chris Oyakhilome, tarehe 15, 16 na 17 ya mwezi March 2024. Tembelea tovuti hii: www.healingstreams.tv/LHS--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kama mtoto wa Mungu, wekeza muda wako wa kutosha kusoma na kutafakari neno la Mungu. Hakika litakupa ushindi na ubora kwenye eneo la Maisha Yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Injili ndio Nuru ya kufungua macho Yao. Wanavyozidi kuisikia injili ndivyo watakavyozidi kutembea kwenye Nuru na kumfahamu zaidi Mungu na mwanawe Yesu Kristo. Endeleza kampeni ya kusambaza injili kila Mahali, fumbua macho ya teenagers wote Tanzania.Jipatie nakala yako ya Teenagers Devotional Bible kwa gharama ya sh.50,000! Itakubariki sana .--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Pasipo Imani haiwezakani kumpendeza Mungu...Imani ni kanuni ya msingi katika Ufalme wa Mungu.Pasipo Imani haiwezakani kunyakuwaliwa....Chochea Imani Yako leo na Hakikisha ipo hai muda wote....--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu. Mwili wako ni maskani yake... Moyo wako ni makao yake, dhihirisha tabia yake, ubora wake na hekima yake kila siku. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kinywa chako ndio kiunganishi kati ya uhalisia wa maisha yako na yale yote aliyokukirimia Mungu katika maisha maisha Yako. Jifunze namna ya kutumia kiunganishi hichi vizuri kwa ajili ya maisha ya ubora, utukufu na ukuu mwingi.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Maneno ni Vitu....Maneno ni malighafi Muhimu na ya msingi Sana katika Ufalme wa Mbinguni...Maneno yanaweza kuamua hatma yako iwe nzuri au mbaya....Maneno yanaweza kubadili mustakhabali wa maisha yako kabisa....Elewa umuhimu wa maneno leo na uyatumie ipasavyo katika Ufalme wa Mbinguni ambamo Leo hii mimi na wewe ni washirika na wazawa.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa kwamba Kanisa la Yesu Kristo hapa duniani ni sehemu ya Ufalme wa Mungu na hivyo linapaswa kufanya kazi zake kama Ufalme zaidi kuliko taasisi. Fahamu kanuni za Ufalme ambao wewe umezaliwa humo na tembea katika ubora na utukufu wa ufalme huu! Fikra na ufahamu wa ufalme ni dhana halisi unayopaswa kutembea ndani yake kila siku. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kuna maisha zaidi ya haya! Hapo Dunia tunapita, kuna zama za Muda mrefu zaidi ya hizi za wakati na ziko mbioni kuanza. Fahamu Kweli hii na Anza kujipanga kwa ajili ya zama hizi kwa maana halisi na dhahiri! Usiishi kama hapa ndio mwisho, Hakika hapa sio mwisho wa maisha! Tunatarajia kusambaza nakala hizi za rhapsodi pale mji wa moshi wa mbio za marathon, kuwa sehemu ya kampeni hii kubwa moshi nzima. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je Unataka kuwa mwerevu, mwenye utambuzi wa hali ya juu wa mambo yote ya kiroho na kimweli!? Basi unahitaji kulitafakari neno la Mungu usiku na mchana. Neno la Mungu linauwezo wa kukupa maarifa, Werevu, mtazamo, fikra na uwezo wa ufahamu wa juu sana kuliko malighafi nyingine yoyote duniani. Liendee neno na litabadilisha kabisa maisha yako, katika namna ya ubora na ukuu! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Roho Mtakatifu anajua kilichobora kwa ajili yako na kwa ajili ya kila mtu ulimwenguni. Anajua kila kitu, anaweza kukuongoza kwenye kila nyanja ya maisha!Yeye ni Bwana wa mikakati, mshauri wa Ajabu. Maarifa na enzi yote ni Yake...--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Hekima ya Mungu ni neno, neno lake limesheni maarifa yake, fikra zake, mtazamo wake, makusudi na mapenzi yake. Tafakari Kweli Yale leo na utembee kwenye hekima ya Kiungu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Vipi siku ukikutana na maneno Yako, utayapenda na kuyafurahia au utayachukia na kuyakimbia!Maneno ni vitu, maneno kielelezo chako, cha mawazo, matarajio na mtazamo wako. Maneno Yako ni wewe mwenyewe! Maneno yako yanabeba utu wako! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kimjazacho mtu, ndicho kimtokacho. Ndani yako kumejaa nini!?Upendo, amani, haki, upole, hekima, wema!? Au kumejaa chuki, Hasira, ugomvi, husuda! Jaza kwa wingi neno ndani Yako na litaonekana na kuthibitika kwenye kila jambo linahusu maisha Yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Unaweza kuliamini neno la Mungu kukujenga na kuzalisha ndani kile linachosema. Neno ni mwongozo, Neno ni Nuru, Neno ni suluhisho. Litumaini neno na litakupatia urithi katikati ya watakatifu! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Hakuna baraka unayotaka ambayo haipo ndani. Kama upo ndani ya Kristo, elewa kwamba umebarikiwa kwa Baraka zote za rohoni. Wewe ni kifurushi cha baraka ni kinachodhihirika kila Mahali.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Neno la Mungu ni kioo, kinachoweza kubadili muonekano wako, Roho, nafsi na mwili. Kila unapojitizama katika hichi Kuna badiliko linatokea kutoka utukufu hadi utukufu, Imani hadi Imani! Tafakari neno la Mungu kila siku uone badiliko lake maishani Mwako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Tembea kwenye afya njema kila siku kwa kufanya ukiri wa AFYA ya KIUNGU kila mara. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je unajua kwamba kama umezaliwa ya pili basi wewe ni kiungo katika mwili wa Kristo na mshirika wa tabia za kiungu na wa-urithi wa watakatifu katika nuru. Hebu gundua kweli hizo leo hii na utembee kwenye hatma yako ndani yake. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kila unachotaka umepewa ndani ya Kristo, kama haki, afya njema, uzima wa milele, ubora, mafanikio, ustawi, ulinzi, mamlaka, amani, na mengine mengi.Gundua Kweli hii na Anza kutembea katika uhalisia wake. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Amini neno la Mungu, lifanyie kazi Hilo neno! Tenda kama neno linavyosema hata kama hisia zako hazikuchochei kufanya hivyo. Afya njema ni haki Yako, idai, isisitize mpaka iwe ni uhalisi wako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unafikiri kuna baraka zimezuiliwa dhidi Yako!? Au unafikiri kuna aina za Baraka ambazo Bwana hajakubariki nazo bado!? Au ni baraka Gani ambayo ungependa kumwomba Bwana akubariki nayo leo!? Jina la Yesu ni tiketi ya Kupokea kila Baraka! Litumie vizuri kuanzia siku ya leo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Jifunze namna ya kutumia neno la Mungu kama Silaha. Uzima na Mauti vipo kwenye nguvu ya Kinywa. Neno ni upanga mkali ukatao pande mbili. Neno linauwezo wa kuangusha Ngome na kutiisha kila fikra kinzani na injili ya Kristo. Tumia Silaha hiyo kutunza mwili wako na afya Yako kupitia ukiri wa AFYA ya KIUNGU.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua kwamba umeketishwa pamoja na Kristo, mkono wa Kuume wa Mungu Baba. Wewe sio wa hivi hivi, wewe ni kiungo katika mwili wa Kristo. Fahamu sehemu Yako na timiza wajibu wako kama mwana wa Ufalme.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni mzao mteule, kuhani wa kifalme. Wewe ni Nuru ya Ulimwengu, ni tawi la mzabibu lizaalo Sana. Fahamu Mahali ulipo sasa ndani ya Ufalme wa Mwana wa pendo la Mungu.Elewa Kweli hii na tembea katika Nuru yake. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je unajua jina la Yesu ni nyenzo, unayopaswa kuitumia kila siku!?Je, unajua Jina la Yesu ni Ngome na Mnara imara, ambapo kila anayekimbilia hapo anakua salama. Jifunze namna ya kuishi kwa Jina La Yesu kwa kufanya yafuatayo: 1. Tambua uzima wa Mungu uliopo ndani yako. 2. Kataa hofu isiwe na utawala tena dhihi Yako. 3. Kiri neno la Mungu juu Yako na juu ya kila hali za maisha. Fahamu ubora na ukuu wan Jina Yesu ili uweze kulitumia ipasavyo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Jiandae kwa Ajili ibada mubashara za uponyaji pamoja mtu wetu wa Mungu Mchungaji Chris Oyakhilome. Ibada hizi zitakuwa mubashara Machi 15 hadi 17, unaweza kujisaji kuanzia saa kupitia tuvuti hii; healingstreams.tvNi haki Yako uwe mzima na mwenye afya njema. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Tangaza Habari njema ya Ufalme wa Mungu kila Mahali. Usikae kimya wala kuonea haya injili ya Kristo. Hii ni nguvu ya Mungu iletayo wokovu kwa kila aaminiye! Hawezi kuamini kabla hawajasikia, hawezi kusikia isipokuwa wameambiwa. Dhamini nakala hizi kupitia lipa namba: 8177098. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kama Kristo Alivyo ndivyo na sisi katika ulimwengu huu! Unaweza kuumba upya Hali, vitu, fursa, nafasi ambazo ziliharibika, ulizopoteza au zilitwaliwa kwako bila idhini Yako. Neno la uumbaji lipo kinywani Mwako, chukua hatua. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu ni Roho, na anajua namna ya kuwasilisha Ujumbe wake rohoni Mwako katika namna ya kipekee kabisa. Ili kupambanua sauti yake unahitaji kulijua neno lake, Yeye na neno lake ni wamoja! Haongei kinyume na neno lake! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Tumeitiwa maisha ya haki na usawa ndani ya Kristo Yesu. Kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji ndivyo maisha yetu ndani ya Kristo yanapaswa kuwa. Ishi ndani ya neno la Mungu, tembea kati uzuri wa utakatifu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, ujua mwanadamu ndio limbuko la Kwanza la Viumbe vyote alivyoumba Bwana Mungu. Umeumbwa kwa ajili ya ukuu, ubora na utukufu.Fahamu umuhimu na ufurahie nafasi Yako.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Yesu ndio kila kitu katika maisha haya. Yeye ndio ukamilifu wa maisha, utoshelevu maisha. Ishi kwa ajili yake, mgundue katika namna ya tofauti na ishi katika Nuru ya Kweli hii! Dhihirisha Upendo wako kwake kwa matendo na vitendo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Tambua Siri ya kuishi katika afya endelevu, mbali na magonjwa, maradhi na maambukizi! Afya njema ni haki ya kila Mkristo na unapaswa kuishika na kutembea katika afya hii! Moyo wa Shukrani ni kanuni kutembea kwenye afya ya Kiungu. Sikiliza maombezi kwa ajili ya wale wanaosumbuliwa na changamoto za kiafya..--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua maana ya Kutembea na Mungu!? Je, unajua umuhimu wake!? Je unajua mifano ya watu waliotembea na Mungu maishani Mwao na mambo makuu waliyoyafanya!? Chukua uamuzi wa kutembea na Mungu kuanzia leo.... --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu anatenda kazi kwa Imani..Roho ile ile ya Imani aliyonayo ndio tuliyonayo leo! Zungumza sawa na kile alichokisema kuhusu wewe au mji wako. Pasipo Imani haiwezakani kumpendeza Mungu. Achilia neno kila siku kwa Kinywa chako. .--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni mwana familia wa Mungu. Wewe ni mwana ukoo wa wazee wa Imani, wa mitume na manabii! Wewe ni mzao mteule, kuhani na mfalme! Jione kama Mungu anavyokuona! Jione katika ukuu na ubora! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Ndani Yako itabubujika mito ya Uponyaji....uzima na afya tele! Jiandae kushiriki nasi katika ibada kubwa kabisa ya Uponyaji pamoja na Mchungaji Chris Oyakhilome mwezi March 2024. Haijalishi Hali imekuwa mbaya kiasi Gani, ibada hii ya Uponyaji itakayorushwa mubashara ni maalumu kwa ajili yako.Walisiliana nasi leo kwa taarifa zaidi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Upole ni tunda la Roho, upole ni tabia njema. Upole sio unyonge wala udhaifu. Upole ni kama dawa nzuri. Upole ni tiba njema ya Roho, nafsi na mwili. Waongoze wengine kwa Kristo kupitia Sala ya wokovu mara baada ya episodi hii ya leo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua kwamba Yesu anarudi hivi karibuni!? Anarudi kuwachukua wale wanaotazamia ujio wake na waliontayari! Vipi wewe upo tayari!? Kama upo tayari, vipi wengine kwenye ulimwengu wako!? Je, wana taarifa hizi!? Tembelea Rhapsody.tv kupata Habari kemkem za namna ya kuwaanda wengine kwa ajili ya ujio wa mara ya pili wa Bwana Yesu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Yeye asiye kusanya na sisi yupo kinyume nasi! Vita hii juu ya nafsi za watu! Mungu hataki hata Mmoja apotee bali wote wafikie toba. Tumia silaha ya maombezi kila mara upajianda kwenda kwenye uinjilisti. Sisi tumeshinda na zaidi ya kushinda. Kama wewe ni teenager Hakikisha unapata biblia hii mahususi kwa ajili yako, itakayo kufanya upende kusoma neno la Mungu kila siku na kuishi katika Nuru yake. Unaweza kuweka order Yako Leo! Nakala Moja ni shilingi Elfu Arobaini na Tano tu. (TZS.45,000/-). --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Maombi maalumu kwa ajili ya Uponyaji wa AFYA ya akili kwa wale wote wenye Msongo wa mawazo, hisia za kuchanganyikiwa, kukata tamaa ya kuishi! Bwana anakuta uwe na afya njema, uwe na uzima tele! Uishi maisha ya ushindi na ukuu! Pokea afya yako, kuwa mzima kuanzia leo! Tembea kwenye Uhuru wa Wana wa Mungu.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kama utakuwa mzima au mgonjwa ni uchaguzi wako! Kama utafanikiwa au utashindwa ni uchaguzi wako. Mungu ametukirimia kila tunachohitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi na utauwa, amani na haki, baraka na mafanikio, afya na siha njema. Tembea kwenye kweli hii leo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fanya Neno la Mungu liwe kipaumbele chako. Lipe nafasi neno la Mungu maishani Mwako kuliko malighafi nyingine yoyote. Lisha Roho Yako kwa neno kila siku. Neno la Mungu linauwezo wa kukujenga na kukupa urithi wako ndani ya Kristo Yesu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Tumehasabiwa haki kwa njia ya Imani. Kama umezaliwa mara ya pili unahaki sawa na Bwana Yesu leo kama yeye Alivyo na haki mbele za Mungu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni Nuru ya Ulimwengu, wewe ni taa ing'aayo sana, inuka na ungaze kwenye ulimwengu wako wote. Ruhusu nuru ya injili ya Kristo idhihirike kipekee kupitia wewe! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kuna uzima tele kwa ajili yako ndani ya Kristo Yesu. Fanya maungamo haya Imani leo hii, ukiwa umeamini na kusadiki kutoka ndani ya Moyo, na hakika utapokea MUUJIZA WAKO. Uponyaji ni haki Yako na ni hamasa ya Mungu uwe mzima mwenye afya tele. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa kwamba unyakuo upo karibu sana kuliko wengi wanavyodhani. Hakikisha unafanya yote yanayopasa ili uwe sehemu ya unyakuo huu wa kwanza! Unyakuo huu ni kwa ajili ya kudhuria Sherehe ya kipekee Sana, bonge la "party", karamu ya kifalme, yenye hadhi ya Kiungu! Natazamia kukuona kwenye karamu hii isiyokuwa ya kawaida. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kupandishwa cheo, hadhi au nyadhifa hakutoki mashariki, au magharibi au kusini, Bali vyatoka kwa Mungu, ambaye kupitia neno lake ametuonyesha namna tunaweza kusabibisha au kuchochea jambo hilo kutokea! Soma mistari maandiko haya na uyatafakari vizuri kabisa: Zaburi 3:3, Zaburi 146:8, Zaburi 27:6--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni Roho, unayo nafsi na unaishi katika mwili! Kama ambavyo unaulisha mwili wako, lisha na roho Yako pia. Jaza kwa wingi neno la Mungu maishani Mwako. Tafakari na ujufunze neno la Mungu kila Siku kupitia rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Uponyaji ni mkate wa watoto. Afya njema ni fungu lako. Yesu Kristo ni yeye yule, leo, Jana na hata milele! Kama aliweza kuponya watu kabla kufa, kufufuka na kupaa, anaweza kukuponya pia Leo hii kupitia makala hii kwa sababu yupo hai ndani yangu na ameivuvia makala hii kwa nguvu yake ya Uponyaji. Pokea uponyaji wako Leo, pokea afya yako leo, pokea Jibu lako katika Jina la Yesu Kristo. https://prayerclouds.org/app/amedelive--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Hahahah .... Je unafahamu ukweli kwamba wewe umezaliwa na Mungu, umetokana na Yeye! Wewe sio wa ulimwengu huu! Kwamba umeketishwq pamoja na Kristo mkono wa Kuume wa Mungu Baba, katika ulimwengu wa Roho!?Kwamba wewe ni mshirika wa tabia na asili ya Mungu, yaani unashiriki katika Uungu kwa mwana wa Mungu!?Pata nafasi ya kutumia Kinywa chako kuzungumza asili yako ya afya njema na ustawi sawa na kile alichosema Mungu katika neno lake kuhisiana na wewe. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
1 Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?2 Juu ya mahali palipoinuka karibu na njia, Penye njia panda, ndipo asimamapo.8 Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.Igundue sauti ya Hekima, ifuuate, itii na utembee kwenye ustawi, mafanikio, ushindi na ubora tele. Katika toleo la leo Kuna Maombi maalumu kwa yeyote mwenye mgonjwa wa Figo! Pokea uponyaji leo na sambaza uponyaji kwa maelfu wanaohitaji. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Upendo wa Mungu umememiminwa kwa wingi moyoni Mwako, Hakika wewe ni mng'ao wa utukufu wake, dhihirisha upendo huo leo, acha nuru yako iiangaze sana, watu wote waone matendo yako mema, wamtukuze Baba yako wa Mbinguni.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fahamu vizuri kuhusu ukuu wa Bwana Yesu! Utawala wake, mamlaka yake na enzi yake! Fahamu kuhusu Ufalme wake unafika mbali kiasi gani na katika zama zipi! Maongeo ya enzi yake hayana mwisho, utawala serikali yake ni wa milele. Hii ni rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima, Januari 23, 2024. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Roho Mtakatifu ni msaidizi na mfariji wakipekee maishani! Mpokee Leo hii na mkaribishe ndani yako, atajaza maisha yako kwa Hekima, maarifa na ubora wa kiungu. Atahuisha mwili wako na kufanya uwe na afya njema daima. Roho Mtakatifu ndani yetu ni faida na nguvu yetu ya ushindani! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu sio chanzo cha magonjwa. Mungu anataka uwe na afya njema, ufurahie maisha na uishi kati Uhuru wenye Haki! Fanya ukiri huu kila mara na tembea kwenye afya njema, bora ambayo ni Stahiki Yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Umeitwa kuhuburi utajiri wa Kristo Usiochunguzika, usiopimika, usiohesabika, usioisha. Utajiri ambao marefu yake, mapana, kimo na kina haviwezi kuelezewa kwa ukamilifu kwenye fikra ya kibinadamu.Tafakari mistari hii: Wakolosai 3:8Warumi 8:171 Wakorinto 3:21Tembea kwenye kweli kila siku kuanzia Leo hii.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Ulimi wako unaweza kutunza mwili wako katika siha njema wakati wote. Tamka maneno sahihi kila siku kuhusu ubora wa mwili wako, tamka afya na uzima kila wakati juu ya mwili wako. Siha njema na afya Bora ipo kinywani Mwako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kataa kuwa mhanga wa shetani na vibaraka wake! Kataa kuishi kwenye kongwa la vifungo vya magonjwa au mashambulizi ya nguvu za Giza! Njoo kwenye Nuru, njoo kwenye Uhuru wa Wana wa Mungu, kwenye Ufalme wa mwana wa pendo lake.Tumia mamlaka uliopewa ndani ya Kristo Yesu na sababisha badiliko katika maisha na ulimwengu wako. Hii Rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kuna hazina kubwa sana ya Mungu ndani, usiopotezee!! Ichoche na itumie kuwabariki wengine! Kunena kwa lugha ni Moja na namna ya kuchochea karama hii! Tumia muda Leo kunena kwa lugha na chochea Upako uliopo ndani yako. Bariki ulimwengu leo wa Karama hii iliyowekezwa ndani yako. Rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unafahamu kweli hii kwamba Kristo ni eneo na kama umezaliwa mara ya pili upo ndani ya eneo hili. Maisha ni jambo la Kiroho na utambuzi wa Kweli hii utakupa nafasi kutembea kwa ushindi na ukuu kama Mungu anatarajia uishi. Hii ni Rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima, Januari 19, 2024.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Uzima na Mauti ipo kwenye nguvu Kinywa chako. Ulimi wako ni lijamu ya mwili wako, unaweza kuongeza siku zako au kuzipunguza kwa kutumia Ulimi huo. Tumia Ulimi huo kutunza afya na siha ya mwili wako kupitia ukiri huu wa AFYA YA KIUNGU. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, jumla ya Shauku Yako ipo kwenye vitu gani!; Ipo kwenye Kazi yako, familia yako, fedha zako, afya yako, kesho yako au kwenye safari yako ya Imani!? Kwa nini unaishi au uishi wa ajili ya nani au kwa ajili nini!? Jaribu kutafakari maswali haya uposikiliza episode hii! Rhapsodi ya Uhakika toleo la Januari 20, 2024.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Taswira halisi ya wewe ni Nani inapatikana katika neno la Mungu. Mungu anataka ujue yote aliyopanga na kuandaa kwa ajili maisha Yako ya ushindi na ukuu! Amekuchagua kipekee kwa ajili ya utukufu wake, wewe ni kazi ya mikono yake! Kazi njema, yenye baraka na thamani mbele zake. Hii ni rhapsodi ya Uhakika toleo la Vijana maarufu kama TeeVo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
You body is the temple of the holy ghost, don't treat it anyhow. Treat it with respect and care. Have this mindset in you, that you Carrier of Divine presence of God. You are his representative, his ambassador. Let every teenager here this truth and experience it's power and glory. This is Rhapsody of realities - TeeVo.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fanya Neno la Mungu kuwa kipaumbele chako, weka umakini wako wote katika nyakati zako za kusoma na kutafakari neno la Mungu. Hii Rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali, umri miaka 6 hadi 12.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu. Wewe ni maskani yake iliyohai, yenye thamani kubwa mbele zake! Kila unapooenda umebeba uwepo wake na nguvu yake. Hii ni Rhapsodi TeeVo maalumu kabisa kwa ajili ya kila kijana duniani.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake. Hakuna wokovu nje ya Kristo Yesu, ulimwengu lazima uje hilo. Tumepewa huduma hii ya upatanisho na lazima tuuambie ulimwengu mzima. Hii na Rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima, Januari 18, 2024. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Elewa maana halisi ya kuabudu kwa vitendo. Kama teenager unapaswa kumwabudu Mungu katika roho na Kweli. Jifunze leo kupitia TeeVo hii na Anza kumwabudu Mungu katika roho na Kweli. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fahamu aina ya Uzima na miasha uliyopokea baada Kuzaliwa mara ya pili! Ni maisha ya kiungu, ni uzima wa milele, uzima wa aina ya Mungu! Baada ya kufahamu hili, sasa unaweza kutembea kwenye Kweli hii, kwenye Uhalisi huu na utaona matokeo ya ajabu na kipekee.Hii ni rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima, pata nakala yako Leo kwa rahisi kabisa. Wasiliana nasi kwa namba hizi: 0736000999.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Safisha moyo wako kwa neno la Mungu! Moyo wako ndio chanzo cha kila kitu katika maisha Yako. Tenga muda kujifunza neno la Mungu kila siku. Rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali, rika la umri kati ya miaka 6 hadi 12.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kataa wasiwasi, kataa mashaka! Wasiwasi ni mshale wa moto, tumia ngao yako ya Imani kuuzima! Telekeza wasiwasi na wala usiruhusu ushike fikra au akili zako. Ruhusu amani ya Kristo itawale akili Yako na moyo wako. Hii ni Rhapsodi ya Uhakika toleo la Vijana maarufu kama TeeVo, umri kati miaka 13 hadi 19. #TeeVo #rhapsodiyauhakika--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kazi yako ya upendo kwa ajili ya Bwana Yesu na injili yake na kanisa lake hapa duniani sio ubatili, inathamani kubwa kwa Mungu na utapata Taji ya Haki, yenye thamani kuu kama tuu hautazimia wala kukata tamaa!Hii ni rhapsodi ya Uhakika toleo la watu wazima, Januari 16, 2024. Tafakari nini utafanya mwaka huu kulinda na kutunza Taji Yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe umetokana na Mungu, na neno lake ndio asili yako, kwa sababu neno lake ni fikra zake, mtazamo wake, mapenzi yake. Tambua asili hii na tembea kwenye udhihirisho wa asili hii kila Siku. Hii ni rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali, umri rika kati ya miaka 6 hadi 12. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Usiruhusu Mauti na madhara yake vitawale maisha yako tena, Yesu Kristo alibatilisha Mauti na kuleta uzima wa milele na kutokuharibika (kutokufa). Tembea kwenye upya wa uzima, ukiwa na afya njema kila siku. Pokea uponyaji na siha njema kwa ajili yako Leo kupitia rhapsodi hii.Mungu ataka uwe na afya njema na uzima tele kila siku na ufurahie uzima huo.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Jifunze kuona kwa macho ya fikra zako au Moja ya rohoni kile ambacho Mungu akupa tayari katika maandiko, kisha kishikilie na kitamke kwa ujasiri ili kidhihirike katika ulimwengu wa mwili. Hii ndio namna ya kutembelea katika uhalisi wa Baraka zako ndani ya Kristo Yesu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mungu alituambia tuombe kwa sababu anataka anatujali na anataka kujibu na kutupa haja za mioyo yetu. Bainisha haja yako kila mara unapokuwa unamwomba Baba Mungu kupitia jina la Bwana Yesu.Hii ni Rhapsodi ya Uhakika toleo la wasomaji wa awali, Januari 15, 2024.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Bwana Yesu alifunua Uungu kwetu kupitia maisha aliyoishi hapa duniani. Alituonyesha fikra ya Mungu Baba, mtazamo wake, mwitikio wake, upendo wake na kila kitu alichofanya kilikuwa ni kudhirisha Haki ya Mungu kwetu. Leo hii tunakapswa kudhihirisha maisha hayo hayo kila siku iitwayo leo. Jifunze zaidi kupitia Rhapsodi hii ya leo! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Hakuna wokovu kwa njia nyingine isipokuwa kupitia Yesu Kristo. Hakuna atayeurithi Ufalme wa Mbinguni isipokuwa amempokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wake. Kila kijana (teenager) anapaswa kusikia Habari hizi. Sambaza Ujumbe huu kwa kila kijana katika ulimwengu wako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Dhihirisha furaha yako kila siku kwa sababu wewe ni mtoto wa Mungu. Furaha ya Bwana ni nguvu yako. Jifunze zaidi katika rhapsodi ya Uhakika toleo hili la wasomaji wa awali, Januari 13, 2024.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kila Mkristo ampewa mamlaka ya kisheria (nguvu ya uwakili) ya kutumia jina la Yesu kwenye kila Hali, namna na mahali. Fahamu kile ilichonacho ndani ya Kristo na kitumie ipasavyo kuishi maisha ya ushindi, ubora na ukuu! Hii ni rhapsodi ya Uhakika, toleo la watu wazima, januari 12, 2024. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua kwamba wewe ni haki ya Mungu ndani ya Kristo Yesu. Hii ni Moja ya Kweli kubwa sana katika biblia na ufununo injili ya Bwana wetu Yesu Kristo. Jifunze leo namna haki inavyokufanya jasiri na shupavu mbele za Mungu, wanadamu na Dunia nzima. Hii na rhapsodi ya Uhakika toleo la TeeVo, vijana rika la miaka 13 hadi 19, la Januari 12, 2024. Hebu chunya hatua leo kuwajulisha maelfu ya Vijana kweli kuhusu wao ni akinani ndani ya Kristo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Baraka za Bwana zinatajirisha na hazina majuto, hazileti majuto! Baraka zake ni za milele, za kutegemewa. Hakika unapata nakala yako Leo kwa ajili watoto wako na jamii inayokuzunguka. Nakala moja ni sh.3000 na unaweza kulipia makumi, mamia na maelfu ya nakala kwa ajili ya kuwa kufikiwa watoto wa kitanzania. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Mgundue Bwana Yesu kwa viwango vya juu zaidi na vipya mbali zaidi ya ulivyokuwa unamdhania au kumfikiria. Yesu ndio wasifu wa halisi wa Mungu. Yesu ndiye taswira ya halisi ya Mungu Baba, ukimwona Yesu umemwona Mungu Baba. Jifunze zaidi katika rhapsodi hii ya leo, toleo ya Watu wazima. Tafakari kweli hii na itabadilisha maisha yako kabisa. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Maisha yako yatachukua uelekeo wa ulimi (kinywa) wako. Anza kuanzia leo kuongea maneno sahihi kuhusiana na maisha yako ya kila siku na kesho au baadae ya maisha yako. Jifunze zaidi katika TeeVo hii namna kuishi kwa ushindi kila siku kwa kutumia ulimi wako kwa usahihi. Waambie wengine kuhusu TeeVo na wasambazie wanafunzi na teenagers wenzako popote pale walipo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni mwenye thamani kubwa sana mbele za Bwana Yesu. Yeye anakupenda sana na anataka ujue hivyo na ulimwengu wote ujue kwamba anakupenda na wewe ni kazi ya mikono yake. Jifunze zaidi kwenye nakala hii ya Rhapsodi ya Uhakika toleo la WASOMAJI WA AWALI - rika kati ya miaka 6 hadi 12.Wasambazie wengine kweli hii na leta furaha na tumaini la kweli katika maisha yao. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni mtoto wa Mungu na umebeba baraka na utukufu wa ufalme wa Mbinguni. Kwa hiyo kila unakoenda dhihirisha baraka, wema na utukufu huu. Kuwa chachu ya mafanikio kwa watoto wenzako na familia kwa ujumla. Kitabu hiki ni mahususi kwa ajili ya watoto wa rika la miaka 6 hadi 12. Kinapatikana kwa lugha za kiingereza na Kiswahili na nyinginezo. Nakaala moja ni sh.3000 tu!--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Dhambi ni chochote kilichofanyika nje ya imani inayotenda kazi kwa upendo. Kama mwana wa Mungu umepokea imani na upendo ndani punde tu ulipozaliwa mara ya pili. Usiruhusu dhambi ikutawale tena kuanzia leo hii kwani wewe ni mwenye asili ya haki ya Mungu ndani ya Kristo Yesu. Sambaza kweli hii ya ajabu na maalumu kwa mamilioni ya vijana wa rika kati miaka 13 hadi 19. Kitabu hiki kinapatikana kila mwezi na kina neno la kila siku. Nakala moja ni sh.3000 tu!Wasiliana nasi leo: 0736000999 kwa maelezo au msaada zaidi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Washa nuru ya Injili kila mahali ulipo, wewe ni nuru ya ulimwengu, angaza leo kwa kweli ya neno la Mungu. Hii ni huduma yako na Bwana Yesu anakutarajia umwakilishe leo katika ulimwengu wako. Jifunze zaidi katika Rhapsodi ya Leo, tarehe 10 Januari 2024. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Neno la Mungu ndio chanzo cha kweli zote, hakuna kweli nje ya neno la Mungu. Wekeza muda wako kujifunza, kukariri, kutafakari na kulitendea kazi Neno la Mungu.Chagua kusoma na kusikiliza rhapsodi ya uhakika kwa wasomaji wa awali. Wasiliana nasi kwa namba hizi: 0736000999--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kama mtoto wa Mungu leo, gundua hila na udanganyifu wa shetani na kamwe usikubali kurubuniwa naye. Jifunze zaidi katika rhapsodi hii maalumu kwa ajili ya watoto wa rika kati ya miaka 6-12. Inapatikana kwa lugha za kiswahili na kiiengereza. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Je, unajua kama mkristo wewe umezaliwa kwenye ufalme wa Mbinguni na ufalme huu upo ndani yako? Tambua kweli hii leo na anza kuishi kama mwana mfalme na sambaza habari hizi za ufalme kila mahali katika ulimwengu wako wa ushawishi. Dhamini nakala hizi leo kupitia Lipa namba hii: 8177098 kama mwitikio wa wajibu wako kwenye ufalme. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fanya yote yanayowezekana kwa ajili ya Bwana. Kama Kijana (teenager) ishi kwa ajili ya ushuhuda wa Bwana Yesu. Maisha yako yaakisi utukufu, hekima na heshima yake. Jifunze zaidi kupitia TeeVo hii ya leo. Waambie wengine pia, wahamasishe wengine kung'aa na kuwaka kwa ajili ya Kristo Yesu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Pasipo Imani haiwezakani kumpendeza Mungu. Imani ni mtindo wa makusudi au kudhamiria wa Mkristo. Jifunze zaidi kupitia TeeVo hii ya leo na washirikishe vijana (Teenagers) wengine kila Mahali ndani ya Tanzania. Kitabu hiki kinatoka kila mwezi na kina neno la Kila siku.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Wewe ni nuru ya Ulimwengu, acha nuru yako iangaze na kung'aa sana. Tumia fursa ambazo Mungu amekupa kupeleka neno lake kila mahali. Usionee haya injili, ungana nasi kusambaza nakala hizi kila mahali mkoa ndani ya Tanzania. Changia leo uchapishaji na usambazaji wa rhapsodi kupitia lipa namba hii ya vodacom: 8177098.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Usiruhuru Harisa wala Vurugu zikutawale. Wewe ni mwenye haki wa Mungu ndani ya Kristo Yesu.... hii ndio asili yako. Sikiliza kweli hii kutoka katika Rhapsodi ya Uhakika Teevo, kitabu mahususi kwa ajili ya Teenegers, kinachoandikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Wasiliana nasi kwa namba hizi kupata nakala yako: 0736000999. Changia uchapishaji na Usambazaji wa TeeVo mashuleni kupitia lipa namba hii ya Vodacom: 8177098.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Sisi ni watenda kazi pamoja na Mungu. Tumeitwa kwenye kazi ya Uimesheni, tupeleke habari njema za ufalme kila mahali. Jifunze zaidi na uhamasike kupitia Rhapsodi hii ya Januari 6, 2024. Unaweza kudhamini uchapishaji na usambazaji wa nakala hizi kupitia lipa namba hii: 817709.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Uzima wa milele, uzima wa aina ya Mungu ni matokeo ya kufufuka kwa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Jifunze zaidi kuhusu umuhimu wa ufufuo na matokeo yake katika maisha yetu. Hii rhapsodi ya Januari 4, 2024. Imeandikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome na imesomwa na Amedeus Raphael. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Haujaumbiwa shida, mateso, umaskini wala uhaba. Ulimwengu wote ni wako, wewe ni mrithi wa pamoja na Kristo. Sikiliza Kweli hii kutoka kwenye rhapsodi ya Uhakika, toleo la Januari 3, 2024. Hakika huu ni mwaka wako wa Ukombozi. Endelea kusikiliza podcast hii inayoitwa Amedeus Live kila siku ili uishi maisha ya ubora na ukuu ulioitwa kuyaishi.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Sikiliza Maombi haya Maalumu kwa Ajili Yako na fanya ukiri huu pamoja na mtumishi wa Bwana - Amedeus Deogratius, na utembee kwenye halisia za mbaraka wako ndani ya Kristo. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Kipande hichi kimetolewa kutoka kwenye Kongamano la Imani, ambapo unapaswa kuzungumza na mlima na sio kuzungumza kuhusu mlima. Hakikisha unasikiliza season zima ya kongamano la imani katika podcast hii ya AmedeusLive. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Sikiliza kongamano hili la imani ambalo lilifanyika mkoa wa Mbeya ambapo utajifunza namna ya kutenda kwa imani ya aina ya Mungu. Mtumishi Amedeus Deogratius alihudumu katika kongamano hili. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Neno la Mungu ndio taa ya miguu yako na Nuru ya njia yako. Litakufanya ung'amue hila za adui na namna ya kuzishinda kikamilifu. Pia unaweza kudhamini uchapishaji na usambazaji wa nakala hizi za rhapsodi ya Uhakika kupitia lipa namba hii:8177098. Mungu akubariki Sana.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Fahamu mamlaka uliyopewa ndani ya Jina la Yesu na itumie kwa ajili ya maisha ushindi, utukufu na ubora kila siku iitwayo leo.
Pia unaweza kuchangia uchapishaji na usambazaji wa nakala hizi kila mahali ndani ya Tanzania kupitia lipa namba hii; 8177098.
Mungu akubariki sana.
--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/amedeuslivepodcast/message
Namna ya kuibariki siku yako na wiki yako kwa maneno yaliyovuviwa na nguvu ya Roho Mtakatifu. Uzima na mauti vipo kwenye nguvu ya kinywa!
Tembea kwenye uhalisi wa Baraka ya Kristo katika maisha yako kwa kutamka neno la Mungu kila siku juu maisha Yako na vyote vinavyohusiana na wewe ..
Wewe sio wa kawaida, Bwana Yesu amkuzungushia radhi kama ngao. Wewe umependelewa sana, umepata kibali mbele za Mungu na wanadamu. Tembea kwenye Kweli hii kila siku.
Kitabu hiki kinatoka kila mwezi na kina neno la Kila siku. Kinaandikwa na mtumishi wa Mungu Mchungaji Chris Oyakhilome, kwa ajili ya watoto wa umri katika miaka 6 mpaka 12. Kinapatikana katika tovuti ya www.rhapsodyofrealities.org Ni kitabu sahihi kwa ajili ya kujenga na kumfunza mwanao katika maadili sahihi ya Kikristo sawa sawa na neno la Mungu linavyofundisha. Unaweza kudhamini pia usambazaji wa kitabu kwa wanafunzi wa shule za msingi ili kuweza kuwajenga katika njia sahihi iwapasayo kuifuata. Wasaliana nasi kwa namba zifuatazo: +255736000999
Divine health is yours in Christ. You are in Zion now, sickness and diseases are of the past. Live in the glory life now.
Pro 4:18 Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.
hii ndio inapaswa kuwa safari ya maisha yako kwenye kila nyanja ikiwemo na afya yako pia. Endelea kutumia kinywa chako kutunza afya yako.
Pro 3:1 Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu. Pro 3:2 Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani.
Ni hamasa ya Mungu kwamba uwe afya njema siku zote na uishi maisha marefu yenye kumpa sifa na utukufu. Chagua kuishi sawasawa na neno lake kwa ajili yako. Tumia kinywa chako kurefusha maisha yako.
Wewe sio wa kawaida, umezaliwa kwa mbegu ya Mungu, wewe ni zaidi ya mwanadamu wa kawaida. Unao uzima wa aina ya Mungu.
Safari ya Mtu mwenye haki ni kama siku ipambazukayo.... iking'aa na kung'aa mpaka mchana mkamilifu.
Wewe umezaliwa na Neno la Mungu linalodumu na kuishi hata milele. Kataa afya yako isizeeke, kudhoofu au kuathiriwa na Magonjwa.
Mimi ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji. Nazalisha matunda mwaka nzima. Maambukizi, viwavi na chochote kinachoharibu hakina nafasi ndani yangu. Maisha yangu ni kusonga mbele na kupanda juu tuu. Hallelujah.
Tunaishi ndani yake, uzima wake ni uzima wetu! Tumeketishwa pamoja nae katika eneo la mamlaka na ukuu mbali sana na maradhi, magonjwa na mauti. Hallelujah!
Kwa maana pasipo imani huwezi kumpendeza Mungu.....
Wenye haki wa Mungu wataishi kwa imani na sio kwa kuona, au kuhisi kwa milango ya fahamu ya mwili.
1Jn 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.
Haya ni maneno ya unabii kwa ajili ya usambazaji wa Rhapsodi ya Uhakika (ya Mungu) Tanzania nzima. Bwana ametoa neno lake na jina la Bwana libarikiwe.
Mimi sio mhanga wa maisha wala wa dunia. Mwili wangu ni Hekalu la Roho Mtakatifu. Ninaishi kwenye afya njema siku zote. Ninatawala na kumiliki katika maisha haya.
Mimi ni wa juu na sio chini! Mimi ni raia wa Sayuni - mji Mtakatifu! Safari ya maisha ni kutoka utukufu hata utukufu.
Mimi ni Roho Mmoja Pamoja na Bwana. Mwili wangu ni makao ya kudumu ya Roho wa Mungu. Mimi ni tawi na yeye ni Shina la Mzabibu.
Wewe una uzima wa aina ya Mungu. Uhai wako unabebwa na aina huu ya uzima. Wewe sio mwanadamu wa kawaida. Wewe ni mwana wa Mungu.
Tendea kazi neno la Mungu kila Siku. Kataa kuathiriwa au kukwamishwa na Nguvu pinzani. Ukiri wako ni ufunguo wa afya yako.
Fahamu silaha uliyopewa na Mungu kwa ajili ya kujikinga na mashubulizi ya adui.
Usipojua namna ya kutumia silaha hii utakuwa mhanga katika maisha wakati sio kusudi la Mungu kwa ajili yako.
Unaweza kupakua nakala ya rhapsodi hii kwa mwezi mzima kupitia link hii.
Mimi ni kiungo cha mwili Wake, cha nyama Yake, na cha mifupa Yake! Ninatembea katika ufahamu kwamba niko katika muunganiko na Yesu Kristo. Na kupitia roho, ninaufanya mwili wangu upate utukufu wa mwili Wake uliofufuka. Hakuna ugonjwa, maradhi au udhaifu unaoweza kusitawi katika mwili wangu, kwa sababu nimeunganishwa na Bwana na ni roho moja pamoja Naye. Uungu unafanya kazi ndani yangu. Utukufu kwa Mungu!
Rhapsodi ya Uhakika, Dec 6, 2020.
Mimi niko kwenye dunia, lakini mimi si wa dunia. Kwa hiyo, ninawaza, ninaongea, na kutenda tofauti na maisha ya dunia yalivyo. Nimetakaswa na Roho Mtakatifu, nikitengwa na Mungu kwa ajili ya kwa ajili ya matumizi matakatifu, yasiyo na mawaa. Ninatawala juu ya dhambi na kazi zake zotemagonjwa, udhaifu, umaskini, kifo nk. Amin.
Rhapsodi ya Uhakika, Dec 5, 2020
Mpendwa Baba, ahsante kwa kuniita katika maisha ya athari na kwa kunipa rasilimali kuu kuliko zote—ambayo ni Roho Mtakatifu—ili kunisaidia kutembea katika mapenzi Yako na makusudi Yako kwa ajili ya maisha yangu. Uliniumba katika Kristo Yesu kwa ajili ya kazi njema ambazo uliziandaa tangu kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu kwamba nienende katika hizo. Na sasa, kwa Roho Wako, maisha yangu yote yako katika kuliendea kusudi Lako na kutawazwa kwa Ufalme Wako katika mioyo ya wanadamu, katika Jina la Yesu. Amina.
RHAPSODI YA UHAKIKA, DEC 4, 2020.
UKIRI
Kupitia msaada wa Roho, na katika kulitafakari Neno la Mungu daima, ninazungumza kwa uangalifu maneno mazuri, ya kujenga, ya neema, yenye kuhuisha, yenye kuhamasisha, na yenye kutia moyo. Kwa maneno yangu, ninaumba mafanikio, ushindi, afya ya Kiungu na ustawi kutokea ndani, nikisimamisha haki ya Mungu katika ulimwengu wangu, katika Jina la Yesu. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika: Dec 03, 2020.
Ukiri.
Nimehamishwa kutoka katika ulimwengu wa giza na kwenda katika “Ufalme wa Mwana wa pendo Lake.” Ijapokuwa ni ulimwenguni, nina fikra za ufahamu wa Ufalme wa Mbinguni. Hivyo, ninatenda kutoka katika uwanda wa ulimwengu wa roho, na hakuna kitu katika ulimwengu huu wa nyama kwamba ni cha thamani kwangu. Na hakika, kupitia kuenea kwa Injili kusikozuilika, Ufalme wetu unatawala juu ya mataifa. Amina!*
Rhapsodi ya Uhakika, Dec 02, 2020.
Kuna Wakristo ambao uzoefu wao katika maisha ni kinyume cha imani yao na Neno la Mungu. Kwa mfano, wanaweza kuwa wanaamini kwamba kama Wakristo, hawapaswi kukandamizwa na Shetani, ila wanapitia uzoefu wa mkandamizo wa kishetani na hila. Wanaamini kuwa hawapaswi kuugua au kuwa na madhoofu katika miili yao, ili hali ni vigumu sana kwao kuwa na uzoefu wa afya njema. Kuna kitu hakipo sawa.
Kuwa sehemu ya kupeleka injili katika ulimwengu nzima kwa kuchangia kipindi hichi cha rhapsodi ambacho pia kinaruka hewani kupitia radio za kawaida katika mikoa ya nyanda za juu kusini na katika visiwa vya zanzibar. Wasiliana na nasi katika namba zifuatazo: 0736000999.
Rhapsodi ya Uhakika - Dec 1, 2020
Ukiri
Mimi nimekufa kwa ulimwengu na ulimwengu umekufa kwangu. Hivyo, ninaweka umakini wangu katika Bwana na Ufalme Wake wa milele, nikimpenda Yeye kwa moyo wangu wote. Mambo ya Roho ni ya muhimu sana kwangu kuliko kitu chochote katika ulimwengu huu. Ninaishi kila siku ingali umakini wangu ukiwa katika Injili, kuihubiri na kuieneza kote ulimwenguni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Amina!*
Mungu amejitukuza Mwenyewe ndani yangu; sasa,
ninaubeba utukufu huo kila mahali. Hakuna aibu
maishani mwangu; ninatembea katika utukufu, na
maisha yangu yamejawa utukufu—heshima, nakshi,
ukuu, uzuri, upendeleo! Ninatembea kiuendelevu
katika afya ya kiungu, ustawi, na kuiathiri dunia
yangu kwa utukufu Wake. Asifiwe Mungu!
Naye alipokwisha kufanya shauri na
watu, akawaweka wale watakaomwimbia
BWANA, na kumsifu katika uzuri wa
utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na
kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana
fadhili zake ni za milele
(2 Mambo Ya Nyakati 20:21).
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 28, 2020.
Mimi ni chombo kimbebacho Mungu; Kristo
ndani yangu ni utukufu uliotambulika, ushindi
uliohakikishwa, na usitawi uliothibitishwa. Hakuna
hofu wala kuchanganyikiwa maishani mwangu.
Bila kujali mitihani, majaribu ama changamoto
zinazoweza kuja kinyume na mimi, mimi ni mshndi
na kinara maishani. Haleluya!
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 27, 2020.
Mat 24:37 Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. Mat 24:38 Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, Mat 24:39 wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 25. 2020
Unachohitaji ni maarifa sahihi na ya kutosha ya Neno la Mungu; hiki ndicho hukuweka juu maishani. Wengi hawana tatizo la imani, kwa maana kila mmoja wetu anayo imani (Warumi 12:3). Suala hapa ni ukosefu wao wa uelewa wa wao ni nani na nini ni milki yao katika Kristo.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 23, 2020.
Jitahidi katika ubora wako usiiharibu siku ya wengine. Najua, kuna upande wa pili kwa jambo hili; unaweza kuwa ndiwe upaswaye kumuona mtu, lakini umeweka muda uo huo kuwaona watu wengine watano katika mji! Kwa hakika utakwenda angalau kumsubirisha mtu mmoja au zaidi kati yao, na hiyo si sawa. Hata ukiwa kama mkubwa (bosi) katika ofisi, kuwa makini na ratiba za walio chini yao. Watu waliofanikiwa wanajali [na kuzingatia] muda.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 22, 2020.
Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu (1 Petro 2:9).
SALA
Ninakushukuru mpendwa Bwana kwa kunitoa gizani kuingia katika Ufalme wa Mwana wa pendo lako, ambamo ninatawala kwa neema kupitia haki, na kuufurahia uhuru tukufu wa wana wa Mungu. Wewe ni nuru ya maisha yangu, ambayo ninaitumia kujielekezea katika njia yangu kiubora katika ushindi, utawala, na mafanikio, katika Jina la Yesu. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika- Npov 21, 2020.
Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu,
mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye (Mathayo 17:5).
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 20, 2020
Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima
(Warumi 5:18).
Rhapsodi ya Uhakika- Nov 19, 2020
Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yoteatakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari.
(Yohana 16:13).
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 18, 2020.
Warumi 9:8 inasema, “Yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanahesabiwa kuwa wazao.” Watoto wa mwili wanaongozwa na hisia zao. Badala ya kuenenda kwa imani, wanaendeshwa tu na kila ambacho wanaweza kuona kwa macho, kusikia, kugusa, kuonja, au kunusa kwa mwili. Lakini Ukristo ni mtembeo wa imani; ni maisha yapitayo hisia.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 17, 2020.
Ninaomba Mungu kwamba wototo wote wa
Mungu wakaelewe andiko hilo hapa juu lina
nguvu namna gani! Linasema tumekombolewa kutoka
katika utawala wa giza na kuhamishiwa katika Ufalme
wa Mwana wa pendo Lake. Hapo ndipo ulipo sasa!
Lakini Mkristo asiyekuwa na uelewa huu atakuwa
akiishi maisha ya giza, akifikiri mawazo ya giza, ambako
tayari amekwisha ondolewa.
Giza huwakilisha dhambi,
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 16, 2020.
Ahimidiwe Mungu! Amenipa maisha yapitayo kawaida ya haki, na ninatembea katika ushindi na utawala, kutokea mahali pa pumziko. Neema Yake
yatosha kwangu, na katika mambo yote, ninatimiliza hatma yangu kitukufu na pasipo kusumbuka, katika Jina la Yesu. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika. Nov 14, 2020.
Mbarikiwa Baba, ninakushukuru kwa Neno Lako ambalo linafunua utambulisho wangu, urithi na uweza katika Kristo! Mapenzi Yako kwa ajili ya maisha yangu yamefunuliwa katika roho yangu na ninaishi kila siku kuyatimiza mapenzi na makusudi Yako kwa ajili ya maisha yangu, nikienenda katika njia Ulizoziandaa tayari kwa ajili yangu, katika Jina la Yesu. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 14, 2020.
Sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia
(Waebrania 2:3).
Ninamtumikia Bwana katika roho na kweli. Pendo Lake daima na kwa uendelevu linaendelea kudhihirika kupitia mimi kuwamiminikia wengine. Hakuna nafasi kwa ajili ya chuki, uchungu, wivu, au majivuno ndani yangu, kwa maana pendo la Mungu limemiminwa kwa wingi katika moyo wangu na Roho Mtakatifu. Na pendo hilo lanibidisha kuihubiri Injili na kuwafikia waliopotea kwa upendo, kuwageuza kutoka gizani na kuwaleta kwa Kristo. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 13, 2020
“Kwangu mimi, ingawa mimi ndiye niliye mdogo kabisa kati ya watakatifu wote (watu wa Mungu waliowekwa wakfu), neema hii (kibali, upendeleo) niliopewa na kuaminiwa: kutangaza kwa Mataifa mali (isiyo na mipaka, usiyopimika, usiyo na hesabu, isiyohesabika, na isiyo na mwisho) ya utajiriwa Kristo usio na ukomo [utajiri ambao hakuna mwanadamu anaeweza kuuchunguza].”
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 12, 2020.
Mimi ni utukufu wa Mungu! Ninaonyesha na utukufu—Anaishi ndani yangu katika utimilifu Wake wote. Kupitia kujifunza na kulitafakari Neno, daima ninabadilishwa kutoka utukufu hata utukufu. Asifiwe utukufu—Anaishi ndani yangu katika utimilifu Wake wote. Kupitia kujifunza na kulitafakari Neno, daima ninabadilishwa kutoka utukufu hata utukufu. Asifiwe Mungu!
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 11, 2020.
2Co 5:18 Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; 2Co 5:19 yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. 2Co 5:20 Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 10, 2020.
Nina shina na ninajengwa katika Bwana, nimeimarishwa katika imani na kufurika shukrani! Kila siku, ninachochewa kudhihirisha shukrani
zangu kwa Mungu, na kwa wale ambao kupitia hao Ananibariki kila siku. Hivyo, ninaenenda katika upendeleo, furaha, na utoshelevu. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 9, 2020.
Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu (1 Yohana 5:4).
Mimi ni shupavu katika imani na katika neema
ambayo iko ndani ya Kristo Yesu. Ninatamka ushindi,
mafanikio, afya, nguvu, na uhodari daima, kwa
maana mkuu ni Yule aliye ndani yangu, kuliko yule
aliye katika dunia. Neno la Mungu limeshika hatamu
yote na linadhihirika ndani yangu, na kupitia roho
yangu, nafsi, na mwili. Haleluya!
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 8, 2020.
Mimi ni kiumbe kipya, niliyeitwa kupokea baraka, niliyewezeshwa kufanikiwa katika kila jambo ninalolifanya! Hakuna ukame, kudumaa, ukosefu au kutokuwa na matunda katika maisha yangu, kwa maana nimechaguliwa na kuteuliwa kwa ajili ya maisha ya sifa, furaha, ubora, ushindi, na utukufu katika Kristo Yesu. Nimefanyika kuwa mchukuzi wa baraka za Mungu na mng’ao wa utukufu Wake.
Haleluya!
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 7, 2020. Col 1:15 naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Col 1:16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Col 1:17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Col 1:18 Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Col 1:19 Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 5, 2020. 1Jn 3:7 Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki; 1Jn 3:8 atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 4, 2020. Heb 13:5 Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa. Heb 13:6 Hata twathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 3, 2020.
2Co 4:16 Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. 2Co 4:17 Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana; 2Co 4:18 tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.
Rhapsodi ya Uhakika - Nov 2, 2020. Act 20:32 Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa.
Rhapsodi ya Uhakika, Nov 1, 2020. Watu walio na ujasiri hudumisha shabaha yao katika kile wanachoamini, na hakuna kilicho kikubwa sana kwao kukitoa au kukifanya katika kutimiza azma ya imani yao. Hivyo, weka ufahamu wako kwa Bwana na katika Neno Lake, na uwe tayari kila wakati kwa ajili ya kufanya jambo lo lote lile kwa ajili ya kuenea kwa Injili.
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 31, 2020
Pro 4:5 Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu. Pro 4:6 Usimwache, naye atakuhifadhi; Umpende, naye atakulinda. Pro 4:7 Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu. Pro 4:8 Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia. Pro 4:9 Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji ya uzuri.
Rhapsodi ya Uhakika, Oct 30, 2020.
Wewe ni mbebaji wa halisia za milele. Unapotokezea, uzima hudhihirika. Unapowagusa wagonjwa na walioonewa, uzima wa ndani yako unahamishiwa na kuingizwa ndani yao, ukiwaletea utimilifu na ukamilifu. Ndio maana Yesu akatuamuru katika Mathayo 10:8, ”Ponyeni wagonjwa, watakaseni wakoma, wainueni wafu, na mkawatimue pepo.”
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 29, 2020.
Mithali 18:21 inasema, “Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.” Utavuna mavuno ya mambo mema kupitia maneno yako. Maneno ni vitu; maneno ni nguvu ya uumbaji. Maisha yako leo ni matokeo ya maneno yako. Mithali 15:4 inasema, “Ulimi safi ni mti wa uzima….” Kama maneno yako ni mazuri, maisha yako yatakuwa makamilifu, bora, na ya kuhamasisha.
Rhapsodi ya Uhakika, Oct 28, 2020.
Waf 2:9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; Waf 2:10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; Waf 2:11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Rhapsodi ya Uhakika, Oct 27, 2020.
Kuishi bila Kristo ni kuishi pasipo Mungu; katika hukumu. Hii ndio maana unalazimika kuwa na bidii katika roho, ukiihubiri Injili (Warumi 12:11). Umetumwa kuipeleka nuru ya Injili kwa wale wenaoishi gizani (Matendo 13:7). Kwa hiyo, usiizuilie; usiwe mwenye kughairi. Kuwa na uthubutu na utambue kuwa wewe ni mwenye dhamana ya ujumbe wenye kuzaa matunda.
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 26, 2020
Baadhi ya watu wameutoa muda na mali zao katika kuhakikisha kuwa Injili inafika katika kila taifa la duniani. Wanafanya mambo makubwa katika kuiendeleza ajenda ya Mungu, wakiufidia upungufu na kutoweza kwa wengine. Wanatoa fedha nyingi sana katika kuisukuma Injili; na kadri watoavyo, ndivyo Bwana aelekezavyo zaidi rasilimali katika njia yao ili wakafanikishe mambo makubwa zaidi kwa ajili Yake. Atakusambazia yote utayoweza hitaji ili kulitimiliza kusudi Lake la kuvuna nafsi.
Rhapsodi ya Uhakika, Oct 24, 2020.
Ukristo ni udhihirisho wa nje wa utendaji kazi wa Neno la Mungu ndani roho ya mwanadamu. Kama Mkristo, wewe ndiwe taswira ya Kristo, kila hatua unayoichukua inapaswa kuwa ni udhihirisho wa uzima wa Kiungu ndani yako. Hivyo ndivyo namna Yesu alivyoishi pale Alipokuwa akienenda katika dunia. Alikuwa ni udhihirisho wa Mungu; udhihirisho wa maisha ya Kiungu
Rhapsodi ya Uhakika
Unyakuo wa Kanisa u karibu kuliko wakati wowote. Tu katika nyakati za hitimisho au mwishoni mwa “nyakati za ishara” kabla kutokea kwa Bwana. Ni muhimu kwamba ukawe tayari kwa ajili Yake. 1 Wathesalonike 4:16-17 inasema “wafu katika Kristo” watainuka kwanza, na wale walio hai na wamebaki watanyakuliwa pamoja nao ili kumlaki Bwana angani.
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 23, 2020.
Kuna sababu tatu za msingi za kwanini unalazimika kuihubiri Injili na kuvuna nafsi kama Mkristo. Kwanza ni imani yako katika Bwana Yesu na Injili Yake tukufu. Sababu ya pili ni upendo wako Kwake na tumaini la kurejea Kwake hivi punde. Sababu ya tatu ni maagizo Yake kwetu ya kuvuna nafsi. Sababu hizi tatu zikusukume kuvuna nafsi.
Rhapsodi ya Uhakika: Oct 22, 2020
Yesu ni Mungu katika mwili wa binadamu, lakini watu hawakujua. Yeye ni Adonai, Yaani Bwana, Mungu! Ndiye aliyemwambia Musa, “Baba zako, Ibrahimu, Isaka na Yakobo walinijua kama, Mungu Mwenyezi (mweza wa yote), lakini mimi ni Yehova” (Kutoka 6:3). Yehova ni Yahweh.
Na kama haujawahi kuzaliwa mara ya pili, kama bado haujamfanya Yesu kuwa Bwana wa maisha yako, iseme sala hii na uimaanishe kwa moyo wako wote: “Ee Bwana Mungu, ninaamini kwa moyo wangu wote katika Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai. Ninaamini alikufa kwa ajili yangu na ya kuwa Mungu alimfufua kutoka katika wafu. Ninakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana wa maisha yangu. Kupitia Yeye na katika Jina Lake, ninao uzima wa milele; nimezaliwa tena. Ahsante Bwana, kwa kuiokoa nafsi yangu! Sasa mimi ni mtoto wa Mungu. Haleluya!”
Rhapsodi ya Uhakika: Oct 21, 2020.
Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba (Wafilipi 2:9-11).
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 20, 2020
Mpenzi Bwana Yesu, utukufu, heshima na ukuu wote ni Wako. Wewe ni Mfalme wa utukufu, furaha ya mbinguni, na nyota ing’aayo ya asubuhi! Wewe ni udhihirisho wa utukufu wa Mungu, uzuri wa Uungu, na taswira kamilifu ya Nafsi ya Baba. Ninakuabudu na kukuheshimu Mwokozi wa thamani, kwa maana hayupo wa kufanana na Wewe! Ufalme Wako na ukatawale nchini, na kusimama daima katika mioyo ya watu wote. Amina.
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 19, 2020.
Ukristo si kuhusiana na kukazana kuingia uweponi mwa Mungu; Ukristo ni kubeba uwepo wa Mungu. Wewe ni hema Yake ya ushuhuda iishiyo. Unapofika popote, uwepo wa Mungu hufika! Wewe ndiwe “uwepo.” Haleluya!
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 18, 2020.
1Co 3:21 Basi, mtu ye yote na asijisifie wanadamu. Kwa maana vyote ni vyenu; 1Co 3:22 kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu; 1Co 3:23 nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.
Rom 8:7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii. Rom 8:8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. Rom 8:9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 16, 2020.
Jas 1:22 Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. Jas 1:23 Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Jas 1:24 Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo. Jas 1:25 Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.
Upendo huvumila kwa kitambo kirefu na una subira pamoja na fadhili; upendo kamwe hauhusudu wala kutokota kwa wivu, haujivuni wala hautakabari, haujidhihirishi kwa majivuno (1 Wakorintho 13:4 toleo la “AMPC”).
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 14, 2020.
Matendo 3:16 Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote.
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 13, 2020.
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika (Yohana 1:1-3).
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 12, 2020
Ghasia hazitasikika tena katika nchi yako, wala ukiwa au uharibifu ndani ya mipaka yako, bali utaziita kuta zako Wokovu na malango yako Sifa (Isaya 60:18 tolea la “AMPC”).
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri (Waebrania11:3).
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 9.
“…kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.” Kwa matokeo ya muunganiko huu, Alisema, “Na yote aliyo nayo Baba ni yangu…” (Yohana 16:15).
2Co 6:16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
Rom 12:11 kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;
Kuwa mwenye bidii na hamasa katika kazi ya injili.
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
ROR Oct 6, 2020.
Baada ya mambo hayo neno la Bwana likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, MIMI NI NGAO YAKO, NA THAWABU YAKO KUBWA SANA
Mwanzo 15:1
> Mungu ni urithi wako, fungu lako, Ngao yako, tambua hili na tembea katika maarifa ya kweli hii.
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
pakua rhapsodi app leo kupitia link hii.
https://t.co/GFr1tICObJ
Jiunge na mtandao wa washawishi wa Rhapsodi Ulimwenguni kote kwa kubofya linki hapo chini:
Rhapsody Influencer Network
https://bit.ly/2CnQ28u
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.
http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
na bofya link hii kupakua app ya rhapsodi leo hii. https://t.co/GFr1tICObJ
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
Kitabu kinachotoka kila mwezi chenye neno la kila siku. Kitabu kimendikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na Kimesomwa na Ndg. Amedeus Deogratius. Utajifunza mengi yapasayo maisha ya ushindi, afya bora, ustawi, upendo, haki, imani na namna bora ya kumwabudu Mungu katika roho na kweli.
Kitabu kimeandikwa na Mch. Chris Oyakhilome na Kimefanyiwa mapitio kwa njia ya Sauti na Amedeus D.R.
Kimegawanyika katika sura 8 na kinaanza na Utangulizi unaitwa watu wa Unabii.
Utangulizi - Watu wa Unabiii
Pata wasaa wa kusikiliza neno la Mungu kila siku kupitia kitabu cha Rhapsodi ya Uhakika, chenye neno la kila siku.
Kitabu hiki kina andikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na kinasomwa kwenu na Mtumishi Amedeus Deogratius.
Pata Nakala mbalimbali za mwezi wa nne kama: Kuomba kwa ajili ya Nafsi Zilizopotea - April 1
Sikiliza neno la Mungu lilojaa maarifa, hekima na ujuzi juu ya aina ya maisha ya kiungu ambayo Mungu amekukirimia. Zipo Episode 31 kwa ajili ya kuboresha maisha yako na kukuleta katika urithi wako ndani ya Kristo. Mungu akubariki Sana.
Sikiliza nakala mbalimbali za rhapsodi ya Uhakika kwa lugha ya kiswahili, kitabu kinachotoka kila mwezi na chenye neno la kila siku. Mojawapo Yale utakayosikia mwezi huu ni pamoja na Yesu Ni Adonai, Pokea, simama wima na imara, waongoze wengine katika wokovu n.k. kitabu hiki kinaandikwa na mtumishi wa Mungu MCH. Chris Oyakhilome, PhD.
Amri mpya ni Ipi?
Maungamo yako ya Kila siku ni yapi?
Namna ya kutatua mafarakano au ugomvi katika maisha.
Jifunze namna ya kutakasa mawazo na fikra zako.
Nyanja tano kuu katika maisha za kuishi na kudhihirisha Utawala uliopewa ndani ya Kristo.
.
Je, mtazamo wa Mungu ni nini kuhusu Mafanikio?
Fahamu kusudi la Mungu kuhusu Mafanikio.
Kanuni za Mafanikio sawa sawa na Neno la Mungu.
Fungi la Kumi, Limbuko la Kwanza, Matoleo ya Hiari, Matoleo ya Mbegu (Mbegu ya Imani).
Biblia inasemaje kuhusu swala la Kufanya kazi na kutokuwa tegemezi.
Kinywa chako kinatoa dira ya maisha. Uzima na mauti vipo kwenye Nguvu ya Kinywa, kwa hiyo zungumza uzima, afya, ushindi, mafanikio na yote yanayofanana na haya na wala sio mengineyo.
Unaweza kuathiri ulimwengu wako kwa namna kubwa sana kupitia maombi yako. Maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidiii.
Alikuja ili iwezekane kwetu sisi kupokea fursa kufanyika kuwa wana wa Mungu. Kristo ndani yangu ni Tumaini la Utukufu.
Ni kuhusiana na Pendo lake na sababu ya Kristo Kuja kuzaliwa hapa duniani. Jifunze kuhusu Pendo la kimiminika la Kristo.
Sikiliza somo hili na upate kujua maana halisi ya neno pasaka na umuhimu wake kwenye maisha yako ya kila siku. Biblia inasema utaijua kweli na kweli itakuweka huru. Sikiliza Kweli hii nayo itakuweka huru.
Dhumuni kubwa zaidi lilomfanya Yesu aje duniani ni ili kutuleta katika ushirika na Baba, katika umoja na Mungu. Alikuja ili atulete katika daraja moja na Mungu.